Hongera mzee Mengi,Unazidi komba medali wakati unakwenda kumface Muhongo Nkurumah

Acha chuki wewe,au kua ni mchaga?itafika wakati na hao watu wako watapata.
 
Acha chuki wewe,au kua ni mchaga?itafika wakati na hao watu wako watapata.

Samahani mdau, mimi si wa kiwango cha ukabila uliko wewe, na sina chuki binafsi na mtu, ninachoongelea hapa kuna wafanyabiashara wengi tu ambao pengine wanamzidi Mengi katika huduma za kijamii hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana na pengine wamekuwa na waajiriwa wengi kuliko Mengi, lakini miaka yote anayepata tuzo ni Mengi tu kwa vile ana vyombo vya habari vinavomtangaza? Hata nafasi za kisiasa utakuta anatangulizwa yeye tu. Wote ni muhimu kwa taifa na watanzania si mtu mmoja tu.
 
Hahaa...ni wewe tuu ndio unazidi komaa na kila sababu ya kijinga....kwani yeye tuu ndiye aliyebebwa?Hujauliza waarabu waliokuwa wakitumia mke wa mwinyi kufanya kufuru hadi kwa maafisa wa serikali,mengi hakuwahi fanya huo ushenzi, hujajiuliza wengine wenye imani ya mwinyi waliopendelewa na kujipatia hela kwa njia haramu za madawa km enzi hii ya JK sasa wapo wapi...zaidi zaidi vijana wa kiislama wakaishia kupata hasara kwa kuw amateja, mashoga,hadi leo Tanzani effect haijaisha na JK ndio anawarudisha tena kulekule kulipoiua Tanga.

Kama kubebwa kunalipa basi waangalie waislama wa nchi hii,sasa na mbaya ziadi waangalie utawala ukibadilika na kuja kiongozi serious km Mkapa.

Nlitaka uniambie kama aliwahi kubebwa au hajawahi kubebwa.
 
Wafanyakazi wa ngazi za juu kwa Bakresa ni wakutoka Zanzibari, mbaguzi sana huyu mtu, ili kupata cheo kwa bakresa mpaka uwe mwislamu, ni tofauti na kwa Mengi.. Njoo huku Ipp uone watu walivyo mchanganyiko. Toka pande zote za nchi wanafanya kazi kwa mengi. Mwaka 1999 nilikuwa kwa bakresa mpaka 2010 kibarua tu.. Wakati nina elimu kuliko walio ofisini,mwenye form four ananiongoza mimi mwenye diploma ya uhandisi mitambo? Kisa yeye ni kutoka pemba? nashukuru sana Mungu baada ya uvumilivu nilifanikiwa kuomba kazi ipp idara ya mitambo nikapata. Kwa bakresa nilikuwa nalipwa 280,000 lakini sasa napata laki 750,000 ipp. ubaguzi kwa bakresa niliuvumilia mpaka nikasema basi...
 
Wafanyakazi wa ngazi za juu kwa Bakresa ni wakutoka Zanzibari, mbaguzi sana huyu mtu, ili kupata cheo kwa bakresa mpaka uwe mwislamu, ni tofauti na kwa Mengi.. Njoo huku Ipp uone watu walivyo mchanganyiko. Toka pande zote za nchi wanafanya kazi kwa mengi. Mwaka 1999 nilikuwa kwa bakresa mpaka 2010 kibarua tu.. Wakati nina elimu kuliko walio ofisini,mwenye form four ananiongoza mimi mwenye diploma ya uhandisi mitambo? Kisa yeye ni kutoka pemba? nashukuru sana Mungu baada ya uvumilivu nilifanikiwa kuomba kazi ipp idara ya mitambo nikapata. Kwa bakresa nilikuwa nalipwa 280,000 lakini sasa napata laki 750,000 ipp. ubaguzi kwa bakresa niliuvumilia mpaka nikasema basi...

nina kijana wangu yukp kwa barhesa mwaka wa 2 huu na dgree yake ya bcom ud, hadi huwa namwonea huruma kwa cheo alichonacho na elimu yake ukilinganisha na hao wanaomuongoza, ambapo kazi zinazotakiwa wafanye wao wanamsukumia afanye yeye, kisa si kati ya wale walioamini.
 
Habari zingine zinachekesha sana. Kupata tuzo hilo ni jambo la kawaida leo kapata yeye kesho mwingine atapata. Hata hivyo una mtazamo wa ajabu sana; Mengi anaenda kwenye mkutano ulioandaliwa na UDASA ambao Prof. Muhongo nae atakuwepo sasa unasema Mengi anaenda kukutana na Prof maana yake nini? Huo mdahalo/mkutano unawakutanisha watu mbalimbali na siyo kama unavyotaka kunarrow down wawe watu wawili. Tayari umekwishambandika Prof kuwa ni Mkandamizaji sijui katika context gani!!! Pia nashangaa unafikiri tuzo aliyopewa Bw. Mengi ndiyo inaweza kumsafisha kama ni mchafu? Hii ndiyo JF
Anakwenda kutana naye akiwa km mtetezi wa maslahi yaliyokandamizwa ya wazawa.Mzawa mwenye kutaka ashirikia.Muhongo ni mkandamizaji wa haki za wazawa.Ambaye anafuatia ktk mission ya Mengi.

Kwanza mengi anakwenda akiwa na nguvu mpya,kwani sifa mbaya sijui ana tamaa,sijui ana nini zimesafishwa leo kwa zile zifa alizokuwa akipewa...

Ulikuwa hujui?
 
Toka nimemaliza masomo yangu 1996 nimekua nafanya kazi na watu wa nchi tofauti, i mean nature ya ajira yangu ni mchanganyiko wa watu wa nchi mbalimbali duniani, ukweli nimekuja kuubaini ni hu, Watanzania tulio wengi sio wazalendo kabisa, hatupendani na hata kununua bidhaa za nchini kwetu ndio hivyo tena, hi inaanzia kwa viongozi hadi watu wa chini, ukisoma michango ya wadau wengi humu, wengi wanaopinga mengi utagundua aidha wao ni Waislam na Mengi inasemekana ni Mkristo, au wana aleji na wachagga, kwao ni bora wamsifie mfanyabiashara yoyote ambae aidha sio Mchagga au Mwislamu mwenzao hata kama sio Mtanzania na wala hana historia yeyoto ya kusaidia jamii, wengine watampenda Mengi pengine kwasababu hizo nilizoziweka hapo juu, hi nayo kwangu ni dalili ya Ka-laana fulani, nimefanya kazi na south Africans kwa muda mrefu pamoja na Waaustralia kwa pamoja, kila mkuu wa idara anapokua Kaburu vitu vyote vimekua vinanunuliwa Africa kusini tu na anapokua Australian mambo hua ni hivyo, Tanzania sasa, mmmh kiongozi yupo tayari kumrahisishia mgeni kupata mkopo lakini sio mbongo mwenzie, tujiulize kama hata na sisi tunazo chembechembe za Utanzania kwa tabia hizi!
 
Wafanyakazi wa ngazi za juu kwa Bakresa ni wakutoka Zanzibari, mbaguzi sana huyu mtu, ili kupata cheo kwa bakresa mpaka uwe mwislamu, ni tofauti na kwa Mengi.. Njoo huku Ipp uone watu walivyo mchanganyiko. Toka pande zote za nchi wanafanya kazi kwa mengi. Mwaka 1999 nilikuwa kwa bakresa mpaka 2010 kibarua tu.. Wakati nina elimu kuliko walio ofisini,mwenye form four ananiongoza mimi mwenye diploma ya uhandisi mitambo? Kisa yeye ni kutoka pemba? nashukuru sana Mungu baada ya uvumilivu nilifanikiwa kuomba kazi ipp idara ya mitambo nikapata. Kwa bakresa nilikuwa nalipwa 280,000 lakini sasa napata laki 750,000 ipp. ubaguzi kwa bakresa niliuvumilia mpaka nikasema basi...

Tatizo baadhi ya watu wanaangalia QUANTITY (Number of people employed by Azam Companies) na sio QUALITY (Better Payments).Hiyo ndiyo mentality tuliyo nayo Watz wengi.Hata Makampuni,Mashirika mengi ya Wazawa hapa Tz mafanikio hupimwa kupitia QUANTITY(MONEY EARNED) badala ya QUALITY (Quality of Products & Services)
 
Anakwenda kutana naye akiwa km mtetezi wa maslahi yaliyokandamizwa ya wazawa.Mzawa mwenye kutaka ashirikia.Muhongo ni mkandamizaji wa haki za wazawa.Ambaye anafuatia ktk mission ya Mengi.

Kwanza mengi anakwenda akiwa na nguvu mpya,kwani sifa mbaya sijui ana tamaa,sijui ana nini zimesafishwa leo kwa zile zifa alizokuwa akipewa...

Ulikuwa hujui?

Nikweli Mkuu Mengi ana unafuu mkubwa na tofauti kubwa sana na wafanyabiashara wengine kwa vyovyote vile hata kama ni unafiki basi ni kweli anawajali masikini kuliko matajiri wengi.Huyu Waziri ni kilaza kwani amesoma na hajelimika Elimu yake hajamsaidia kujitambua na kutambua wadhifa alionao.

Changamoto ambaye ninaiona kwa Mengi ni kupanua hoja yake isiwe ya kibinafsi sana kumfanya aoneka anakimbili kutaka kujipatia Kisima chake kwa manufaa yake aipanue hoja izungumzie mukhtadha wa nchi nzima inavyo nufaika na Raslimali hii na Umiliki wa wananchi kupitia Mamlaka ya Uma halafu baada ya hapo ndo tujipange kuona mwananchi mmojamoja atafaidika vipi kwa kadri ya uwezo,ukwasi na fursa aliyonayo ya kuingia katika uwekezaji.

Pili abadili strategy CCM hawaijui,kuitii au kuheshimu lugha za unyenyekevu kama wanavyofanya akina Mengi. Iwapo hawatajirekebisha wataishia kudhihakiwa na kutukanwa. Lugha wanayoijua CCM ni lugha ya kivitavita na kuhamasisha nguvu ya Uma hii kumuombaomba na kumsihi ukizingatia mtu mwenyewe Sospeter mwenye kiburi na majivuno.....sidhani kama kuna matunda yeyote chanya yatakayopatikana.
 
Nlitaka uniambie kama aliwahi kubebwa au hajawahi kubebwa.

hiyo umeleta wewe uniulize mimi...Mungu alimbeba akabebeka na kupata utajiri alio nao.Kwani Mwinyi alikuwa na vigezo gani vya kumchagua kafir na mchaga Mengi na si mwingine.
 
hiyo umeleta wewe uniulize mimi...Mungu alimbeba akabebeka na kupata utajiri alio nao.Kwani Mwinyi alikuwa na vigezo gani vya kumchagua kafir na mchaga Mengi na si mwingine.


Hata mimi nashindwa kuelewa kwa nini utawala makini kama wa mkapa uliamua kufunga mirija yote.
 
Afrika usimwamini mtu hata akisoma na akaitwa Profesa!!
Muhongo ni buuuure!!
 
hiyo umeleta wewe uniulize mimi...Mungu alimbeba akabebeka na kupata utajiri alio nao.Kwani Mwinyi alikuwa na vigezo gani vya kumchagua kafir na mchaga Mengi na si mwingine.

Yaani haya maneno yenu yenye sura ya udini... ndio yananipotezea kabisaa imani na CHADENA
 
Yaani haya maneno yenu yenye sura ya udini... ndio yananipotezea kabisaa imani na CHADENA

kweli unayo taabu kutaja Mungu unahamia ktk udini?Mungu hana Dini wewe kijana..unayeshika miguu ya watu ili wakuvute.

unavyojitahidi jieleza uanzidi kuonekana mbea tuu.
 
Habari zingine zinachekesha sana. Kupata tuzo hilo ni jambo la kawaida leo kapata yeye kesho mwingine atapata. Hata hivyo una mtazamo wa ajabu sana; Mengi anaenda kwenye mkutano ulioandaliwa na UDASA ambao Prof. Muhongo nae atakuwepo sasa unasema Mengi anaenda kukutana na Prof maana yake nini? Huo mdahalo/mkutano unawakutanisha watu mbalimbali na siyo kama unavyotaka kunarrow down wawe watu wawili. Tayari umekwishambandika Prof kuwa ni Mkandamizaji sijui katika context gani!!! Pia nashangaa unafikiri tuzo aliyopewa Bw. Mengi ndiyo inaweza kumsafisha kama ni mchafu? Hii ndiyo JF

haha..acha unafiki unataka ficha na por analysis....hata walioandaa pia walilenga kitu km hicho ili papatikane pa mtanange..Otherwise kuna watu km akina mfuruki ,mwenyekiti wa ile chama ya wenye kuzichanga aliyokuwa kaiongoza Mengo zamani.

By the way ktk kila midahalo lazima pawe na icons ambzo zitaleta mvuto..na hii ipo hata ktk game kubwa.Ndio maana Mechi za el classico ..kwa miaka hii wachezaji Messi na Ronaldo hutegemewa kudecide mechi.


Hao jamaa ndio mvuto wa huo mdahalo..Muhongo si tuu mkandamizaji km nyapara mwenye sifa kwa ugali wa cell..ila pia ni mshamba sana kuliko anavyojidai na uprof wake na. na pose lake ktk kutoa hotuba linalomfanya aonekane km anayeomba huruma akidhani kuwa anamwaga nondo.

Muhongo ni mpuuzi ,mwenye dharau mbaya..utadhani aliwhai tengeneza hela km za Mengo nje ya kufundisha na cross za tafiti na budget za kihuni.

Tuzo ni ya kawaida wakati maCCM makabila,madinn hayapati?Acha kujidanganya wewe..
 
Back
Top Bottom