Ukweli kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya 2018, Mh. Paul Makonda umeonyesha kuwa u Mtumishi wa MUNGU. "MUNGU AKUBARIKI NA KUKUPA NAFASI YA KUTOA INJILI KWA MWAKA 2018 NA KUENDELEA" INJILI ULIYOITOA NAOMBA IWAFIKIE WOTE NA WAPATE CHAKULA CHA KIROHO NA MUNGU WETU ULIYE JUU UTUKUZWE.
Mwaka huu 2018, tusamaheani, tupendane na amani ya Bwana na iwe juu yetu. nguvu zote za giza na zishindwe kwa JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. AMEN
Mwaka huu 2018, tusamaheani, tupendane na amani ya Bwana na iwe juu yetu. nguvu zote za giza na zishindwe kwa JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. AMEN