Elections 2010 Hongera mh. Dk. Jakaya M. Kikwete

Mwanamageuko

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
8,602
5,569
Hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii Jamhuri yetu ya Tanzania,
Hatuna Rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa WAANDISHI na wale wamiliki VITANGAZIO, baba napenda kukukumbusha ulisahau WALE MAFARISAYO NA MASADUKAYO wanaotuhudumia sie tulio chini. Hususan wale wanaokaa kule kuitwako TAAHAMSEMI. Huko ndiko majeraha yatakosiginwa na kutiwa chumvi, ee baba ujue ufalme wako hautaishia hapo MAGOGONI, upitepite Manzese kama upitavyo Kariakoo na kwengine kama alivopitaga hayati Sokoine, Ninajua majukumu yako mengi na nchi ni kubwa lakini hii leo si kubwa kama wakati ule wa usafiri wa tabu (kutoka Mwanza kwenda Shinyanga siku nzima, wachilia mbali Dar kwenda Mtwara kwa barabara. Upite hata kule Lipumba alikopita akakwama na kule Slaa alikokuta watu wanaishi mashimoni kama... na kwenye tembe karne hii. Baba si vibaya ukawatuma hata WATANI zako wa KISIASA kwa kufanya kwao MIKUTANO ya hadhara huko mikoani UTAWEZA kupata kero za WANANCHI kuliko kusubiri kuambiwa na BABA yetu MAKAMBA kila kitu kiko shwari. Nayasema hayo kwa SABABU ni RAHISI kwa WATANI wako KUONANA na WANANCHI kuliko wewe KWA MAANA WANAFUNZI WAKO HUWAZUILIA NJIA WANAOKUFUATA. Ndio maana wao HUKUCHAGULIA MAGAZETI YA KUSOMA na YALE MENGINE UNAYOYAPENDA HUTAKA KUYAFUNGIA. Hii ni nchi yetu sote ndio maana kina sisi tulibaki hatukujilipua kama walivyojilipua wale wenzetu. Wataalamu waliopo Tanganyika wathaminike kama walivyothaminika wa Zanzibar kwani mchango wao ni mkubwa. Wasithaminike wale watoto wa waliokaribu ya ufalme wake kwa maana hawakusomea maarifa bali vyeti. Ili waliojilipua warudi na kujenga nchi hii... Mungu Ibariki Tanzania.

Niishie hapa nisikuchoshe kwa leo,

Wasalaam,

Wako katika ujenzi wa Taifa.

Mwanamageuko.
 
Hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii Jamhuri yetu ya Tanzania,
Hatuna Rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa WAANDISHI na wale wamiliki VITANGAZIO, baba napenda kukukumbusha ulisahau WALE MAFARISAYO NA MASADUKAYO wanaotuhudumia sie tulio chini. Hususan wale wanaokaa kule kuitwako TAAHAMSEMI. Huko ndiko majeraha yatakosiginwa na kutiwa chumvi, ee baba ujue ufalme wako hautaishia hapo MAGOGONI, upitepite Manzese kama upitavyo Kariakoo na kwengine kama alivopitaga hayati Sokoine, Ninajua majukumu yako mengi na nchi ni kubwa lakini hii leo si kubwa kama wakati ule wa usafiri wa tabu (kutoka Mwanza kwenda Shinyanga siku nzima, wachilia mbali Dar kwenda Mtwara kwa barabara. Upite hata kule Lipumba alikopita akakwama na kule Slaa alikokuta watu wanaishi mashimoni kama... na kwenye tembe karne hii. Baba si vibaya ukawatuma hata WATANI zako wa KISIASA kwa kufanya kwao MIKUTANO ya hadhara huko mikoani UTAWEZA kupata kero za WANANCHI kuliko kusubiri kuambiwa na BABA yetu MAKAMBA kila kitu kiko shwari. Nayasema hayo kwa SABABU ni RAHISI kwa WATANI wako KUONANA na WANANCHI kuliko wewe KWA MAANA WANAFUNZI WAKO HUWAZUILIA NJIA WANAOKUFUATA. Ndio maana wao HUKUCHAGULIA MAGAZETI YA KUSOMA na YALE MENGINE UNAYOYAPENDA HUTAKA KUYAFUNGIA. Hii ni nchi yetu sote ndio maana kina sisi tulibaki hatukujilipua kama walivyojilipua wale wenzetu. Wataalamu waliopo Tanganyika wathaminike kama walivyothaminika wa Zanzibar kwani mchango wao ni mkubwa. Wasithaminike wale watoto wa waliokaribu ya ufalme wake kwa maana hawakusomea maarifa bali vyeti. Ili waliojilipua warudi na kujenga nchi hii... Mungu Ibariki Tanzania.

Niishie hapa nisikuchoshe kwa leo,

Wasalaam,

Wako katika ujenzi wa Taifa.

Mwanamageuko.

Rais wetu ni msikivu na mchapa kazi atayafanyia kazi
 
30x302.jpg

Weird topic.

Congratulations to our Mr. President
30x30.jpg
 
Hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii Jamhuri yetu ya Tanzania,
Hatuna Rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa WAANDISHI na wale wamiliki VITANGAZIO, baba napenda kukukumbusha ulisahau WALE MAFARISAYO NA MASADUKAYO wanaotuhudumia sie tulio chini. Hususan wale wanaokaa kule kuitwako TAAHAMSEMI. Huko ndiko majeraha yatakosiginwa na kutiwa chumvi, ee baba ujue ufalme wako hautaishia hapo MAGOGONI, upitepite Manzese kama upitavyo Kariakoo na kwengine kama alivopitaga hayati Sokoine, Ninajua majukumu yako mengi na nchi ni kubwa lakini hii leo si kubwa kama wakati ule wa usafiri wa tabu (kutoka Mwanza kwenda Shinyanga siku nzima, wachilia mbali Dar kwenda Mtwara kwa barabara. Upite hata kule Lipumba alikopita akakwama na kule Slaa alikokuta watu wanaishi mashimoni kama... na kwenye tembe karne hii. Baba si vibaya ukawatuma hata WATANI zako wa KISIASA kwa kufanya kwao MIKUTANO ya hadhara huko mikoani UTAWEZA kupata kero za WANANCHI kuliko kusubiri kuambiwa na BABA yetu MAKAMBA kila kitu kiko shwari. Nayasema hayo kwa SABABU ni RAHISI kwa WATANI wako KUONANA na WANANCHI kuliko wewe KWA MAANA WANAFUNZI WAKO HUWAZUILIA NJIA WANAOKUFUATA. Ndio maana wao HUKUCHAGULIA MAGAZETI YA KUSOMA na YALE MENGINE UNAYOYAPENDA HUTAKA KUYAFUNGIA. Hii ni nchi yetu sote ndio maana kina sisi tulibaki hatukujilipua kama walivyojilipua wale wenzetu. Wataalamu waliopo Tanganyika wathaminike kama walivyothaminika wa Zanzibar kwani mchango wao ni mkubwa. Wasithaminike wale watoto wa waliokaribu ya ufalme wake kwa maana hawakusomea maarifa bali vyeti. Ili waliojilipua warudi na kujenga nchi hii... Mungu Ibariki Tanzania.

Niishie hapa nisikuchoshe kwa leo,

Wasalaam,

Wako katika ujenzi wa Taifa.

Mwanamageuko.

Kiherehere chako! Hupati promotion Ng'0!!!! Unajipendekeza utadhani sijui nini.
 
Hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii Jamhuri yetu ya Tanzania,
Hatuna Rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa WAANDISHI na wale wamiliki VITANGAZIO, baba napenda kukukumbusha ulisahau WALE MAFARISAYO NA MASADUKAYO wanaotuhudumia sie tulio chini. Hususan wale wanaokaa kule kuitwako TAAHAMSEMI. Huko ndiko majeraha yatakosiginwa na kutiwa chumvi, ee baba ujue ufalme wako hautaishia hapo MAGOGONI, upitepite Manzese kama upitavyo Kariakoo na kwengine kama alivopitaga hayati Sokoine, Ninajua majukumu yako mengi na nchi ni kubwa lakini hii leo si kubwa kama wakati ule wa usafiri wa tabu (kutoka Mwanza kwenda Shinyanga siku nzima, wachilia mbali Dar kwenda Mtwara kwa barabara. Upite hata kule Lipumba alikopita akakwama na kule Slaa alikokuta watu wanaishi mashimoni kama... na kwenye tembe karne hii. Baba si vibaya ukawatuma hata WATANI zako wa KISIASA kwa kufanya kwao MIKUTANO ya hadhara huko mikoani UTAWEZA kupata kero za WANANCHI kuliko kusubiri kuambiwa na BABA yetu MAKAMBA kila kitu kiko shwari. Nayasema hayo kwa SABABU ni RAHISI kwa WATANI wako KUONANA na WANANCHI kuliko wewe KWA MAANA WANAFUNZI WAKO HUWAZUILIA NJIA WANAOKUFUATA. Ndio maana wao HUKUCHAGULIA MAGAZETI YA KUSOMA na YALE MENGINE UNAYOYAPENDA HUTAKA KUYAFUNGIA. Hii ni nchi yetu sote ndio maana kina sisi tulibaki hatukujilipua kama walivyojilipua wale wenzetu. Wataalamu waliopo Tanganyika wathaminike kama walivyothaminika wa Zanzibar kwani mchango wao ni mkubwa. Wasithaminike wale watoto wa waliokaribu ya ufalme wake kwa maana hawakusomea maarifa bali vyeti. Ili waliojilipua warudi na kujenga nchi hii... Mungu Ibariki Tanzania.

Niishie hapa nisikuchoshe kwa leo,

Wasalaam,

Wako katika ujenzi wa Taifa.

Mwanamageuko.
 
Mungi tizama ukweli acha kupinga kila kitu, wewe vp aisee ?

Huyu jamaa yako anaboa afadhali wewe japokuwa una matatizo mengi kichwani.\

Ukweli ni kuwa Kikwete hakushinda kihalali, bali kaiba kura hata wewe unajua. kwa hiyo inatakiwa ukubali tunaongozwa na mtu tuliyemkataa.

Cha msingi kwakuwa mimi na wewe ni watanzania wamoja, tuungane tuijenge nchi yetu. vilevile usisahau kuwa rais wetu Dr. Slaa atanguruma kesho kuzungumzia nini chakufanya. najua hataweza kubadilisha matokeo kwa kuwa MSANII kashaapishwa.
 
Mwanamageuko, hawa ndio wale wana wa kugeuzwa, peleka uhiyo uko, acha kuleta ujinga hapa, kichwa maji ww, avatar iko kama marehemu vile, pumbaf, Kikwere ww
 
@ MWANAMAGEUKO AMETUMIA FALSAFA YA HALI YA JUU...USIPOSOMA KWA MAKINI UTAONA KIKWETE KASIFIWA... KUMBE KATUKANWA KULIKO KUSEMA...NANI YA Ma@~£$%.O!!!

YEAH... MTIZAMO WA HALI YA JUU LAZIMA AKUBALI HAYO NA KUSIKITIKA KUWA BABA HUYU WAKATI WA KAMPENI ALIJIFANYA KUPIGA PICHA NA WAZEE, WATOTO, WALEMAVU NA HATA KUJIFANYA KUKAA NA WATU VIJIWENI ILI TU KUWALAGHAI APATE KULA ZAO...MBONA HAKUWAFATA WATU VYUONI KUOMBA KURA... ANAJUA NI WATU WA AINA GANI KUOMBA KURA ZAO KWAO... MWENYE UFAHAMU NA KUONA MBALI AWEZI KUMPA KIKWETE KULA OOOH SORRY KURA KAMA SIO KUTAFUNA... NDIO MAANA KAWAENDEA MBUMBUMBU NA WAZEE KUJIPENDEKEZA KWAO...

AIBU NI KWAMBA:- KAMA SLAA NDIO AMEGOMBEA KWA MARA YA KWANZA TU AMECHUANA NAE VIBAYA SANA SANA...NA WAKATI MHESHIMIWA SANA HUYU ALIPOCHAGULIWA AWALI ALIKUWA JUU KWA MADAI YAKE YA KUSHINDA KWA VISHINDO, SASA TOKA 81% MPAKA 61% AMBAZO NI ZA KUCHAKACHUA HAPO MUHESHIMIWA SANA INAKUWAJE... JE UKIRUHUSIWA NA CHAMA CHAKO MIAKA MITANOMINGINE BAADA YA HII KUISHA KUGOMBEA TENA ITAKUWAJE?!...KUMBUKA PIA WALE MBUMBUMBU ULIOWADANGANYA KIPINDI HIKI WATAKUWA WAMEJIFUNZA KITU, SIO KWAKWENDA DALASANI BALI KWA NJAA YA KUSHINDIA MIHOGO NA MAJI KWAKUWA MAYAI NA MIKATE ITAKUWA NI CHAKULA CHA SIKUKUU TU KWAO... ATUKUSEMI TUNATAKA UJUE TUNAHITAJI NINI KWA AJILI YA TAIFA LETU NAKIZAZI KIJACHO...LOL
























tafakali chukua hatua
 
@ MWANAMAGEUKO AMETUMIA FALSAFA YA HALI YA JUU...USIPOSOMA KWA MAKINI UTAONA KIKWETE KASIFIWA... KUMBE KATUKANWA KULIKO KUSEMA...NANI YA Ma@~£$%.O!!!

YEAH... MTIZAMO WA HALI YA JUU LAZIMA AKUBALI HAYO NA KUSIKITIKA KUWA BABA HUYU WAKATI WA KAMPENI ALIJIFANYA KUPIGA PICHA NA WAZEE, WATOTO, WALEMAVU NA HATA KUJIFANYA KUKAA NA WATU VIJIWENI ILI TU KUWALAGHAI APATE KULA ZAO...MBONA HAKUWAFATA WATU VYUONI KUOMBA KURA... ANAJUA NI WATU WA AINA GANI KUOMBA KURA ZAO KWAO... MWENYE UFAHAMU NA KUONA MBALI AWEZI KUMPA KIKWETE KULA OOOH SORRY KURA KAMA SIO KUTAFUNA... NDIO MAANA KAWAENDEA MBUMBUMBU NA WAZEE KUJIPENDEKEZA KWAO...

AIBU NI KWAMBA:- KAMA SLAA NDIO AMEGOMBEA KWA MARA YA KWANZA TU AMECHUANA NAE VIBAYA SANA SANA...NA WAKATI MHESHIMIWA SANA HUYU ALIPOCHAGULIWA AWALI ALIKUWA JUU KWA MADAI YAKE YA KUSHINDA KWA VISHINDO, SASA TOKA 81% MPAKA 61% AMBAZO NI ZA KUCHAKACHUA HAPO MUHESHIMIWA SANA INAKUWAJE... JE UKIRUHUSIWA NA CHAMA CHAKO MIAKA MITANOMINGINE BAADA YA HII KUISHA KUGOMBEA TENA ITAKUWAJE?!...KUMBUKA PIA WALE MBUMBUMBU ULIOWADANGANYA KIPINDI HIKI WATAKUWA WAMEJIFUNZA KITU, SIO KWAKWENDA DALASANI BALI KWA NJAA YA KUSHINDIA MIHOGO NA MAJI KWAKUWA MAYAI NA MIKATE ITAKUWA NI CHAKULA CHA SIKUKUU TU KWAO... ATUKUSEMI TUNATAKA UJUE TUNAHITAJI NINI KWA AJILI YA TAIFA LETU NAKIZAZI KIJACHO...LOL
























tafakali chukua hatua


Fact! hata hao aliokuwa anwadanganyakuwa anawapenda, wengi tu matatizo yao hajayashughulikia kwa miaka mitano ya mwanzo. Hakuna la zaidi tunalotegemea hasa ikizingatiwa kuwa yale anayofanya si matakwa yake kama Rais bali ya wale waliofanya kila njia na mbinu kuhakikisha anatinga ikulu.
 
@ MWANAMAGEUKO AMETUMIA FALSAFA YA HALI YA JUU...USIPOSOMA KWA MAKINI UTAONA KIKWETE KASIFIWA... KUMBE KATUKANWA KULIKO KUSEMA...NANI YA Ma@~£$%.O!!!

YEAH... MTIZAMO WA HALI YA JUU LAZIMA AKUBALI HAYO NA KUSIKITIKA KUWA BABA HUYU WAKATI WA KAMPENI ALIJIFANYA KUPIGA PICHA NA WAZEE, WATOTO, WALEMAVU NA HATA KUJIFANYA KUKAA NA WATU VIJIWENI ILI TU KUWALAGHAI APATE KULA ZAO...MBONA HAKUWAFATA WATU VYUONI KUOMBA KURA... ANAJUA NI WATU WA AINA GANI KUOMBA KURA ZAO KWAO... MWENYE UFAHAMU NA KUONA MBALI AWEZI KUMPA KIKWETE KULA OOOH SORRY KURA KAMA SIO KUTAFUNA... NDIO MAANA KAWAENDEA MBUMBUMBU NA WAZEE KUJIPENDEKEZA KWAO...

AIBU NI KWAMBA:- KAMA SLAA NDIO AMEGOMBEA KWA MARA YA KWANZA TU AMECHUANA NAE VIBAYA SANA SANA...NA WAKATI MHESHIMIWA SANA HUYU ALIPOCHAGULIWA AWALI ALIKUWA JUU KWA MADAI YAKE YA KUSHINDA KWA VISHINDO, SASA TOKA 81% MPAKA 61% AMBAZO NI ZA KUCHAKACHUA HAPO MUHESHIMIWA SANA INAKUWAJE... JE UKIRUHUSIWA NA CHAMA CHAKO MIAKA MITANOMINGINE BAADA YA HII KUISHA KUGOMBEA TENA ITAKUWAJE?!...KUMBUKA PIA WALE MBUMBUMBU ULIOWADANGANYA KIPINDI HIKI WATAKUWA WAMEJIFUNZA KITU, SIO KWAKWENDA DALASANI BALI KWA NJAA YA KUSHINDIA MIHOGO NA MAJI KWAKUWA MAYAI NA MIKATE ITAKUWA NI CHAKULA CHA SIKUKUU TU KWAO... ATUKUSEMI TUNATAKA UJUE TUNAHITAJI NINI KWA AJILI YA TAIFA LETU NAKIZAZI KIJACHO...LOL


tafakali chukua hatua
ALAU...
vigumu sana watu kufikiria kwa upeo wao, wanataka wafikiriwe kwa niaba yao. vigumu sana kuukataa ukweli na kujilazimisha uongo uwe ukweli. HAIWEZEKANI YAWE YALE NINAYOYATAKA YAWE NDIO, NA YASIWE JIRANI YANGU ANAYOTAKA YAWE KWAKE.
HAKIKA, KAMA HATUJUI TUNAKOKWENDA, BASI TUTAPELEKWA TUSIKOTAKA.

NASISITIZA TENA:

HONGERA RAIS WETU MPENDWA J. M. KIKWETE

KWA MAANA HAKUNA RAIS MWINGINE MPAKA 2015, HATUTAKI KUJIPANGA HAYA....:smile-big::smile-big::smile-big:
 
hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii jamhuri yetu ya tanzania,
hatuna rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa waandishi na wale wamiliki vitangazio, baba napenda kukukumbusha ulisahau wale mafarisayo na masadukayo wanaotuhudumia sie tulio chini. Hususan wale wanaokaa kule kuitwako taahamsemi. Huko ndiko majeraha yatakosiginwa na kutiwa chumvi, ee baba ujue ufalme wako hautaishia hapo magogoni, upitepite manzese kama upitavyo kariakoo na kwengine kama alivopitaga hayati sokoine, ninajua majukumu yako mengi na nchi ni kubwa lakini hii leo si kubwa kama wakati ule wa usafiri wa tabu (kutoka mwanza kwenda shinyanga siku nzima, wachilia mbali dar kwenda mtwara kwa barabara. Upite hata kule lipumba alikopita akakwama na kule slaa alikokuta watu wanaishi mashimoni kama... Na kwenye tembe karne hii. Baba si vibaya ukawatuma hata watani zako wa kisiasa kwa kufanya kwao mikutano ya hadhara huko mikoani utaweza kupata kero za wananchi kuliko kusubiri kuambiwa na baba yetu makamba kila kitu kiko shwari. Nayasema hayo kwa sababu ni rahisi kwa watani wako kuonana na wananchi kuliko wewe kwa maana wanafunzi wako huwazuilia njia wanaokufuata. Ndio maana wao hukuchagulia magazeti ya kusoma na yale mengine unayoyapenda hutaka kuyafungia. Hii ni nchi yetu sote ndio maana kina sisi tulibaki hatukujilipua kama walivyojilipua wale wenzetu. Wataalamu waliopo tanganyika wathaminike kama walivyothaminika wa zanzibar kwani mchango wao ni mkubwa. Wasithaminike wale watoto wa waliokaribu ya ufalme wake kwa maana hawakusomea maarifa bali vyeti. Ili waliojilipua warudi na kujenga nchi hii... Mungu ibariki tanzania.

niishie hapa nisikuchoshe kwa leo,

wasalaam,

wako katika ujenzi wa taifa.

mwanamageuko.

usihofu

nadhani ,,,,,,,makame,,,,,,,ataupeleka salamu zako kwenye meza takatifu
 
Jamani mnapomuita DOCTOR huyu baba wa mwenzenu naona kama vile mnampunguzia heshma yake, kama amewatuma basi namfananisha na Character mmoja alieitwa Chief, Hounarable, Dr. Nanga
 
Jamani mnapomuita DOCTOR huyu baba wa mwenzenu naona kama vile mnampunguzia heshma yake, kama amewatuma basi namfananisha na Character mmoja alieitwa Chief, Hounarable, Dr. Nanga
:smile-big: Aisii... :smile-big: Elli HAKIKA NAKUAMBIA. MANENO YANGU YASOME KWA UMAKINI, NA UKAE UKIJUA SISIMAMII KWENYE MISIMAMO YA AWAE YOYOTE NA SIENDI KULE NISIKOTAKA KWENDA, BALI NINAENDA KULE NITAKAKO MIMI. HAKIKA NAKUAHIDI SITOFUATA UPEPO WALA HARUFU YA MAUA PASINA KUJUA NINI HATIMA YAKE. HAPANA MWOGA AENDAE PAPONI pia jua ya kwamba sirubuniwi au kurubunika. Siandikiwi naandika mwenyewe, ujumbe wangu ninavotaka ufike ndivo unavofika. Hainijalishi kuwa sijaeleweka ninavyotaka kueleweka NDIO MAANA TUMEPEWA AKILI. Basi kwazo twaweza kuchanganua mtu HUYU HAPA ANA MAANA HII wana HAMAANISHI vile. Ikiwa leo MANENO madogo haya hayaeleweki je yakija MAZITO MTAYAELEWA.

Someni kwa bidii iv:smile-big:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom