Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 750
GRID ina excess ya zaidi ya 300MW hivo hakuna mgao tena tunawakaribisha investors waje wajenge Plants mana Umeme ni uhakika kwa sasa uki pata outage jua tu kuna regularly maintenance zinakuwa zinafanyika kukeep systems healthy zaidi na wala hizo outages hazi last longer na areas zinazo experience zinakuwa informed earlier too, Tukimaliza Bwawa la nyerere kuna the likely tukauza umeme East africa yote mana ndio tutakùwa Power house ya EA
We keep moving
We keep moving