Hongera Rais Kikwete kwa Uongozi Shupavu!

Wow,thats good of you.Why don`t you spend your useless time listening praising words from brainless people around you as usual.

whether you smell hell or magamba anything out of your favorite junks, you are such a low brain powered creature to waste my time discussing with you anything.Why don't you keep up with your usual business of rap.Possibly you are too busy trying to compose English lyrics so that you can break into International market.Go to school, learn real music skills fool.

Mtoto wa mama ni wa kuambiwa tuu, kudekezwa kulishfanywa sana mama hadi likawa kila kitu ni kubembelezwa hata vitu visivyostahili hilo.Km Jf inakupa kubwa kiasi ch akuona hawkaupendi au hawana huruma kwako, nenda kawakusanye wana familia na wafanya akzi wa ndani ukafanya mazoezi ya kuwadanganya tena.
Uncivilised sh*t, no wonder such Cameroon make a large chunk of CDM members, watchout for the tuition to be child bearing fathers, you seem to be a candidate.
 
Hongera sana DHAIFU kwa kutujengea shule za kisasa nchini


295344_204612719665548_664659686_n.jpg
 
Hongera sana DHAIFU kwa kutujengea shule za kisasa nchini


295344_204612719665548_664659686_n.jpg

Mbona sioni hata nyumba za wanakijiji katika hiyo picha? Kama wenyewe hawajengi nyumba za kukaa wenyewe na wanafurahia maisha yao kwani sirikali ijenge shule?
 
Mpiga picha alitaka kupiga picha ya shule tu, siwezi kumjibia kwa nini hakupiga picha ili kuonyesha nyumba za Wanakijiji.

Mbona sioni hata nyumba za wanakijiji katika hiyo picha? Kama wenyewe hawajengi nyumba za kukaa wenyewe na wanafurahia maisha yao kwani sirikali ijenge shule?
 
Mpiga picha alitaka kupiga picha ya shule tu, siwezi kumjibia kwa nini hakupiga picha ili kuonyesha nyumba za Wanakijiji.

Son;

Tayari umeshamjibia unaposema alitaka kupiga picha ya shule tu. :becky: :becky: . Anyway, kama unasubiri elimu idondoke kama chakula cha wana waIsrael, probably that's what you get.
 
lol! son if that is the case then there is no need to collect taxes from poor people, watu waachwe wafanye kivyao vyao badala ya kuwatoza kodi kubwa na kuwadanganya kuwaletea maendeleo ambayo hayaonekani miaka nenda miaka rudi huku mafisadi akina Mkapa, Kikwete, Lowassa wakiendelea kukusanya mabilioni kwa kuwafisadi walala hoi.

Son;

Tayari umeshamjibia unaposema alitaka kupiga picha ya shule tu. :becky: :becky: . Anyway, kama unasubiri elimu idondoke kama chakula cha wana waIsrael, probably that's what you get.
 
lol! son if that is the case then there is no need to collect taxes from poor people, watu waachwe wafanye kivyao vyao badala ya kuwatoza kodi kubwa na kuwadanganya kuwaletea maendeleo ambayo hayaonekani miaka nenda miaka rudi huku mafisadi akina Mkapa, Kikwete, Lowassa wakiendelea kukusanya mabilioni kwa kuwafisadi walala hoi.


I hear what you are saying. But the truth is we pretend. The people at the bottom pretend that they work very hard and pay their taxes and those at the top pretend to offer free services.

Look at that picture, a real tax pay wouldn't allow his/her child be near that circus, and the teach who cares about his profession will refuse to work in that pathetic environment. It's simple as that.
 
Tumesahau kumshukuru kwa yafuatayo

1. Tanzania kuwa ya tatu kwa kupokea misaada
2.Wewe na riz wani kumiliki hisa za tanzanite one
3. Kuwaambia walioiba Epa warudishe pesa uwasamehe
4. Kusafirisha twiga wetu
5. Katika utawala wako wanafunzi wamefaulu bila kujua kusoma
6. Kufikisha deni la taifa trion 19
7.Kuwakamata mafisadi wa Richmond, Meremeta, Deep greens, Dowans na
IPTL
8. Kusimamia Tanzania kukamata nafasi ya pili kwa rushwa africa mashariki
9. Kufanya India kuwa hospitali ya rufaa.
10. Polisi na usalama wa taifa kutaka kuua Ulimboka na umewachukulia hatua


8.
 
Ni faraja kwa Watanzania kuona uongozi bora wa Rais Jakaya Kikwete umefanikisha maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru yakiambatana na matukio yaliyojaza furaha lukuki wa wananchi wa rika zote, makabila yote, dini zote na vyama vyote nchini mwetu.

Uongozi ulio adirifu kutoka na Amiri Jeshi Mkuu, umetuletea Watanzania siku ya jana iende vizuri huku tukijipongeza kwa sherehe husika.

JK twakutakia afya njema ili uweze kumalizia miradi mikubwa iliyoanza kwa kipindi chako cha uongozi kwa vile:-
1. Chuo Kikuu cha Afya na Tiba eneo la Msoga
2. Ujenzi wa Barabara za Juu kwa Juu jijini DSM
3. Ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - DSM
4. Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - Mwl Nyerere, Jijini DSM
5. Uanzishwaji wa Usafiri wa Treni jijini DSM
6. Ujenzi wa daraja la Kigamboni
7. Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili - eneo la Luguruni
8. Ujenzi wa bandari Bagamoyo
9. Uboreshaji wa makazi na mafunzo kwa Polisi
10. Uanzishwaji wa Katiba Mpya

Watanzania tunapenda uongozi wako; wasemehe wanaobeza uongozi wako hasa CHADEMA; wenye macho tunayaona mabadiliko yenye tija yaliyopatikana wakati wa uongozi wako

Some biologists argues tht; Sh*t is not a waste product for "some living things" makes a living out of it. No offence but I think u er "some living thing".
 
I hear what you are saying. But the truth is we pretend. The people at the bottom pretend that they work very hard and pay their taxes and those at the top pretend to offer free services.

Look at that picture, a real tax pay wouldn't allow his/her child be near that circus, and the teach who cares about his profession will refuse to work in that pathetic environment. It's simple as that.

Granted!
Hypocrites will pay peanuts passing away as taxes, or will not pay taxes at all!
Then they will go ahead and demand the moon as a right!
 
Mpiga picha alitaka kupiga picha ya shule tu, siwezi kumjibia kwa nini hakupiga picha ili kuonyesha nyumba za Wanakijiji.

Usipate tabu mkuu.........huyu ndiye mwenyekiti wa kijiji(CCM)........na hapo ndio nyumbani kwake....tena master bedroom

nilitengwa+chumba.jpg
 
Uncivilised sh*t, no wonder such Cameroon make a large chunk of CDM members, watchout for the tuition to be child bearing fathers, you seem to be a candidate.

Huna jipya...cameron si anawapa CCM misaada oficially.Umbea uache wewe mtoto wa mama.Halfu nyie ndio mnaupenda ucameron.Hembu kakojoe ulale uache chafua thread.
 
Mbona sioni hata nyumba za wanakijiji katika hiyo picha? Kama wenyewe hawajengi nyumba za kukaa wenyewe na wanafurahia maisha yao kwani sirikali ijenge shule?

kwa jinsi camera iliyofocus , si rahisi kuoan ahat choo hc ahii shule kama kipo, na kama kijiji wana tabia ya ujenzi wa nyumba mbalimbali ni wazi kuwa si rahisi onekana hata moja.Pia inawezekana mpigani alipiga upande wa kutoea kwenye makazi na hivyo kuwa ngumu kupat aimage ya nyuma.
 
heshima mbele,,
tuendeleze list za pongezi,,

11.kubariki utoroshwaji wa tembo wetu

12.kuipa meno takukuru kwa kupigana na rushwa kubwa kubwa & rushwa ndogo ndogo

13.kuwakamata vinara wa dawa za kulevya aliotamba kuwafaham

14.kuzidisha ugumu wa maisha kwa walalahoi

15.kufanikiwa kuwavua magamba mafisadi wote

16.kuimaliza dunia kwa ziara za kutembeza bakuli na kukuza uchumi wa nchi

17.kuipa nchi 2015 rasmi kwa upinzani in a peaceful way

haya kimbia haraka sana nenda lumumba pale kachukua posho ya lunch kwa nape kabla hajaondoka

mkuu tujifunze kukubali na kuheshimu pale mtu anapofanya kitu kizuri hata kama hatumpendi.kikwete amefanya mengi mazuri japo tunahitaji afanye zaidi ya hayo
 
Ni faraja kwa Watanzania kuona uongozi bora wa Rais Jakaya Kikwete umefanikisha maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru yakiambatana na matukio yaliyojaza furaha lukuki wa wananchi wa rika zote, makabila yote, dini zote na vyama vyote nchini mwetu.

Uongozi ulio adirifu kutoka na Amiri Jeshi Mkuu, umetuletea Watanzania siku ya jana iende vizuri huku tukijipongeza kwa sherehe husika.

JK twakutakia afya njema ili uweze kumalizia miradi mikubwa iliyoanza kwa kipindi chako cha uongozi kwa vile:-
1. Chuo Kikuu cha Afya na Tiba eneo la Msoga
2. Ujenzi wa Barabara za Juu kwa Juu jijini DSM
3. Ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - DSM
4. Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - Mwl Nyerere, Jijini DSM
5. Uanzishwaji wa Usafiri wa Treni jijini DSM
6. Ujenzi wa daraja la Kigamboni
7. Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili - eneo la Luguruni
8. Ujenzi wa bandari Bagamoyo
9. Uboreshaji wa makazi na mafunzo kwa Polisi
10. Uanzishwaji wa Katiba Mpya

Watanzania tunapenda uongozi wako; wasemehe wanaobeza uongozi wako hasa CHADEMA; wenye macho tunayaona mabadiliko yenye tija yaliyopatikana wakati wa uongozi wako


Kwani alihahidi hayo kumi pekee? Vipi hali halisi ya maisha ya watanzania walio wengi? Inapaa kama uchumi anavyoupaisha kwenye makaratasi? ni shupavu?
 
Back
Top Bottom