Hongera nyingi kwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo ya Nobel Price

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
5,704
4,737
Mzaliwa wa Zanzibar yapata miaka 73 iliyopita, nguli wa fasihi na mwandishi wa novels classic zaidi ya 10...(siongelei uandishi wa The President loves my wife wa Shigongo na kuombana degree UDSM)

Tafuta novel yake ya Paradise ya 1994 ndio utanielewa. AbdulRazak Gurnah very humble pamoja na kukulia ughaibuni sana ila amededicate ushindi huo kwa african continen na African readers....

Dedication to the Truth! Wacha tusubiri firimbi za wasiasa kama kawaida kusema wanamjua sana na pongezi wakati hata hawajawahi kusoma kazi zake.

Anyway katuheshimisha...NB ni mpigania demokrasia na anti colonialism.

Tanzania daima nchi yangu nzuri.

Screenshot_20211007-203654_BBC%20News.jpg
IMG-20211007-WA0159.jpg
 
Mzaliwa wa Zanzibar yapata miaka 73 iliyopita, nguli wa fasihi na mwandishi wa novels classic zaidi ya 10...(siongelei uandishi wa The President loves my wife wa Shigongo na kuombana degree UDSM)

Tafuta novel yake ya Paradise ya 1994 ndio utanielewa. AbdulRazak Gurnah very humble pamoja na kukulia ughaibuni sana ila amededicate ushindi huo kwa african continen na African readers....

Dedication to the Truth! Wacha tusubiri firimbi za wasiasa kama kawaida kusema wanamjua sana na pongezi wakati hata hawajawahi kusoma kazi zake.

Anyway katuheshimisha...NB ni mpigania demokrasia na anti colonialism.

Tanzania daima nchi yangu nzuri.

View attachment 1967208View attachment 1967209

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
😍👍💪
 
Mzaliwa wa Zanzibar yapata miaka 73 iliyopita, nguli wa fasihi na mwandishi wa novels classic zaidi ya 10...(siongelei uandishi wa The President loves my wife wa Shigongo na kuombana degree UDSM)

Tafuta novel yake ya Paradise ya 1994 ndio utanielewa. AbdulRazak Gurnah very humble pamoja na kukulia ughaibuni sana ila amededicate ushindi huo kwa african continen na African readers....

Dedication to the Truth! Wacha tusubiri firimbi za wasiasa kama kawaida kusema wanamjua sana na pongezi wakati hata hawajawahi kusoma kazi zake.

Anyway katuheshimisha...NB ni mpigania demokrasia na anti colonialism.

Tanzania daima nchi yangu nzuri.

View attachment 1967208View attachment 1967209

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Subiri sukuma gangs waje. Ila hakuna hata profesa mmoja Tz aliye wahi kupata hii tuzo?
 
Huu ushindi ulitakiwa uende moja kwa moja kwa Wazanzibar na Waingereza. Sisi Watanganyika hatuna chetu hapa.

Ngoja tuendelee tu na maandalizi ya mapokezi ya kishindo ya zile ndege zetu nyingine mbili. Hakuna namna.
 
Mzaliwa wa Zanzibar yapata miaka 73 iliyopita, nguli wa fasihi na mwandishi wa novels classic zaidi ya 10...(siongelei uandishi wa The President loves my wife wa Shigongo na kuombana degree UDSM)

Tafuta novel yake ya Paradise ya 1994 ndio utanielewa. AbdulRazak Gurnah very humble pamoja na kukulia ughaibuni sana ila amededicate ushindi huo kwa african continen na African readers....

Dedication to the Truth! Wacha tusubiri firimbi za wasiasa kama kawaida kusema wanamjua sana na pongezi wakati hata hawajawahi kusoma kazi zake.

Anyway katuheshimisha...NB ni mpigania demokrasia na anti colonialism.

Tanzania daima nchi yangu nzuri.

View attachment 1967208View attachment 1967209

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Huyu sio mtanzania halisi mzee
 
Duh huu uzi umekosa kabisa wachangiaji. Hongera zake, bendera kupeperusha. Aje huku pia atufundishie watoto wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom