Hongera NECTA kwa hili: Mitihani Darasa la Saba kusimamiwa na Walimu wa Sekondari

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Dec 22, 2013
4,110
3,269
Nawapongeza sana Baraza la Mitihani Taifa kwa kuanza kudhibiti wizi wa mitihani hasa mitihani ya taifa ya darasa la saba na la nne.
Kwa kuanza mwaka huu naona mmewateua walimu wa shule za sekondari kusimamia mitihani hiyo maana ndo waanga wa wizi wa mitihani kwa kuletewa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.

Hivyo basi naendelea kuwashauri kama kweli mmedhamilia kuondoa tatizo hilo muendelee kupandikiza ma informer ili hatuanza haraka zichukuliwe kwa walimu wakuu watakaotaka kurubuni wasimamizi ili kuvujisha mitihani na hatimae wanafunzi kupewa majibu. Hii imeshakuwa desturi kwa shule zote za msingi binafsi na serikali kufanya juu chini mitihani kuvujishwa na bajeti upangwa kabisa ili viongozinwa elimu kupata sifa. Msipofanya hivyo mitihani itaendelea kuvujishwa tu maana hata walimu wa sekondari wana njaa ya pesa pia.

Ushauri kwa walimu wa sekondari walioteuliwa, huu ndo wakati wa kuprove kwamba mpo vizuri kwa kufanya kazi kwa uhaminifu. Ndo wakati wa kuona matokeo halisi sio sinema ambazo tumezoea kila mwaka. Mkiharibu na nyie sasa taifa litaangamia kwa kuzalisha wataalamu wasiokuwa na sifa. Vilevile mtapeleka tabia hii ya kuiba mitihani ngazi ya sekondari ambapo haikuwepo kwa kiasi kikubwa, kwa ngazi ya sekondari wizi umezoeleka katika shule binafsi tofauti na ngazi ya msingi ambapo wizi unafanyika shule binafsi na za serikalini na bila kificho.

Mwisho nashauri baraza la mitihani Taifa kuweka maafisa mitihani kila ngazi ya wilaya ili wawe ndo waratibu wakuu wa shughuli za mitihani sio kuwaachia maafisa elimu na walimu wakuu kusimamia hilo zoezi wakati na wao ndo kipimo chao cha uchapakazi ndo maana wanashiriki kwenye mchakato wa wizi wa mitihani kwa kuwahamasisha na kuwashurutisha walimu wakuu kuhakikisha wanafunzi wote wanafahulu kwa namna yoyote ile. Ikishindikana hilo la kuweka maafisa wa NECTA kuanzia ngazi ya wilaya basi hili zoezi lisimamiwe na ofisi ya udhibiti ubora.
 
Mods naomba mnisaidie kuhamisha uzi wangu huu kwenye jukwaa la story of Change
 
Yanayofanyika kwenye vyumba vya mitihani ya Darasa la Saba Tanzania yanatisha.
Kuna shule wanafikia hatua ya kuandikiwa majibu ubaoni
 
Ni nia njema sana na hao walimu wa sekondari wasimamie kwa haki kabisa, kwa maana Elimu lazima iwe na thamani, siyo mtu hajui kuandika unakuta yupo sekondari na huko akiibia point chache tayari yupo na D mbili( division four ya 33 ) nae eti amemaliza form four!!!
lazima tuwe na taifa ambalo ukiambiwa huyu ni form four Basi mtu anasema yes!!! achilia mbali form six na University level ambako lazima vijana kutoka huko wawe ni rasilimali ambayo jamii itajivunia siku zote .
 
Nawapongeza sana Baraza la Mitihani Taifa kwa kuanza kudhibiti wizi wa mitihani hasa mitihani ya taifa ya darasa la saba na la nne.
Kwa kuanza mwaka huu naona mmewateua walimu wa shule za sekondari kusimamia mitihani hiyo maana ndo waanga wa wizi wa mitihani kwa kuletewa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.

Hivyo basi naendelea kuwashauri kama kweli mmedhamilia kuondoa tatizo hilo muendelee kupandikiza ma informer ili hatuanza haraka zichukuliwe kwa walimu wakuu watakaotaka kurubuni wasimamizi ili kuvujisha mitihani na hatimae wanafunzi kupewa majibu. Hii imeshakuwa desturi kwa shule zote za msingi binafsi na serikali kufanya juu chini mitihani kuvujishwa na bajeti upangwa kabisa ili viongozinwa elimu kupata sifa. Msipofanya hivyo mitihani itaendelea kuvujishwa tu maana hata walimu wa sekondari wana njaa ya pesa pia.

Ushauri kwa walimu wa sekondari walioteuliwa, huu ndo wakati wa kuprove kwamba mpo vizuri kwa kufanya kazi kwa uhaminifu. Ndo wakati wa kuona matokeo halisi sio sinema ambazo tumezoea kila mwaka. Mkiharibu na nyie sasa taifa litaangamia kwa kuzalisha wataalamu wasiokuwa na sifa. Vilevile mtapeleka tabia hii ya kuiba mitihani ngazi ya sekondari ambapo haikuwepo kwa kiasi kikubwa, kwa ngazi ya sekondari wizi umezoeleka katika shule binafsi tofauti na ngazi ya msingi ambapo wizi unafanyika shule binafsi na za serikalini na bila kificho.

Mwisho nashauri baraza la mitihani Taifa kuweka maafisa mitihani kila ngazi ya wilaya ili wawe ndo waratibu wakuu wa shughuli za mitihani sio kuwaachia maafisa elimu na walimu wakuu kusimamia hilo zoezi wakati na wao ndo kipimo chao cha uchapakazi ndo maana wanashiriki kwenye mchakato wa wizi wa mitihani kwa kuwahamasisha na kuwashurutisha walimu wakuu kuhakikisha wanafunzi wote wanafahulu kwa namna yoyote ile. Ikishindikana hilo la kuweka maafisa wa NECTA kuanzia ngazi ya wilaya basi hili zoezi lisimamiwe na ofisi ya udhibiti ubora.
NECTA wasisahau pia walimu wa CHEKECHEA NA MSINGI kuusimamia mtihani wa form2,4 na 6 ilikuweka equations sawa
 
NECTA wasisahau pia walimu wa CHEKECHEA NA MSINGI kuusimamia mtihani wa form2,4 na 6 ilikuweka equations sawa
Soma vizuri kwanini wameamua kupeleka kule walimu wa sekondari ni kwa sababu kwa miaka mingi walimu wa shule za msingi wameharibu kwa kuvujisha mitihani.
 
Yanayofanyika kwenye vyumba vya mitihani ya Darasa la Saba Tanzania yanatisha.
Kuna shule wanafikia hatua ya kuandikiwa majibu ubaoni
Ndo mambo yalivyokuwa karibia shule zote,viongozi wa kisiasa walikuwa wakilijua hili sema na hawakutaka kuchukua hatua kwa sababu walichotaka kusikia kwao ni "ufahulu umepanda" nijiuliza sana kuona hata serikali ya awamu ya tano ilivyokuwa strict kiasi kile kushindwa kukomesha ile tabia.
 
sasa ni rasimi walimu Wa sekondari tutarndelea kuwa wabishi kwa maafisa elimu na vikaragosi Wa wengi Wa halmashauri wanaotaka kuabudiwa.

nipo shule x, mkoani Y... tulimzingua afisa elimu hadi mkurugenzi akaja kutuomba radhi.


hingera necta kwa kutambua waliofauru kwenda kusimamia mitihani.
 
Haisaidii kabsa maana mtihani ni wakuchagua yani unachagua majibu yani abcd
 
Nawapongeza sana Baraza la Mitihani Taifa kwa kuanza kudhibiti wizi wa mitihani hasa mitihani ya taifa ya darasa la saba na la nne.
Kwa kuanza mwaka huu naona mmewateua walimu wa shule za sekondari kusimamia mitihani hiyo maana ndo waanga wa wizi wa mitihani kwa kuletewa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.

Hivyo basi naendelea kuwashauri kama kweli mmedhamilia kuondoa tatizo hilo muendelee kupandikiza ma informer ili hatuanza haraka zichukuliwe kwa walimu wakuu watakaotaka kurubuni wasimamizi ili kuvujisha mitihani na hatimae wanafunzi kupewa majibu. Hii imeshakuwa desturi kwa shule zote za msingi binafsi na serikali kufanya juu chini mitihani kuvujishwa na bajeti upangwa kabisa ili viongozinwa elimu kupata sifa. Msipofanya hivyo mitihani itaendelea kuvujishwa tu maana hata walimu wa sekondari wana njaa ya pesa pia.

Ushauri kwa walimu wa sekondari walioteuliwa, huu ndo wakati wa kuprove kwamba mpo vizuri kwa kufanya kazi kwa uhaminifu. Ndo wakati wa kuona matokeo halisi sio sinema ambazo tumezoea kila mwaka. Mkiharibu na nyie sasa taifa litaangamia kwa kuzalisha wataalamu wasiokuwa na sifa. Vilevile mtapeleka tabia hii ya kuiba mitihani ngazi ya sekondari ambapo haikuwepo kwa kiasi kikubwa, kwa ngazi ya sekondari wizi umezoeleka katika shule binafsi tofauti na ngazi ya msingi ambapo wizi unafanyika shule binafsi na za serikalini na bila kificho.

Mwisho nashauri baraza la mitihani Taifa kuweka maafisa mitihani kila ngazi ya wilaya ili wawe ndo waratibu wakuu wa shughuli za mitihani sio kuwaachia maafisa elimu na walimu wakuu kusimamia hilo zoezi wakati na wao ndo kipimo chao cha uchapakazi ndo maana wanashiriki kwenye mchakato wa wizi wa mitihani kwa kuwahamasisha na kuwashurutisha walimu wakuu kuhakikisha wanafunzi wote wanafahulu kwa namna yoyote ile. Ikishindikana hilo la kuweka maafisa wa NECTA kuanzia ngazi ya wilaya basi hili zoezi lisimamiwe na ofisi ya udhibiti ubora.
Uhaminifu = uaminifu
 
sasa ni rasimi walimu Wa sekondari tutarndelea kuwa wabishi kwa maafisa elimu na vikaragosi Wa wengi Wa halmashauri wanaotaka kuabudiwa.

nipo shule x, mkoani Y... tulimzingua afisa elimu hadi mkurugenzi akaja kutuomba radhi.


hingera necta kwa kutambua waliofauru kwenda kusimamia mitihani.
Rasimi = rasmi tutarndelea = tutaendelea hingera = hongera waliofauru = waliofaulu. Napata mashaka sana juu ya msamaha mlioombwa na Mkurugenzi kwa uandishi huu wa kitoto namna hii. Ulipaswa uwe la 7.
 
Back
Top Bottom