asiyetabirika
Member
- Oct 14, 2019
- 46
- 55
Nimeicheki mechi ya Sudan dhidi ya Taifa stars iliyoisha kwa 1-2 nimefurahishwa na kipaji cha huyu mchezaji aliyeongezwa kwenye kikosi cha Taifa stars dakika za mwishoni kutokana na uwezo wake aliouonyesha kwa kuifunga YANGA magoli matatu peke yake hali iliyomfanya kocha wa timu ya taifa kumuona huyu kijana na kumuingiza kikosini dakika za mwisho
Leo nimeuona mchango wake kwenye kufanya vizuri Taifa stars huko sudani, magoli yote kwa sehemu kubwa yameanzia kwake, goli la kwanza yeye alifanyiwa faulo iliyopelekea mpira wa adhabu kwenda golini ilipigwa na nyoni na akafunga bao la kwanza, lakini goli la pili ni kafunga yeye mwenye Nchimbi.
Hongera sana Nchimbi, hongera taifa stars kwa kufanya vizuri mchezo wa leo.
Leo nimeuona mchango wake kwenye kufanya vizuri Taifa stars huko sudani, magoli yote kwa sehemu kubwa yameanzia kwake, goli la kwanza yeye alifanyiwa faulo iliyopelekea mpira wa adhabu kwenda golini ilipigwa na nyoni na akafunga bao la kwanza, lakini goli la pili ni kafunga yeye mwenye Nchimbi.
Hongera sana Nchimbi, hongera taifa stars kwa kufanya vizuri mchezo wa leo.