Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Lizaboni acha unafiki kama walikuwa wanakiuhujuma chama kuna ugumu gani kuwafukuza? Kuthibitisha kuwa we we ni mwongo Chama hawajafukuzwa Na bado wamepewa ubalozi wakale bata ulaya chini ya serikali ya CCM unayodai wanaihujumu wewe kaa Na wivu Na majungu yako hupati cheo NG'OO