Mwinyi amefanya nini?Ni kweli ana sauti ya ki-mamlaka.Uwezo wake wa kuongea ni wa juu sana.ndiyo maana marehemu alipa hiyo wizara.
Ila sina uhakika na utandaji wake wa kazi.sababu kusemasema ni kitu kimoja na utendaji kazi wenye matokeo ni kitu kingine.Nimejifunza kwa Husein Mwinyi wa Zenji.sauti yake ni ya chini sana ila matokeo yake ni makubwa sana.
Hawezi kuonesha kuwa tukio au mahali anapotoa sauti ni pa kufurahisha au kuhuzunisha. Ni kasoro kubwa . Anafoka au anatamka kimamlaka mahali pote. Sikutarajia kwenye wasifu wa msiba wa mtu wake asioneshe hata tone ya huzuni.Mzee wa mia kenda
Ila anatamka kama anafoka
Jamani hakuna aliyekamilika ila sifa ya MTU apewe akiwa hai aisikie. Profesa Palamagamba Aidani Kabudi anajua kutamka matamshi ya lugha sana, kusoma kwa kufuata vituo zile nukta, mkato, koma, funga na fungu semi na alama nyingine akipewa paragraph akusomee sio siri utafurahia sana aina ya usomaji wake. Ana sauti ya kimamlaka sana.
Hongera hapa lazima watakumbushia ile ya kutolewa jalalani ila tukumbuke. Hakuna mkamilifu chini ya jua.....
Panua domo,toa jicho sana
Maliza makelele,urudi kwa mama kupiga goti kuomba kazi
Jichelewesheni mnajifanya mnampenda sana Dikteta,mama atawatosa nyote
Jifanyisheni mnajua sana kilio
Kabudi yuko vizuri ukiachana na vidosari vyake viwili vitatu kama kutumbua macho na kujitoa ufahamu ili kumfurahisha marehemu jiwe