Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,589
- 20,898
Hakika nimepita leo sikuamini. (CBE) Pia mkuu wetu wa mkoa Hapo karibu na ofisi yako zilipo ofisi za TFF ni machinga lakini pameoza
Kabla ya kwenda Chadema Ally alikuwa mwana Ccm, kwa hiyo ni sawa tu kusena amerudi Ccm! Au ni kipi usichoelewa mkuu?Siasa bana,eti Wanasema Bananga karudi ccm,Wanaogopa kusema kahamia ccm TOKA Chadema.
Hawa ndo waliokua ma role model wa vijana wa Chadema,wanawachezea akiliiii wakiguswa maslahi yao kidogo tu wanalipukaaaaa.
Binafsi siamini kabisa katika Siasa na democracy za kiafrica.Ni upuuzi tu kuanzia muasisi wao wa siasa za nchi hii a.k.a fisiem
Bado mkoa flani unajiita mji kasoro bahari.!
Pia ametoka chadema na mwaka Jana alikua campaign manager wa Mgombea wa Chadema Tundu lisuKabla ya kwenda Chadema Ally alikuwa mwana Ccm, kwa hiyo ni sawa tu kusena amerudi Ccm! Au ni kipi usichoelewa mkuu?
Siamini hapa mahala pamekua hivi hakyanan kesho naenda kujionea mwenyewe aisee. Na mbele ya DIT pale walivamia wakawa wanakaanga mihogo kwa kuni full mimoshi kama tupo ulyankuluHakika nimepita leo sikuamini. (CBE) Hapo karibu na ofisi yako zilipo ofisi za TFF ni machinga lakini pameoza
View attachment 1977714
Dar ilikua inachukiza sana aisee lakini pamoja na hayo yote ilikua inahesabika miongoni mwa majiji masafi Africa kwenye kumi bora. Saizi Dar itakimbiza vizuri sasa labda watatuzidi Kigali na Capetown tu hahahahaaaWakimaliza hilo zoezi la kuhamisha machinga waajili watu wa kufagia mjini pawe pasafi.
Wasisahau kituo cha bus cha railway station!Wazidi kusogea kuja Kimara mdogo mdogo.
Tena waende na pale kivukoni yaani aibu.