Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Nimefurahishwa sana na demokrasia ya Tanzania, inakua kwa kasi nzuri sana... nimepata raha kuona NCCR wanapata viti vya ubunge. CUF pia... yes wananchi ifike mahali chama kikisemamisha mtu ovyo ovyo mnakiadhibu kwa kuwapa wenye uwezo... huree watanzania.