Hongera mbunge Selasini kwa kukubali kufanya kazi pamoja na Serikali ya CCM

usinijibu hivyo

JF-Expert Member
Nov 7, 2017
248
327
Wananchi wa Rombo tunacho taka ni Maendeleo.
Na serikali iliopo Madarakani sasa ni ya CCM.
Kususia kununa hakusaidii, naweza kusema huyu Mbunge ana akili nyingi sana kuliko wote wa CHADEMA,
Alivyompokea Mhe Waziri Mkuu, kutaniana nae nk
hadi kauli zake wakati akihamasisha wananchi kuchapa kazi, hakufanya siasa, bali amesema kweli na Mhe Waziri Mkuu alimpa nafasi ya kusema katika ziara ya PM Rombo Jumamosi ya Tarehe 23/2019
Tungepata wabunge wa upinzani kumi tu wenye akili za kama baba Paroko Selasini, wapinzani 2020 majimbo yetu yange kuwa ya mfano kwa Maendeleo
Ila kwa sasa yatakuwa ya mfano kwa Kulalamika.
Hongera sana pia kwa style Mpya ya ndevu Mzee,ila kumbuka tu Mbowe alianza nayo akaachana nayo,vijana wanaamini ushazeeka.
Ndevu Nyeupe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye mtu wao wangependa kuja na story tofauti na hii wacha tuwasubiri tusikie wana maoni gani!
 
CCM mnachekesha sana badala ya kujibu hoja za wananchi mnashangilia mbunge akihamasisha wananchi kufanya kazi, nyie ni kazi bure kabisa
 
CCM mnachekesha sana badala ya kujibu hoja za wananchi mnashangilia mbunge akihamasisha wananchi kufanya kazi, nyie ni kazi bure kabisa
hakuna hoja ya mwananchi yeyote iliyo tolewa hapo ya kuweza kujibiwa, kilichopo ni selasini kuongea kizarendo mbele ya pm

usitutoe kwenye reli
 
Wananchi wa Rombo tunacho taka ni Maendeleo.
Na serikali iliopo Madarakani sasa ni ya CCM.
Kususia kununa hakusaidii, naweza kusema huyu Mbunge ana akili nyingi sana kuliko wote wa CHADEMA,
Alivyompokea Mhe Waziri Mkuu, kutaniana nae nk
hadi kauli zake wakati akihamasisha wananchi kuchapa kazi, hakufanya siasa, bali amesema kweli na Mhe Waziri Mkuu alimpa nafasi ya kusema katika ziara ya PM Rombo Jumamosi ya Tarehe 23/2019
Tungepata wabunge wa upinzani kumi tu wenye akili za kama baba Paroko Selasini, wapinzani 2020 majimbo yetu yange kuwa ya mfano kwa Maendeleo
Ila kwa sasa yatakuwa ya mfano kwa Kulalamika.
Hongera sana pia kwa style Mpya ya ndevu Mzee,ila kumbuka tu Mbowe alianza nayo akaachana nayo,vijana wanaamini ushazeeka.
Ndevu Nyeupe.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiolalamika majimbo yao yana tofauti gani na ya upinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wa serekali wangekuwa wanafanya kama anavyofanya waziri mkuu kwa kuwapa nafasi wabunge wa upinzani kueleza kero na mazuri ya majimbo yao, wangekuwa wanapata mambo mengi sana,lakini viongozi wengi wa serekali wanapokuwa kwenye ziara kama hizi hawakubali kushirikiana na wapinzani hata kuwapa nafasi ya kueleza kero za wananchi wa jimboni kwake ni shida, kwa kuwa viongozi wengi waliopo madarakani wanapokuwa kwenye ziara kama hizi hawaende kufanya kazi kama kazi za serekali wanakwenda kama kupiga siasa za chama chao.
 
Majimbo ya ccm yako nje ya nchi ?? mbona ni takataka na serikali ni chama chao.

Kibaya ni upambe kufanywa na mwananchi kama wewe huku ukijua kabisa wanaokutuma nyimbo zao ni zilezile toka Uhuru.
 
..ulipaswa umshauri Raisi aige mfano wa Waziri Mkuu anapo-deal na wabunge wa upinzani.

..ziara za Raisi anapotembelea majimbo ya wapinzani hupenda kuwazodoa wabunge, na kuwachonganisha na wapiga kura wao.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom