Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Ewassa ni jembe la ukweli la kuzolea mavi:crying:
Ha ha haaaaa, nimechekajeeeeee! Hili kweli jembe la kuzolea mavi! Huyu mtu hasafishiki hata kwa nini. Aje kifua mbele na atuambie Dowans / Richmond ni akina nani? Ni mwizi tu huyu, hafai hata kido, Nyerere alimkataa kabisa huyu, bora Dhaifu aliambia muda wake bado!