Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,486
- 2,332
Napongeza hili kwa sababu kuu tatu:
1. Baadhi ya watanzania wanaodhani wao wanaishi sayari ya Mars, dua zao na maombi yao wanatamani kuona Rwanda inahamia bandari ya Mombasa na Zambia na Congo wanahamia Beira . Walikuwa na uhakika wa asilimia 100 kuwa kwa janga hili jamaa watajikata kumbe they are here to stay.
2. Rwanda walisimika kuwa lazima malori ya Tanzania yapokelewe na Malori ya Rwanda, hii ina maana kuwa biashara ya Malori ingekuwa ngumu kwa kuongeza gharama kwa kuwa mwenye gari angelazimika kuajiri na dereva wa kinyarwanda ambae angepokea gari mpakani kwa kuwa si kitu rahisi kumkabithi gari dereva usiyemjua.
3. Rwanda walisimika kuwa magari yatakayovuka lazima yawe na escort kwa gharama za mwenye gari.
1. Baadhi ya watanzania wanaodhani wao wanaishi sayari ya Mars, dua zao na maombi yao wanatamani kuona Rwanda inahamia bandari ya Mombasa na Zambia na Congo wanahamia Beira . Walikuwa na uhakika wa asilimia 100 kuwa kwa janga hili jamaa watajikata kumbe they are here to stay.
2. Rwanda walisimika kuwa lazima malori ya Tanzania yapokelewe na Malori ya Rwanda, hii ina maana kuwa biashara ya Malori ingekuwa ngumu kwa kuongeza gharama kwa kuwa mwenye gari angelazimika kuajiri na dereva wa kinyarwanda ambae angepokea gari mpakani kwa kuwa si kitu rahisi kumkabithi gari dereva usiyemjua.
3. Rwanda walisimika kuwa magari yatakayovuka lazima yawe na escort kwa gharama za mwenye gari.