Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

Ndoto zako za kuteuliwa zimiyeyuka sababu MEKO kwanza huwa hajiongezi ameshakupotezea sababu anakujua kwa unafikuna wako. Utaishia kupongeza juhudi za mhutu tu.
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Du !?
 
Kwani kuna haja au ulazima kuwaweka wanyama Ikulu je gharama za kuwahudumia unazifahamu na je zinatoka mfukoni kwa jiwe!? Tafakari hayo
 
Wanabodi,
Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Just imagine, mtu aipendezeshe ikulu yetu hivi, halafu uamue eti anaweza kuhamishwa mtu mwingine ndiye awe mpagaji?!, this will never happen, not in Tanzania

Wahi kwenda kupiga kura yako ili...
P
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Nimesema kwa upande wa wanyama pori, rais Magufuli, ameipendezesha sana Ikulu yetu kuliko hata enzi za Nyerere, kwasababu wanyama Ikulu walikuwepo tangu enzi za Nyerere, kufuatia Ikulu kuwa na a limited surface area na wild animals natural habitat yao ni wilderness, ikaamuliwa wawepo wanyama wachache tuu for leisure kwa rais na wageni wake wakiwemo ndege tausi ambao sasa Ikulu ndio natural habitat yao.

Wild animals enjoys wilderness, bila kuwa na mazingira ya natural habitat yao, wild animals hawawezi ku breed, hivyo kuweka idadi kubwa hivyo ya wanyama kwenye kieneo kidogo kile ni furaha pendeza macho lakini mateso kwa baadhi yao, maana matting ni moja ya haki za msingi za wanyama, sijui. kama Tanzanzia bado chama kinachoitwa TSPCA!, kumbe domestication of wild animals sasa sio just for leisure, sasa ni kuonyeshea!, hivyo na kwa vile serikali imehamia Dodoma, napendekeza Ikulu iwe Magogoni Zoo, na kwa heshima ya Magufuli, napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu muda kama wa Nyerere au zaidi hadi pale Mungu atakapoamua!.

Tena unaweza kukuta uamuzi wa kufuga wanyama wengi hivyo kwenye eneo dogo lile, umefanyika bila EIA, kama tulivyoamua kununua ndege kwa cash huku hatuna business plan!. Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu za wenzake, mfano Ikulu ya South inavyofurika, watalii. Pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White house ya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatatembelea na kuchangia the upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake wa sasa, unakaribiana na ulinzi wa Mu7!, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make a lot of sense kuliko hata ile ikulu ya Chato!.

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Katika vita vya kiuchumi, ukiruhusu utalii Ikulu, Mabeberu watakuja kwa mgongo wa utalii na kukupsndikizia Kansa, Covid n.k. utalii waende Serengeti na mikumi sio ikulu

Labda tu, baada ya kuapishwa, awakaribishe ikulu wagombea wote wa Urais anywe nao chai na kupeana hongera kwa kumaliza kampeni salama

Wagombea hao watapata fursa pia ya kufanya utalii na kukabidhi Ilani zao kwa Rais ili achukue mazuri yaliyomo
 
Back
Top Bottom