ningeshauri jpm atumie kiswahili maana mataifa makubwa yote wanatumia lugha zaoMbona marais wa china, france, korea wanapiga lugha zao? Si ndio maana huwa kuna translators jwenye mikutano mikubwa au wana kazi gan wale?
Inatufundisha mambo mengi kama ifuatavyo:Hadithi hii inatufundisha nini??
Degree tatu kwa kiingereza bado lugha haipandi una utani wewe teh teh teh teh...Hao marais wa nchi hizo za Ulaya na Asia wanatumia lugha za nchi zao kwa kuwa walizitumia kama media of instruction wakati wanasoma degree zao. Tujiulize, Dr JPM alisoma degree zake zote tatu kwa kiswahili?
Wewe kuli hujui hata Kiswahili tusemeje? Ona , unaandika 'ajui' ni nini hiyo?Kiingereza ajui inabidi atumie hiyo lugha ya kiswahili kwani hamna namna.
Mkuu mimi naamini kabisa pasina shaka kuwa yanayomkuta JPM yamewakuta wengi waliosoma michepuo ya sayansi kiingereza cha kujibia maswali huwa kipo na huwa wanashinda mitihani shida inakuja cha kuzungumza wengi huwa ni wazito tena akiwa mbele ya hadhara ndio kabisaaaa.Hivi mnatueleza kwamba hiyo thesis ya phd aliandika kwa kiswahili na aka-defend kwa kiswahili?
Mtu anaweza kufahamu lugha bila ya kujua kuizungumza. Kuzungumza ni mazoea. Ma Ustadh wote wa Kiislamu Tanzania kwa mfano, wanafahamu Kiarabu, lakini wachache huweza kuzungumza.Degree tatu kwa kiingereza bado lugha haipandi una utani wewe teh teh teh teh...
ahaaaaaaaaa umemkubali baada ya kutema madongo oh sory kokoto arusha? Ahaaaaaa au na wewe ni kama yeye siku moja alivyosema "am a politicians" ahaaaa ni aibu iliyoje?Ukweli nimemkubali sana Rais wetu kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili maana na rais Wa Vietnam katumia lugha yake .Nimependa sana
Tusijifanye tunajua wakati hatujuiHadithi hii inatufundisha nini??
Sema serikali ifute kiingereza kutumika secondary na vyuo hapo itaeleweka lakini kama itabaki kama ilivyo sasa halafu usikijue na una wadhifa mkubwa hapo hutaachwa kusemwa.Napendekeza serikali iitamke kwamba, kiswahili ndio lugha kuu ya kiserikali kuanzia rais hadi watumishi wa chini, hii itatupa heshima popote na kwamba vijana wetu wanaosomea ukalimani watapata ajira pindi wageni hao wanapokuja nchini na rais anapokwenda nchi za nje.
Huu ni ujinga wetu watanzania yaani umpongeze mtu kwa kuongea lugha yake?Ilipaswa kumpongeza badala ya kubeza kwa kuamua kutumia lugha yetu kwenye matukio muhimu kama hayo
Kwanini unashindwa kushauri aongee Kiswahili kwasababu hajui Kiingereza??ningeshauri jpm atumie kiswahili maana mataifa makubwa yote wanatumia lugha zao
Tupo wengi sana,ukiniondoa kwenye hadhara sina peer kabisaMkuu mimi naamini kabisa pasina shaka kuwa yanayomkuta JPM yamewakuta wengi waliosoma michepuo ya sayansi kiingereza cha kujibia maswali huwa kipo na huwa wanashinda mitihani shida inakuja cha kuzungumza wengi huwa ni wazito tena akiwa mbele ya hadhara ndio kabisaaaa.
Hapo ndiyo mnapokosea eti analienzi acheni upuuzi bana...Huo mtazamo wako mkuu,coz kiingereza sio lugha rasmi kwetu so raisi kuongea kiswahili haimaanishi hajui kiingereza but ameamua kuienzi lugha yetu,unatakiwa kuwa mzalendo mkui