Ndugu Mathew Kilama, Wakati nakupongeza kwa kuteuliwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ningependa kukupa angalizo kuhusiana na utendaji usioridhisha wa Tume ya Utumishi wa Umma.
Ningekushauli utafute threads humu JF kuhusu malalamiko lukuki ya utendaji mbovu wa Tume. Watu wameilalamikia sana Tume kuhusu kupoka na kuhujumu haki za watumishi wa umma wanaokata rufaa Tume kwa kushirikiana na waajiri. Watumishi wamekuwa wahanga kwenye hiyo Tume wakati wakitafuta haki yao.
Wafanyakazi wa Tume wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea bila kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma, wanajifanyia wanavyotaka wao na sio Kanuni za Utumishi wa Umma.
Hebu waangalie sana washauli ambao umewakuta wasije wakakupotosha.
Na mwisho nakushauli kuwa, TENDA HAKI na Mungu atakuinua na kukupeleka juu zaidi!!
Ningekushauli utafute threads humu JF kuhusu malalamiko lukuki ya utendaji mbovu wa Tume. Watu wameilalamikia sana Tume kuhusu kupoka na kuhujumu haki za watumishi wa umma wanaokata rufaa Tume kwa kushirikiana na waajiri. Watumishi wamekuwa wahanga kwenye hiyo Tume wakati wakitafuta haki yao.
Wafanyakazi wa Tume wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea bila kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma, wanajifanyia wanavyotaka wao na sio Kanuni za Utumishi wa Umma.
Hebu waangalie sana washauli ambao umewakuta wasije wakakupotosha.
Na mwisho nakushauli kuwa, TENDA HAKI na Mungu atakuinua na kukupeleka juu zaidi!!