Hongera Rais Magufuli Kwa Somo la Managing Diversity. Tanzania, Bado Tuna Tatizo la Ukosefu wa Political Tolerance

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
Umeongea point nzuri ila kwa utawala huu wa sasa naomba usahau tu hii issue ya political tolerance/agreeing to disagree.
Political tolerance kwa Africa naona iko nchi tatu tu. (S. Africa, Kenya na Malawi)
 
Pascal hivi haya yanayofanyika wewe unayapenda. Kweli Pascal unayapenda ebu sema ukweli from your HEART. Au kuna kitu unakitaka, mbona umebadilika baada ya kuomba kugombea Ubunge. Au ni kwavile walikunyanganya fursa zote mpaka ukaanza kukosa namna ya kulisha familia. Kama umerudi kwa ajili ya fursa yako pmj na familia yako ni vizuri ila ni bora ukae kimya. Mateso anayoyafanya Magufuli siyo ya kawaida, siyo uongozi wa haki. Magufuli kakosea wote tulimpenda Magufuli kabla ya 2015 lkn amebadilika huyu Magufuli wa sasa siyo yule wa kipindi cha Kikwete. Magufuli wa leo ni mpenda sifa asiyetaka kumsikiliza yeyote, mpenda malipizi, asiyesamehe, mwenye chuki. Magufuli wa leo anajiona yeye ni Mungu na hakuna kama yeye. Maandamano ndio itakayoikoa Tanzania ya sasa. Ngoja tuikomboe Tanzania, baadae nyie ndio mtakuwa wa kwanza kusema Magufuli alikuwa hafahi. Haki haiwezi kuja bila kutafutwa kwa nguvu, na yote haya lazima baadhi yetu wafe kwa ajili ya wenzao. TUPO TAYARI KUANDAMANA KWA AMANI WAKIAMUA KUTUUA SAWA. LKN HAWATAFIKA MBALI KTK UTAWALA WAO. One day utaniambia
Mkuu Kunta Kinte, pole sana maana naona umeandika kwa uchungu, Magufuli is changing for the better, awamu yake ya pili, he will be the best of the best na akimaliza ile 2025, he will be the best president this country have ever had!.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali

Fanya tathmini ya huu uzi wako mpaka sasa na kile kinachoendelea, huku ukiweka pembeni ukada wako.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
Pasco bana unatapatapa, tuliza njaa itapita tu. Sisi tupo tangu enzi za mwalimu duka la Kaya, mwinyi ruksa, mkapa uwazi, kikwete Ari mpya, Sasa tupo na huyu chonya wa chilonwa maisha yanasonga. Naye Atapita na tutaendelea na maisha,
bila kuyumba kwenye misimamo,

Watoto wanasoma na bia tunakunywa

We unakwama wapi?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
Mkuu unapenda sana kupongeza hata pale pasipopongezeka!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Paskali
Nilipenda sana makala na hoja zake zikigusa maeneo mengi. Leo ni upande mmoja tu kusifia.
Nikiona makala yake huwa nasoma tu kichwa naishia.
Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyosifu sifa fulani zinazoitwa "Managing Diversity "
P
 
Paskali, Paskali, Paskali.
Umepatwa na nini?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anasema kuwa tarehe 28 Oktoba 2020 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na "matumizi ya bilioni 350 kwa kile kilichofanyika Oktoba 28'?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na alichokifanya Ndugai na Halima Mdee 'et al'?
Nimeona AG akinukuliwa na Gazeti la Uhuru juu ya haki za Halima Mdee na wenzake!
Mwanasheria Mkuu ambaye aliukunja mkia wake mithili ya mbwa mwoga wakati Tume ya Uchaguzi ikiinajisi Katiba ya Nchi kwa kuhakikisha kuwa Mawakala wa Vyama vya Watu hawaingii kwenye Vituo vya Kupigia Kura.
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu, mwenye uzalendo na nchi yake, mwenye uchungu na masikini wa Nchi hii ambaye anaweza kuunga mkono matumizi ya shs. bilioni 13.68 za mishahara ya Wabunge hao19 kuhalalisha ubatili wa tarehe 28 Oktoba 2020?
Nakumbuka 'novel' ya " Cry, the beloved Country".
Napata faraja nikijifunza kutoka kwenye Historia kuwa "daima, dhuluma itashindwa".
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu fundimchundo , nimeguswa na bandiko lako hili, mimi ni realist, ma realists wote, hata kama hau support kilichofanyika, lakini when kumetokea kitu kilichotokea, and there is nothing anyone can do to change the situation, ma realists wote tunakubali matokeo, katika muktadha wa appreciating the situation and suggest the best way forward out of the situation.

Vyama vya siasa sio mali ya watu, viongozi, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote yatafanywa kwa kutanguliza maslahi ya umma.
Kwenye hili, maslahi ya umma ni kwa wapinzani hao wachache waliopata fursa ya kuingia Bungeni, waingie waka salvage what is left of opposition in Tanzania.

Nimekuleta hapa ili kukujulisha, kuwa tulishauri pia the best way forward, ukitoa ushauri mzuri, hata kama haukufuatwa, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako.

Mimi nimetimiza wajibu wangu.
Kama kosa langu ni kuukubali ukweli jinsi ile ulivyo, nalikubali kosa hili.

P
 
Mkuu fundimchundo , nimeguswa na bandiko lako hili, mimi ni realist, ma realists wote, hata kama hau support kilichofanyika, lakini when kumetokea kitu kilichotokea, and there is nothing anyone can do to change the situation, ma realists wote tunakubali matokeo, katika muktadha wa appreciating the situation and suggest the best way forward out of the situation.

Vyama vya siasa sio mali ya watu, viongozi, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote yatafanywa kwa kutanguliza maslahi ya umma.
Kwenye hili, maslahi ya umma ni kwa wapinzani hao wachache waliopata fursa ya kuingia Bungeni, waingie waka salvage what is left of opposition in Tanzania.

Nimekuleta hapa ili kukujulisha, kuwa tulishauri pia the best way forward, ukitoa ushauri mzuri, hata kama haukufuatwa, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako.

Mimi nimetimiza wajibu wangu.
Kama kosa langu ni kuukubali ukweli jinsi ile ulivyo, nalikubali kosa hili.

P
Wapinzani walioingizwa na Ndugai na Jiwe watawezaje kutetea upinzani?
Yaani Jiwe awaingize bungeni asaini mishahara yao kisha eti wakasimame na upinzani?

Hao wamewekwa hapo ili kulegitimize mchakato haramu.

It was not good mbele ya wananchi na wahisani kuwa na bunge la CCM watupu na wawii wa vyama vya upinzani, Yaani waliona aibu ya mchawi kuwa baada ya kuua watoto wa jirani , basi angalau bakisha mmoja na ujifanye unampenda kwa kumpa pipi mara kwa mara ili uonekane mwema!

Unazungumzia kuhusu national interest, National Interest hazilindwi na watu wenye moyo wa usaliti!

Do you remember Mandela alivyopewa offer ya kuwa huru? - alikataa akasema nitatoka na wenzangu, Hakuwa na mawazo kuwa wacha nitoke mimi nikapambane nje halafu mafanikio ya mapambano yangu ndo yatawatoa wenzangu.
Mandela alijua, akishakubali offer fulanifulani outside wenzie, ni divide and rule stratergy hiyo tayari Kaburu atapandikiza katika ranks. So the best move ni kuwa right pamoja au kuwa wrong pamoja in Solidarity, namna hiyo adui atakupeni respect ikibidi mazungumzo yenye faida endelevu.

Sasa hawa sellouts waliouza msimamo wa chama chao tena kwa forgery hata wakiwa huko bungeni watamtetea nani? - Watapiga hot air tu nayo ni kwa ajili ya matumbo yao.
Once a sellout always a sellout, It is a mark of being a traitor
 
Wanabodi,
bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu

Paskali
Uchaguzi ulikuwa wa haki na huru?

Umejibu hili?
Mkuu Kiranga, kwa vile wengi wanauzungumzia uchaguzi based on kilichotokea, mimi nimeanza kuuzungumzia zamani na matokeo ya uchaguzi wa 2020, niliishayajua tangu ile 2015 baada ya Jembe JPM, kuingia ulingoni.
Karibu pande hizi
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
Swali moja rahisi sana kwako Paskali. CHADEMA ikifa, Watanzania na taifa kwa ujumla tutapata hasara gani? Unaamini NI LAZIMA CHADEMA iendelee kuwepo (exist)?

Maelezo yote hayo marefu sana uliyotoa na ambayo umekuwa ukiyatoa zaidi ya mwaka kuhusu CHADEMA, yanadhihirisha kuwa kwa mazingira ya kisiasa tuliyo nayo Tanzania, HAIWEZEKANI tuwe na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini ambao ni BONA FIDE GENUINE.

Halafu, VERY CURIOUSLY, siioni juhudi yako ya dhati kuwaasa wenye dhamana ya kutengeneza mazingira sahihi ya demokrasia ya vyama vingi Tanzania ili kuwezesha vyama kama CHADEMA kuwepo na kufanya shughuli zake kwa ufanisi. Hapo ungeeleweka badala ya kupania kwa makala kadhaa zilizojaa jazba nyingi kutaka CHADEMA IWEPO na ikubaliane na dola tu hata katika mazingira hatarishi kiasi gani!

WHAT’S YOUR REAL MOTIVE?
Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa faida ya wenzetu wenye uwezo mdogo kusoma nyuzi ndefu, tunaweza kuishia hapa, na kusoma hitimisho

Hili la rais Magufuli na serikali yake kukubali Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kuwatendea haki vyama vyote kwenye uchaguzi Mkuu huru, kutapelekea rais Magufuli kubarikiwa, serikali yake kubarikiwa, chama chake CCM kubarikiwa na nchi ya Tanzania kubarikiwa, na hata kama uchaguzi Mkuu ujao utairudisha Tanzania kuwa ni nchi ya chama kimoja, kurudi huko kutakuwa ni kutimiza matakwa ya Watanzania na kutakuwa kumefanyika kupitia uchaguzi Mkuu huru na wa haki na hivyo kuhesabiwa ndio the wishes of the people, hivyo naomba kuusisitiza huu wito wa uchaguzi mkuu kuendeshawa kwa mtindo huu
Ombi Maalum, Uchanguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe Kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis!. Tutabarikiwa!

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa.
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
P. Amteue na Lipumba sasa nawe mbunge
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo pia huchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya ndani nchini Tanzania.

Makala ya leo, ni kumpongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa kufundisha somo la "Managing Diversity" kwa wateule wake, lakini Tanzania tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, bado tunakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwepo kwa "Political Tolerance" linazosababisha "Political Hostilities" kuanzia kwenye mihili ya Mahakama, Bungeni, na Serikalini, kuanzia ngazi ya taifa, mikoani, wilayani, majimboni, kwenye kata hadi mitaani ambapo kuna chama kimoja, CCM kilichosika dola, kinahesabiwa kama chama dola na kustahili haki zote, huku vyama vingine vyote vikibaguliwa na kuhesabika kama maadui visivyo stahili!.

Tatizo hili linaweza kumalizwa kwa somo la "Managing Political Diversity" ambalo rais Magufuli ameisha lianza kwa kuwakaribisha wapinzani kwenye shughuli la kitaifa na kuwaalika baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vikuu vya upinzani Ikulu, lakini kuelekea kwenye uchaguzi, somo la "Political Tolerance" bado linahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote, hivyo kunahitajika kuendeshwa kwa somo la "Managing The Political Diversity" ya hali ya juu kwa viongozi wa pande zote, serikali, CCM, na vyama vya upinzania, ili tuweze kuendesha uchaguzi Mkuu ujao, uwe ni uchaguzi huru na wa haki kupitia uwanja ulio sawa, "level playing field!". Hili likifanyika, Rais Magufuli atabarikiwa sana, nchi yetu itabarikiwa sana kwa kupata amani, utulivu, na ustawi, utakaoleta maendeleo makubwa sana ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, na lisipofanyika... naomba nisiseme!.

Mungu Mbariki Rais Wetu Magufuli Aweze kufikisha somo la Managing Political Diversity kwa serikali yake ili tuwe na "Political Tolerance" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uwe ni uchaguzi huru na wa haki na kuendeshwa katika uwanja ulio sawa, tukifanya uchaguzi wa haki na usawa, Mungu ataibariki Tanzania, atambariki rais Magufuli na serikali yake, lakini tukiendeleza figisu figisu kama chaguzi za nyuma, Mungu ameisha tuvumilie sana huko nyuma, asije akatuchoka akatunyooshea mkono kwa kutotenda haki.

Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema

Paskali
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Back
Top Bottom