state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Yesu alipofunga Siku 40 akawa hali walisema "anapepo huyu huwezi kuishi muda wote bila kula" alipofungua akaanza kupiga msosi wakasema"ni mrafi"
Nyerere .zito shutuma kuwa usosholoji ulinjaa hata haukukumbuka kujenga kwako kipindi cha maziko yake tulikuta hata barabara ya kwenda mwitongo ni ya vumbi tu na nyumba ya kawada tena aliengewa kwa msaada na
MWINYI. huyu walimuita mswahili eti aliridhika mapema hata hakujikusanyia chochote na kwao alipasahau
MKAPA.Huyu kwao masasi wanasema hakuwa wao eti alitelekeza kwao na kujenga kwingine mpaka sasa anaishi Tanga kwao hayupo ,huyu wanasema sioo kabisa kukimbia kwao.
KIKWETE. Ukifika chalinze ,mboga,rugoba ,msata,bagamoyo uaimtaje jk wanasema hata maji alishindwa kuwapa licha ya kuwa waziri miaka kibao na rais ,anaishi dar kule anaenda kusalimia
My take .mkuu JPM jenga kwenu weka kila kitu hata wakisema waseme ,nyumbani ni nyumbani
Ukistafu stafu kwa amani utukie kwenu.
Nyerere .zito shutuma kuwa usosholoji ulinjaa hata haukukumbuka kujenga kwako kipindi cha maziko yake tulikuta hata barabara ya kwenda mwitongo ni ya vumbi tu na nyumba ya kawada tena aliengewa kwa msaada na
MWINYI. huyu walimuita mswahili eti aliridhika mapema hata hakujikusanyia chochote na kwao alipasahau
MKAPA.Huyu kwao masasi wanasema hakuwa wao eti alitelekeza kwao na kujenga kwingine mpaka sasa anaishi Tanga kwao hayupo ,huyu wanasema sioo kabisa kukimbia kwao.
KIKWETE. Ukifika chalinze ,mboga,rugoba ,msata,bagamoyo uaimtaje jk wanasema hata maji alishindwa kuwapa licha ya kuwa waziri miaka kibao na rais ,anaishi dar kule anaenda kusalimia
My take .mkuu JPM jenga kwenu weka kila kitu hata wakisema waseme ,nyumbani ni nyumbani
Ukistafu stafu kwa amani utukie kwenu.