Hongera Mkoa wa Pwani kutoa shule 4 kati ya 10 bora Tanzania ..mtihani kidato cha sita 2017

Kwani wewe unataka kujifunza nini hapo!

Naona umeng'ang'ana tunajifunza nini! tunajifunza nini!

Mafunzo unayotaka kuyapata nenda kagombee uongozi wa ccm kibiti.
Kuna jambo la kujifunza hapo.punguza hasira.
 
Simfahamu na usichukulie point hiyo kwa upekee wake maana nimweka mbili.

Ila hoja yangu ni kuwa kuna uhusiano gani wa moja kwa moja wa mafanikio ya shule hizo, wanafunzi na mkoa wa Pwani. Hao watoto wameshamaliza shule na uwezekano wa kurudi mkoani hapo kurejesha mafanikio yao ni.l mdogo sana. Kifupi uhusiano wao na mkoa haupo. Asilimia 99 sio asili yao mkoa wa pwani unless mtoa mada afafanue hoja yake.
Kibaha iko chini ya umiliki wa serikali
 
Hakuna Uhusiano Kat Ya Mkoa Na Shule Labda Kwa Znazomilikiwa Na Serikali Mf. Kibaha. Lkn Hzo Za ST.Flan Ni Mikakati Ya Wamiliki Kibiashara, So Hata Ingekua Ipo Nanjilinji Bado Wangefaulu2. Wengi Watoto Wa Wenyenazo Na Wanatoka Sehem Tofaut Tofauti, Lkn Co Mbaya Kushangilia Gor Maiya Wkt Ikisheza Na Evarton Ktk Uwanja Wa Taifa, Ni Swala La Uzalendo Tu.
Unajifunza nini?
 
Hongera wanafunzi na walimu.
Mleta uzi acha porojo na ushilawadu wa kutenga nchi kimikoa au kikanda.
 
na kwa takwimu zilizopo Mkoa huu pia unajengwa viwanda vingi kwa sasa kuliko pengine popote sijui nini siri ya haya yote
Hayo yote yameanza kufanyika uwekezaji wake toka awamu ya nne.Tunayoyaona ni matunda ya Dr Kikwete
 
Hongera wanafunzi na walimu.
Mleta uzi acha porojo na ushilawadu wa kutenga nchi kimikoa au kikanda.
Kama Mkoa umefanya vizuri kwa kutoa shule 4 kati ya 10 bora Tanzania tusiusifie au unataka tuseme nini?

Mbona Dar ilipofanya vibaya kila mmoja alipaza sauti.
 
Kama Mkoa umefanya vizuri kwa kutoa shule 4 kati ya 10 bora Tanzania tusiusifie au unataka tuseme nini?

Mbona Dar ilipofanya vibaya kila mmoja alipaza sauti.

Nimesema wanafunzi wote na walimu wapewe pongezi.
Kama huelewi hii concept ndogo utakuwa na vyeti feki au incomplete certificates.
 
Ndio Najifunza Tramadol, Una Lingine La Kuuliza Nikusaidie?
Nachojiuliza ni kwanini watz wanapingana na takwimu za Necta!!

Taarifa inasema shule 4 kati ya 10 bora Tanzania mtihani wa kidato cha sits 2017 zinatoka Mkoa wa Pwani.

Na Mimi mada yangu ni kuwa Kwanza Hongera kwa Mkoa kupata matokeo hayo.Na pili Kuna la kujifunza hapo.

Sasa kila nikisoma comments bwana JF wanatoa negative ideas isipokuwa wachache kama Faiza.

Tatizo ni nini au hakuna ukweli kuwa 4 zimetoka Pwani na hawastahili kupongezwa?
 
Swala La Dar Kufanya Vbaya Ni Shule Nyingi Za Serikali Ziliharibu Mpaka Azania Ikawa Kati Ya Shule 10 Za Mwisho. So Watu Walipga Kelele Wakiichallenge Govt Kwan Serikali Inajukumu La Kufatilia Kwa Ukaribu Shule Zake Co Kujenga Majengo Tu. Mf. Madiwani, Wakurugenz, Wakuu Wa Mikoa Na Wilaya Wote Ni Viongoz, Hvo Wakiweka Mipango Ya Kuzsaidia Watoto Wanatafanya Vzr. Lkn Private School Ni Biashara Co Service Km Govt, So Matokeo Mazr Kwa Mmiliki Ndo Mtaji Kwa Mwaka Unaofuata Na Zngine Ada Zao Hata Vyuo Vikuu Havigusi. Nenda Visiga Seminary, Kisarawe Jun.Seminar Km Utakuta Wazaramo Wa Huko Wanasoma Pale. Msipende sifa Zczo Wahusu.
 
Back
Top Bottom