Kwa ujumla sielewi, sijui Tanzania Wachora ramani za Majiji yetu ya Dar na Mwanza serikali iliwatoa wapi?
Yaani wao wame Focus ktk barabara zakunyooka tu. Fly-Over yenyewe ya Ajabu.
Tujaribu kutumia Wakandarasi wa majirani wetu, wanao iboresha Nairobi. Uone Round about, Fly-over za maana na barabara nyingi na ndogo ndogo zinavyo zalishwa jijini kuondoa msongamano.
Tembelea Mombasa Road au Thika Road kuelewa Kenya wanafanya nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.