mmbangaya
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 997
- 1,763
Habari Jf!
Binadamu anayefanikiwa kwenye maisha ni yule ambaye haogopi kufanya jambo lolote bila kujali kama anaweza kupata hasara. Wachumi wanawaita risk takers.
Kipindi kampeni za urais zilipokuwa zinaendelea mzee mkapa alikuwa anatumia lugha kali mpaka nikawa nikimsikiliza naogopa. Alikuwa anatumia lugha kali bila kujali nani atakuwa rais ajae wa JMT.
Ila sasa nimepata somo kwamba huyu mzee mkapa alikuwa risk taker and now biashara imemlipa.
Hongera sana kwa kufanikiwa katika hili.
Binadamu anayefanikiwa kwenye maisha ni yule ambaye haogopi kufanya jambo lolote bila kujali kama anaweza kupata hasara. Wachumi wanawaita risk takers.
Kipindi kampeni za urais zilipokuwa zinaendelea mzee mkapa alikuwa anatumia lugha kali mpaka nikawa nikimsikiliza naogopa. Alikuwa anatumia lugha kali bila kujali nani atakuwa rais ajae wa JMT.
Ila sasa nimepata somo kwamba huyu mzee mkapa alikuwa risk taker and now biashara imemlipa.
Hongera sana kwa kufanikiwa katika hili.