Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Mkuu Sophist, hadithi yako ilibaki kidogo tuu ifanane na ukweli kama usingegaribu na cooked data za bilioni 4 per day ya scratch vouchers!. Tanzania ina watu milioni 40 na kati ya hao wenye simu ni milioni 10 tuu wakigawana makampuni 7-Airtel, Tigo, Voda, Zentel, TTCL, Sasatel na BOL!. Alphatel ni moja kati ya 5 Super dealers wa Voda wakiongozwa na Shivacom!, sasa hao wateja wa vouchers wa wa ku roll 4bln per day kwa umasikini tulio nao wako wapi?.Pasco,Nafahamu kuwa wewe ni mshauri (consultant) wa siasa na habari wa Edward Lowasa. Ila mwambie kuwa Mkuchika, Kinana, Bagenda na wengineo, rika lake la kisiasa waliokuwa wote ofisi ndogo ya makao makuu ya Tanu, wamekwishakusanya ushahidi dhidi ya Lowasa, ikiwa ni pamoja majumba yaliyokuwa ya Msajili wa Majumba aliyojimilikisha kila mkoa alipokuwa waziri wa ardhi ma maendeleo mijini (kwa sasa 'maendeleo ya makazi'). Katika hili, Richmond ni cha mtoto. Aidha kuna ushahidi (nakala ya minutes ipo kibindoni) wa Edward Lowasa kujimilikisha jengo la ofisi ya TANU katika mkoa fulani hapa nchini. Kama si taulo alilotupiwa na marehemu Sokoine tungekuwa tumemsahau Edward Lowasa zamani sana, katika siasa za Tanzania. Vilevile tunajua kuwa Edward Lowasa, kupitia kampuni yake binafsi ya Alfatel, anaingiza zaidi ya shilingi bilion 4 kwa siku kutokana na mauzo ya scratch vouchers za vodacom; mapato hayo hayalipiwi kodi. Pesa hizi ndizo zinazotumika kununua njia yake kupitia CCM kuelekea Ikulu. Tusubiri muda tu, tutamalizania naye. Hakikisha huachi arrears katika malipo yako vinginevyo unaweza kuwa miongoni mwa watakaokumbwa na kimbunga cha Lowasa bye-bye na kusaga meno siku zijazo (si nyingi).
Japo jina langu ndilo la kwanza kwenye ile payroll pale ofisini na kiukweli nimejitahidi sana ku recriut angalia sasa anavyong'arishwa!,Kwa nini wewe unataka kumpaka masizi?!.
Tafuta uongo mwingine!.
P .