Habari zenu waungwana,
Kama heading inavyojieleza, kijiji cha Changarawe, wilaya ya Mvomero, mkoani Moro tumeshapata zetu, na utaratibu wa kuzigawanaunaendelea.
Hapa kazi tu
Hahahahahaaaa tofautisha hela za TASAF na zile za ahadi za CCM za 50M kila Kijiji. Mnaendelea kuchangisha wananchi hela za madawati elf tano tano, huku mnadai mmetoa milion 50 kila kijiji hahahaa si mngetumia hizo kununu madawati na muache kuchangisha michango kero kwa wananchi! hahahaHabari zenu waungwana,
Kama heading inavyojieleza, kijiji cha Changarawe, wilaya ya Mvomero, mkoani Moro tumeshapata zetu, na utaratibu wa kuzigawana unaendelea.
Hapa kazi tu
unaanza kuingiza mambo yasiyo endanaduh kwahiyo mnagawana tu kumbe???
Kama ni hivyo si mngeingiziwa bank kila mwanakijiji afunguliwe akaunti
Otherwise tutawaingiza kwenye kundi l watu wanaoficha hela majumbani
kufanya biashara yako binafsi nayo mpaka sera??Hata mkipewa 100M kila kijiji bila sera imara za kiuchumi zitayeyuka mikononi mwenu kabla ya mwaka huu kuisha.
Upinzani umekufa kifo cha mende hongera JPM
Tumeona mafanikio ya mabilioni ya kikwete.kufanya biashara yako binafsi nayo mpaka sera??
Sasa hela hizi zinahusika nn na hizoTumeona mafanikio ya mabilioni ya kikwete.
Za Jk watu walipewa bure kama hizi za JPMSasa hela hizi zinahusika nn na hizo
sasa ukishapewa hela bure kuziendeleza tena serikali ikusaidi?Za Jk watu walipewa bure kama hizi za JPM