Mbona mathematicians wengi tu wako vizuri, asiye vizuri kwa kusingizia ati yeye ni mwanasayansi au mwanahisabati ama mwanaapolo atakuwa na matatizo yake binafsi siyo bure asome zaidi ya miaka 10 kwa kiingereza lakini asiweze ongea hata sentensi moja iliyonyooka pasipo kujiumauma.Kiongozi mmoja akishindwa kutema yai haina maana kuwa nchi nzima hatujui. Wapo wabongo wengi tu wanatema yai la uhakika kama vile lugha haikuletwa na meli, Baba J yeye ni mathematician ndio maana yai linagoma
Unaleta uchochezi!Kiongozi mmoja akishindwa kutema yai haina maana kuwa nchi nzima hatujui. Wapo wabongo wengi tu wanatema yai la uhakika kama vile lugha haikuletwa na meli, Baba J yeye ni mathematician ndio maana yai linagoma
Kiongozi mmoja akishindwa kutema yai haina maana kuwa nchi nzima hatujui. Wapo wabongo wengi tu wanatema yai la uhakika kama vile lugha haikuletwa na meli, Baba J yeye ni mathematician ndio maana yai linagoma
Sikulaumu kwa sababu hiyo ndo thinking limit yako,Hakuna kiongozi wa kisiasa anayemfikia uyu mama Samia suluhu kwa kiingereza.
Nimemsikiliza Leo anaongea kiingereza vizuri sana(grammar nzuri). Kwa sasa hakuna kiongozi wa kisiasa anamfikia huyu mama kwa lugha hii.
Inasikitisha sana kwamba tumeshindwa kujua kwamba Kiingereza ni lugha kama lugha nyingine yeyote, tofauti ni kwamba imesambaa zaidi duniani. Naamini hata kimakonde kingesambaa duniani kuliko lugha zingine wanaokiongea wangekuwa wanaabudiwa sana. Lakini kwa bahati mbaya kipo kusini mwa Tanzania na maeneo machache ya Msumbiji.Nimecheka sana mkuu nikweli tumeshafikia huko???
Mleta mada anafanya uchochezi!Polisi wazingire makazi ya mleta mada
Hahaha hahaha hahaha dah umenichekesha sana mkuu wewe ni noumerPolisi wazingire makazi ya mleta mada
ila hakuna anayemfikia rais i mean rais wa tffNafikiri watz tuna ugonjwa wa Kiingereza. Mtu akiongea tu anaonekana wa maana kweli?
Huwa wanasifiwa wapole, wakali unaogopa hata kuwataja usije ukaingia matatizoniila hakuna anayemfikia rais i mean rais wa tff