Watanzania tunashuhudia mabadiliko chanya yanayotokea ndani ya CCM. Kwa watu wenye nia nzuri na nchi kwa vyovyote vile watakuwa wanayafurahia.Kwa mtazamo wangu mabadiliko haya yamesababishwa na watu, taasisi na vyombo vya habari balimbali. Napenda kuchukua nafasi hii kutambua mchango wa Raia Mwema, Mwanahalisi na JF katika kukirudisha CCM katika njia iliyo sahihi.