Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Lets face it, alipoanza ma SNOBS wengi walianza ohhh mbona hayuko modern mara ohhh mbona sijui nini lakini as time goes by naona WAMA wanafanya kazi nzuri zaidi kuliko ile ya mama Mkapa
Huyu Mama Salma single handedly ameweza kufanya mengi sana kwa kif[indi kifupi yaani huyu mama naona yuko bize kuliko yule mke wa rais wa visiwa vya Unguja na Pemba
kwa hili WAMA hongereni na kusema ukweli ile shule aliyosaidia kujenga mama Salma kule Nyamisati ni mfano wa kuigwa...huyu mama hapumziki..kila kukicha mara kafungua shule hii mara yuko na jamaa wa SACCOS huku na kule al muradi she just reminds me of EVA PERON hajafika level ile lakini ndiko anakoelekea
I cant remember smama Mkapa kufanya kitu kama hichi..sasa hii ni chalenge kwa mkewe Pinda...
Huyu Mama Salma single handedly ameweza kufanya mengi sana kwa kif[indi kifupi yaani huyu mama naona yuko bize kuliko yule mke wa rais wa visiwa vya Unguja na Pemba
kwa hili WAMA hongereni na kusema ukweli ile shule aliyosaidia kujenga mama Salma kule Nyamisati ni mfano wa kuigwa...huyu mama hapumziki..kila kukicha mara kafungua shule hii mara yuko na jamaa wa SACCOS huku na kule al muradi she just reminds me of EVA PERON hajafika level ile lakini ndiko anakoelekea
I cant remember smama Mkapa kufanya kitu kama hichi..sasa hii ni chalenge kwa mkewe Pinda...