MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Hongera sana kwa idara ya elimu mkoa wa Singida kwa kuwafanikisha watoto wa shule za msingi mkoani hapo kwa kuwafanya wafanye vizuri mitihani yao ya darasa la saba kwa mwaka 2018 kwa kutoka nafasi ya mwisho yaani 26 mwaka 2017 mpaka nafasi ya 14 mwaka 2018
Nakumbuka mwaka 2016 singida ilitoa shule ya mwisho kabisa ktk matokeo
Nakumbuka mwaka 2016 singida ilitoa shule ya mwisho kabisa ktk matokeo