Nzilo
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 180
- 58
Kwa mara nyingine nimeamini kuwa bado tuna hazina kubwa ya wanadiplomaisia!!. Na ulimwengu unajua sasa kuwa Tanzania ina nafasi gani na mchango gani katika kupigania Uhuru wa Waafrika wenzetu hususani Uhuru wa ndugu zetu wa Afrika kusini.... Zaidi nimefurahishwa na hotuba yako Mh. JK umetuwakilisha vema watanzania wenzako... haya ndiyo mafanikio tunayoyahitaji na umeonesha wazi kuwa huutwi Rais kwa kubahatisha ni pamoja na kufanya vizuri kimataifa.... Hongera sana Mh. Dk. Jakaya!!!