Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Hongera sana MZee Mengi:
NImeipenda hotuba ya mwakilishi wa watoa nishani..Alisema yote ambayo magamba wasingependa kusikia kwako.Walisema yote magamba waliyoyageuza na kukupaka vibaya.Yule jamaa kayasema jisni yalivyostahili.
Haya yote yana kuoa baraka kubwa sana kwenda muona muhongo..ambaya hakuwahi tengeneza hela kwa akili yake.Na sasa hana hizo values ambazo wamekiri wengi wakati unapokea nishani yako mzee.
Mungu akusaidie.
NImeipenda hotuba ya mwakilishi wa watoa nishani..Alisema yote ambayo magamba wasingependa kusikia kwako.Walisema yote magamba waliyoyageuza na kukupaka vibaya.Yule jamaa kayasema jisni yalivyostahili.
Haya yote yana kuoa baraka kubwa sana kwenda muona muhongo..ambaya hakuwahi tengeneza hela kwa akili yake.Na sasa hana hizo values ambazo wamekiri wengi wakati unapokea nishani yako mzee.
Mungu akusaidie.