MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,190
Ni faraja kwa Watanzania kuona uongozi bora wa Rais Jakaya Kikwete umefanikisha maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru yakiambatana na matukio yaliyojaza furaha lukuki wa wananchi wa rika zote, makabila yote, dini zote na vyama vyote nchini mwetu.
Uongozi ulio adirifu kutoka na Amiri Jeshi Mkuu, umetuletea Watanzania siku ya jana iende vizuri huku tukijipongeza kwa sherehe husika.
JK twakutakia afya njema ili uweze kumalizia miradi mikubwa iliyoanza kwa kipindi chako cha uongozi kwa vile:-
1. Chuo Kikuu cha Afya na Tiba eneo la Msoga
2. Ujenzi wa Barabara za Juu kwa Juu jijini DSM
3. Ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - DSM
4. Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - Mwl Nyerere, Jijini DSM
5. Uanzishwaji wa Usafiri wa Treni jijini DSM
6. Ujenzi wa daraja la Kigamboni
7. Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili - eneo la Luguruni
8. Ujenzi wa bandari Bagamoyo
9. Uboreshaji wa makazi na mafunzo kwa Polisi
10. Uanzishwaji wa Katiba Mpya
Watanzania tunapenda uongozi wako; wasemehe wanaobeza uongozi wako hasa CHADEMA; wenye macho tunayaona mabadiliko yenye tija yaliyopatikana wakati wa uongozi wako
Uongozi ulio adirifu kutoka na Amiri Jeshi Mkuu, umetuletea Watanzania siku ya jana iende vizuri huku tukijipongeza kwa sherehe husika.
JK twakutakia afya njema ili uweze kumalizia miradi mikubwa iliyoanza kwa kipindi chako cha uongozi kwa vile:-
1. Chuo Kikuu cha Afya na Tiba eneo la Msoga
2. Ujenzi wa Barabara za Juu kwa Juu jijini DSM
3. Ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - DSM
4. Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - Mwl Nyerere, Jijini DSM
5. Uanzishwaji wa Usafiri wa Treni jijini DSM
6. Ujenzi wa daraja la Kigamboni
7. Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili - eneo la Luguruni
8. Ujenzi wa bandari Bagamoyo
9. Uboreshaji wa makazi na mafunzo kwa Polisi
10. Uanzishwaji wa Katiba Mpya
Watanzania tunapenda uongozi wako; wasemehe wanaobeza uongozi wako hasa CHADEMA; wenye macho tunayaona mabadiliko yenye tija yaliyopatikana wakati wa uongozi wako