mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Unastahili heshima;
Wewe ni kiongozi imara;
Utashi wako wa kisiasa na uthubutu utaiweka Tanzania kwenye ramani ya nchi zenye uchumi imara
Una maono na malengo chanya ya maendeleo
Wewe ni mtetezi wa wanyonge
Mafisafi, wahujumu uchumi, wabadhirifu wa mali ya umma na wazembe, kwako hao ni maadui wa maendeleo - nafasi yako nyingine ya kuwatumbua
Wapinzani, kama mbwa mtiifu, wamefyata mikia
Kipindi chako cha pili ni mwendokasi ya maendeleo kwa miundombinu itakachochea kuboreka kwa huduma za jamii.
Malengo yaliyomo kwenye Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu, 2020, hakuna shaka yoyote yatafikiwa baada ya kuzoa zaidi ya 90% ya Majimbo na Kata, kwenye Uchaguzi Mkuu, 2020. Kwa mfano lengo la Katika miaka mitano ijayo, CCM itazisimamia Serikali zake ili ziendeleze juhudi za kuleta mageuzi ya kiuchumi kwa kuendelea kujenga Tanzania ya viwanda na uchumi fungamanishi, jumuishi na shindani unaotumia sayansi na teknolojia za kisasa na ambao unahimili utandawazi na unaoweza kutumia kikamilifu fursa zake kwa kuuza zaidi bidhaa za viwandani na bidhaa nyingine nje ya nchi. CCM inatambua fika kwamba ili kutimiza azma ya kujenga uchumi shindani wa viwanda na huduma, ni lazima kila Mtanzania afanye kazi kwa bidii, kujituma, na kutumia maarifa, hekima na ubunifu.
WAKATI NDIO HUU KILA MTANZANIA ATIMIZE WAJIBU WAKE
Wewe ni kiongozi imara;
Utashi wako wa kisiasa na uthubutu utaiweka Tanzania kwenye ramani ya nchi zenye uchumi imara
Una maono na malengo chanya ya maendeleo
Wewe ni mtetezi wa wanyonge
Mafisafi, wahujumu uchumi, wabadhirifu wa mali ya umma na wazembe, kwako hao ni maadui wa maendeleo - nafasi yako nyingine ya kuwatumbua
Wapinzani, kama mbwa mtiifu, wamefyata mikia
Kipindi chako cha pili ni mwendokasi ya maendeleo kwa miundombinu itakachochea kuboreka kwa huduma za jamii.
Malengo yaliyomo kwenye Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu, 2020, hakuna shaka yoyote yatafikiwa baada ya kuzoa zaidi ya 90% ya Majimbo na Kata, kwenye Uchaguzi Mkuu, 2020. Kwa mfano lengo la Katika miaka mitano ijayo, CCM itazisimamia Serikali zake ili ziendeleze juhudi za kuleta mageuzi ya kiuchumi kwa kuendelea kujenga Tanzania ya viwanda na uchumi fungamanishi, jumuishi na shindani unaotumia sayansi na teknolojia za kisasa na ambao unahimili utandawazi na unaoweza kutumia kikamilifu fursa zake kwa kuuza zaidi bidhaa za viwandani na bidhaa nyingine nje ya nchi. CCM inatambua fika kwamba ili kutimiza azma ya kujenga uchumi shindani wa viwanda na huduma, ni lazima kila Mtanzania afanye kazi kwa bidii, kujituma, na kutumia maarifa, hekima na ubunifu.
WAKATI NDIO HUU KILA MTANZANIA ATIMIZE WAJIBU WAKE