Hongera Rais Magufuli, ujenzi wa barabara za juu Ubungo kuanza rasmi

Tulikuchagua kuwa rais tukijua bayana kwamba muda wa maneno sasa umekwisha.
Wahenga walionya kuwa maneno matupu hayavunji mfupa.

Kitendo cha kuanza ujenzi wa barabara za juu pale ubungo ni ishara kwamba mawakala wa shetani wanahujumu juhudi za serikali ya awamu ya Tano wameshindwa na kulegea !!

Serikali ya awamu ya Tano Endeleeni kusonga mbele, mamilioni ya watanzania ukiacha wale wauza madawa ya kulevya wa ufipa wanawaunga mkono.

Hizo Barabara mtajengea mawe au??Mnadanganya watanzania kwa vikesi uchwara ili muonekane wamo,subirini Wema awatimulie vumbi mumlipe pesa za kumwaga ndipo mtajua nini maana ya kutii sheria.

Halafu Mbaona mmeingia mitini kuhakiki vyeti mlivyonunua??Hivi mnajua kosa la kuforgr vyeti ni la jinai??

GSM leo wametoa ngapi??Maana mnajidai wasafi kumbe mnasafirisha unga kwa kutumia GSM,safari hii lazima mzae na Wema tu
 
Hio ikiisha watasema ni Kikwete...ni legacy yake. Hayahusu chama . inahusu nani amefanya...ccm ni chama tu...lakini mtu aliye juu ndo muhimu....
tunasubiri legacy ya huyu wa sasa...
na uwe na hoja hata huyo Lowasa ana legacy yake..kupigania Shinyanga kupata maji kutoka Ziwa victoria...ni legacy yake....ni yeye pia alolirejesha dawasco kutoka city water..na Tanesco kutoka africa Solution ya makaburu....ni maamuzi ya kiongozi sio chama. Ccm sera yao ni kuuza kila kitu......jenga hoja sio ujinga ujinga
Lowasa alipiganiaje shinyanga kupata maji wakati jimbo la monduli wanakunywa maji ya Ng'ombe?
 
Nataka kujua serikali ya awamu ya 5 inakipi mpaka sasa ikasema hiki ni chanzo chetu zaidi ya kuendeleza na kutumia pesa Kwa vyanzo vya pesa alivyo viandaa kikwete hostel amejenga Kwa pesa za vyanzo vya mipango ya serikali iliyopita yeye kaja na ukali na ubabe ndio anachojua
 
Unaangalia uchumi wa nchi unavyokwenda ovyo au unasifia sifia tu??!
Hebu elezea 'Uchumi wa nchi unaenda ivyo maana yake'. Kama si kuropoka ropoka. Ni wale wale, ama shule ndogo ama chuki ya vita ya ufisadi ama chuki dhidi ya madawa. Ndivyo walivyo. Lakini ki ukweli hata Kenya wanachukia sana tena sana jinsi tunavyo paa kimaendeleo. Mashetani wa nchi hii ndio hawataki TZ iendelee.
 
Nakwambia wasukuma ni shida sana

Kubwabwaja na mihemko tuuu

Kwa wale wasukuma vichwa wanaojitambua na tunawajua maana si wasukuma wote vichwamaji tunaomba hawa sampuli muwe mnawafahamusha kwa kisukuma kwamba output ya serikali ni below standard
Aisee! Ukiwa msukuma hautakiwi kuongoza sehemu yoyote ya jamhuri wa Tanzania kwa mujibu wako! Upimwe akili sio bure, umekalia ukabila ukabilaaa!
 
inashangaza..toka tupate uhuru kuna chama cha upinzani kiliongoza dola??sasa maneno ya lawama kwa dosari na sifaki zinatoka wapi...???
 
tatizo lenu mmejaa ushamba, mmetoka huko machungani kwenye ng'ombe mnaamini fly over ndio maendeleo kwasababu hamjawahi kuziona. kuna nchi zinazo hizo fly over mpaka underground roads zaidi ya 50 hata 100, lakini hawatambi kama ninyi. tatizo la washamba kuja mjini ndio hili. wasukuma sasa itabidi muwe mnaenda pale kupigia picha, au muuze mang'ombe mje dsm kuangalia daraja la kigamboni na fly over ya ubungo. tuwe tunatoka nje ya nchi tushangae kidogo.
Bado nashindwa kuamini kama wewe unaweza kufikiria upuuzi kama huu ulioandika
 
Hivi watanzania shida yao ni barabara za juu ? Je huku kwetu kijijini tunafaidika nn na hiyo barabara ? Aaaaah serikali ya miundombinu hii mweeee..... imenifika hapa ngoja 2020
Shit..,hufahamu mpaka leo umuhimu wa barabara?
Nadhani utakua umeishia darasa la 2 B
 
Enjoy the evolution of Dar Es Salaam Ci


Mkuu una hakika na unachoandika?
Ujenzi wa Interchange ya Tazara unaendelea na utakamilika hivi karibuni.
Shida ni kwamba vyombo vya habari vya Tanzania haviripoti sana mambo kama haya, habari na matukio ya kisiasa ndio vinapewa coverage zaidi, bahati mbaya zaidi raia wengi pia wanataka habari za namna hiyo zaidi.
Taifa hili linaangamia kwa kukosa maarifa sahihi kwa wakati sahihi, tuko bize na irrelevant issues!!


Hivi unadhani interchange ni daraja la manzese au?

nakuambia ikikamilika kabla ya 2019 nitatembea uchi tazara mpaka Kariakoo
 
Serikali kujenga barabara nne za juu Dar es Salaam


Naona Magu anatembelea nyota ya JK tu pamoja na kumsemea mbovu kila akipata chance
Hivi unajua idea ya kujenga daraja la kigamboni(nyerere bridge) ilifikiriwa mwaka gani na nani aliitekeleza?

Hizi ideas zipo miaka mingi iliyopita, shida ni funds za kutekeleza hizi grand projects. Sio kwamba namponda JK, alifanya kwa uwezo wake, kwa wakati wake na alichoacha JPM atatekeleza, nae hatamaliza, atakuja mwingine kuendeleza.
 
Back
Top Bottom