Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Nilikuwa nina jambo kama mwananchi mtiifu na mzalendo wa nchi hii. Wiki iliyopita, Alhamis asubuhi kabla ya kikao cha bunge nikatuma SMS kwa wabunge wanajiita watetezi wa wanyonge katibu wote na hoja yangu ni ya msingi, lakini jana Jumatatu nimejibiwa personally na Mh huyu peke yake, ya kuwa atashughulikia hoja nilihitaji msaada kwa Mh Pinda. Hongera Ndesamburo