Hongera MH.Mudhihiri M.Mudhihiri

Sanda Matuta

JF-Expert Member
May 9, 2007
949
134
Kwa wale ambao tumefatilia kipindi cha maswali na majibu cha Bunge letu tukufu linaoendelea hasa kwenye wizara ya Mifugo na maenendeleo ya uvuvi (wizara ya kitoweo) nadhani mtakua mnanielewa.
Michango ya yote ya wabunge kwenye miswada yawizara hiyo ilikua mizuri na ya kuvutiwa,kila mbunge akijaribu kuwakilisha wananchi wa jimbo lake vizuri kabisa ikionyesha wakitetea maslai mbali mbali ya wapiga kula wake.
Lakini pongezi zangu za pekee zina mwendeea Muheshimiwa Mudhihili,michango ya muheshimiwa huyo ni dhahili imetutoa kimaso maso sisi watu wa Pwani na juu la swala zima la uvuvi kwenye maeneo yetu.
Kuna msemo ule msemo wa "adhabu ya kaburi'aijue maiti". ndio hasa una apply kwa michango yote ya wabunge na Muheshiwa Mudhihili,walichokuwa/alichokua akikisemema ndio hasa ukweli wa mambo yenyewe yalivyo,yaani watu (watafiti wa wizara hii ya kitoweo) baada ya kufanya research zao vizuri kwa kuwahusisha wahusika wao nikukaa ofisini na kuandika miswada na majumuhisho yao hasa yanayo kugusa maisha ya watu na kuishi kwao(desturi na mila zao) kwa ku-base na nadhalia wazisomazo vitabuni na kusikia sikia tu.
Mfano swala la uvuvi ni maisha kwa watu wa pwani yaani,ili wakazi wa jamii hizi za pwani waweze ku-Sustain their livehood lazima shughuli za uvuvi zifanyike usiku na mchana ,kama jamii ya Kimasai na Ufugaji wa Ngombe.sasa inakuaje uwaambie watu hawa wasifanye shughuli hizi..? just because of your lame excuses za uvuvi haramu ,wakale wapi au haya ndio maisha Bora...?

Hivi waheshiwa watunga sera hizi mnajua jinsi gani watu wa Bara yaani watu wanotoka mikoa ambayo haijuisishi na uvuvi walivyo jaa kwenye mikoa ya pwani na baadhi wanajihusisha moja kwa moja na shughuli hizi za uvuvi.Mfano ninapoishi mimi kuna hata Mmasai ambaye ni mvuvi,je mnadhani hakutakua na mkanganyiko kwenye shughuli zake za uvivi ?huo ni moja tu ya mifano mingi so kala hamjakaa na kuweka makatazo ni ladhima muwashilikishe watu wa jamii husika.
Na hii ndio MH.Mudhihili alikua anajaribu kusema kwa dhati yake na maswalai ya wapigakula wake na watu wote wa pwani ya bahari na maziwa.

Juzi tu nilikua natoka kigamboni nimeshuhudia kwa macho yangu wachhuzi wakitoka kununua samaki ambao wanatoka Yemen kwenye maboksi wakiwa na Label za ubora kutoka Yemeni,nilipo uliza sababu za wao kununua samaki hao.....nikajibiwa kwamba serikali imepiga marufuku uvuvi kwa boti za uvuvi na mambo mengi yenye mchanganyiko.
Nikauliza je,....Hivi bahari yetu imeisha samaki? nikajibiwa hiyo nikawaida kwa mambo kama hayo kufanywa na wanasiasa wetu(serikali)

Sasa nikajiuliza hivi ni bora kununua samaki kutoka nnje ya nchi au tuvue wakwetu,jibu likaja kwa mchango wa Mh.Mudhihili.

Tena,Pongezi MUHESHIMIA MUDHIHILI
 
Last edited:
Kwa wale ambao tumefatilia kipindi cha maswali na majibu cha Bunge letu tukufu linaoendelea hasa kwenye wizara ya Mifugo na maenendeleo ya uvuvi (wizara ya kitoweo) nadhani mtakua mnanielewa.
Michango ya yote ya wabunge kwenye miswada yawizara hiyo ilikua mizuri na ya kuvutiwa,kila mbunge akijaribu kuwakilisha wananchi wa jimbo lake vizuri kabisa ikionyesha wakitetea maslai mbali mbali ya wapiga kula wake.
Lakini pongezi zangu za pekee zina mwendeea Muheshimiwa Mudhihili,michango ya muheshimiwa huyo ni dhahili imetutoa kimaso maso sisi watu wa Pwani na juu la swala zima la uvuvi kwenye maeneo yetu.
Kuna msemo ule msemo wa "adhabu ya kaburi'aijue maiti". ndio hasa una apply kwa michango yote ya wabunge na Muheshiwa Mudhihili,walichokuwa/alichokua akikisemema ndio hasa ukweli wa mambo yenyewe yalivyo,yaani watu (watafiti wa wizara hii ya kitoweo) baada ya kufanya research zao vizuri kwa kuwahusisha wahusika wao nikukaa ofisini na kuandika miswada na majumuhisho yao hasa yanayo kugusa maisha ya watu na kuishi kwao(desturi na mila zao) kwa ku-base na nadhalia wazisomazo vitabuni na kusikia sikia tu.
Mfano swala la uvuvi ni maisha kwa watu wa pwani yaani,ili wakazi wa jamii hizi za pwani waweze ku-Sustain their livehood lazima shughuli za uvuvi zifanyike usiku na mchana ,kama jamii ya Kimasai na Ufugaji wa Ngombe.sasa inakuaje uwaambie watu hawa wasifanye shughuli hizi..? just because of your lame excuses za uvuvi haramu ,wakale wapi au haya ndio maisha Bora...?

Hivi waheshiwa watunga sera hizi mnajua jinsi gani watu wa Bara yaani watu wanotoka mikoa ambayo haijuisishi na uvuvi walivyo jaa kwenye mikoa ya pwani na baadhi wanajihusisha moja kwa moja na shughuli hizi za uvuvi.Mfano ninapoishi mimi kuna hata Mmasai ambaye ni mvuvi,je mnadhani hakutakua na mkanganyiko kwenye shughuli zake za uvivi ?huo ni moja tu ya mifano mingi so kala hamjakaa na kuweka makatazo ni ladhima muwashilikishe watu wa jamii husika.
Na hii ndio MH.Mudhihili alikua anajaribu kusema kwa dhati yake na maswalai ya wapigakula wake na watu wote wa pwani ya bahari na maziwa.

Juzi tu nilikua natoka kigamboni nimeshuhudia kwa macho yangu wachhuzi wakitoka kununua samaki ambao wanatoka Yemen kwenye maboksi wakiwa na Label za ubora kutoka Yemeni,nilipo uliza sababu za wao kununua samaki hao.....nikajibiwa kwamba serikali imepiga marufuku uvuvi kwa boti za uvuvi na mambo mengi yenye mchanganyiko.
Nikauliza je,....Hivi bahari yetu imeisha samaki? nikajibiwa hiyo nikawaida kwa mambo kama hayo kufanywa na wanasiasa wetu(serikali)

Sasa nikajiuliza hivi ni bora kununua samaki kutoka nnje ya nchi au tuvue wakwetu,jibu likaja kwa mchango wa Mh.Mudhihili.

Tena,Pongezi MUHESHIMIA MUDHIHILI

.........bado natafuta mahala aliposema cha kupongezwa...............kwani Mudhihiri kasema nini?.....
 
naona huyu ni mudhihir mwenyewe anajifagilia hapa, karibu bwana mudhihir, ila ukumbuke kuwa domo lako lilikuponza mpaka ukapoteza mkono
 
Naona pointi hapo ni wazawa nao washirikishwe ama kupewa mafunzo ya kuzitumia rasilimali zao na si watu kutoka Yemeni waje kufanya hivyo simply kwasababu wana uzoefu wa uvuvi zaidi ya wamasai!

Ama hata wahindi ama wachina kupewa mikopo zaidi a wazawa na wabantu simply kwasababu hawana elimu ya ujasiriamali...Ka alivyowahi kusema Syeve D kuwa eti hao wageni wanaletwa kutufundisha biashara...Na ndio maana nikasema wazi kuwa waafrika haswa viongozi wetu wana roho mbaya sana na wao ndio wenye mawazo ya kitumwa kwani walishindwa kuwatayarisha watanzania kwa kuwapa elimu!
 
Kuna ubaya gani kwa Mmasai kufanya uvuvi? Au kuna jambo sijaelewa hapa?
 
Kwa Upande Wangu Nimeona Point Ya Muthihiri Ni Kwamba Policy Maker Hawajui Kwamba Samaki Wanavuliwa Usiku,sasa Wanapolisicy Samaki Wavuliwe Mchana Kukabliana Na Wavuvi Haramu, So The Gay Have The Point
 
Kwa Upande Wangu Nimeona Point Ya Muthihiri Ni Kwamba Policy Maker Hawajui Kwamba Samaki Wanavuliwa Usiku,sasa Wanapolisicy Samaki Wavuliwe Mchana Kukabliana Na Wavuvi Haramu, So The Gay Have The Point


Oooops taratibu mkuu.....
 
Hongera muheshimiwa kwa kupass typing test. nafikiri ni test nzuri sana, maana kama huna point ni bora ukatunga ili kujaribu kama unaweza kutype
 
..............

Sasa nikajiuliza hivi ni bora kununua samaki kutoka nnje ya nchi au tuvue wakwetu,jibu likaja kwa mchango wa Mh.Mudhihili.

Tena,Pongezi MUHESHIMIA MUDHIHILI


Mmmm!!! kuna makubwa JF
 
Tangu nikiwa nakua,nimekulia mikoa ya pembezoni mwa bahari zaidi...nimekuwa nikiona na kusikia kuhusu uvuvi haramu hasa kwa wageni wanaomiliki,kukodi meli uvuvi,ni hatari sana maana wameshajilimbikiziaa utajiri mkubwa sana kwa kuliibia taifa kiasi kikubwa sana cha dollar..wanacholipa kidogo sana wanavuna tani nyingi sana haramu tofauti na wanacholipa...na wanahonga watendaji kiasi kidogo sana ili kupata,renew vibali vyao...imekuwa hivyo miaka na miaka maana hata sekta yenyewe ilikuwa kama imesahaulika na imekuwa chini ya mtu mmoja au kikundi kidogo cha wakurugenzi wa maliasili..baasi,samaki wa SA wanauzwa sana na inasemekana wanapakwa dawa za maiti ili wasiharibike mapema ...wadanganyika tunawakimbilia sababu ni wakubwa sana in size kulinanisha na wa kwetu hapa..pili bei yao nafuu kidogo..ingawa wanatoka mbali hivyo...
 
tatizo ni kuwa wengi tumeconcentrate kwenye madini na kuona kuwa huko ndiko tunaibiwa. Wengi hawajashtuka kuwa kuna wizi mikubw akwenye uvuvi kama ilivyo kwenye madini
 
Wakurugenzi wote wa uvuvi wanatokea Kilimanjaro.

Mchaga na uvuvi wapi na wapi!

Panahitajika kuwe na watu wanaoujua uvuvi ulivyo.
 
Huo ndio utendaji na uzuri wa Mh. Magufuli. Kila Wizara atakayopewa kuiongoza tofauti utaiona tu hata kama haumpendi. Utadhani wizara hiyo haijawahi kuwa na waziri au ni wizara mpya kabisa!
 
Mimi huwa nashangaa mitaani, hivi visamaki vidogo ni species mpya au ni vitoto vya samaki vinauzwa ferry?
Magufuli ana kazi kubwa hapo!!
Aliyosema Mudhihiri (mudhihili) ni kweli na ya kuzingatiwa.Big up.
Mimi huwa nasema kila mara sio kwamba kuna mtu anaweza kuwa mbaya 100%, kuna atakapochemsha na anapowezea.
Kila kosa lihesabiwe kivyake na lisizuie mazuri yake kuonekana.
Msema kweli mpenzi wa mungu.
tujitahidi pia kuapreciate.
 
Back
Top Bottom