Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Unastahili tuzo(Tuzo ya mwanamke jasiri 2010-toka USA) hiyo kwa kuwa umekuwa mstahili wa mbele kutetea haki za waTZ ikiwa ni pamoja na wanawake kwa ujumla.
Ni wachache sana wanaweza fanya uliyofanya.
Mungu akubariki sana na akupe nguvu zaidi ufanye makuu zaidi.
Tupo nyuma yako kwenye harakati hizi na tunasema Hatutadanganyika.
Ni wachache sana wanaweza fanya uliyofanya.
Mungu akubariki sana na akupe nguvu zaidi ufanye makuu zaidi.
Tupo nyuma yako kwenye harakati hizi na tunasema Hatutadanganyika.