nkosiyamakosini
Member
- Nov 4, 2010
- 83
- 2
Ni matumaini yangu wadau, kuwa kila mpenda amani na nchi hii anautakia ushindi wa Jakaya Kikwete mema, fanaka na matarajio mazuri kwa kipindi 2010 - 2015, hongera sana.
kumbuka kutimiza kila uliyoyanena, mungu na akusaidie.
'...mfalme daudi akalia sana, akararua nguo zake, akasema, imempasaje shujaa kufa afavyo mpumbavu?...'
Nami nakupa hongera kuwaua mashujaa wenzio. Thanks
kumbuka kutimiza kila uliyoyanena, mungu na akusaidie.
'...mfalme daudi akalia sana, akararua nguo zake, akasema, imempasaje shujaa kufa afavyo mpumbavu?...'
Nami nakupa hongera kuwaua mashujaa wenzio. Thanks