Leo nimekua hapo ofisini kwenu enyi Smile Tanzania ki ukweli mko vizuri sanaaa. Kwanza kwa taarifa yako tu msomaja Smile Communication ndio kampuni ya kwanza East Africa ku launch voice service ya kiwango cha 4G LTE.
Kwa msaada kwako usiejua 4G LTE kirefu chake ni fourth generation longterm evolution kwa lugha nyingine LTE wanaiita 'the gold standard of wireless technology' yaani Downloading speend ya LTE ni 150 mbps na uploading speed yake ni 50 mbps(hii ni theoretically) ila read speed ni 20 mbps hyo downloading na 10 mbps uploading hivi viwango vimethibitishwa ko mataifa.
Kwanini sasa tusiwasifie kwa hili.
Lengo langu kubwa: lengo langu ilikua kuwasifieni kwa huduma yenu, ki ukweli mtu yeyote akifika hapo ofisini kwenu hajuti kuwafahamu, wadada warembo kama wote na sie wanaume hatupo nyuma watanashati kwelikweli.
Dada ulienihudumia leo sikutamani kuondoka nilitamani tuendelew kuongea na haka ka kingereza kangu kabovu lakini nilikua naenjoy sana kukusikiliza tu unavyotema madini naahidi kuja tena hata kama sina shida ila tu nitatunga ki shida cha uongo na kweli.
Mungu wabariki Smile Tanzania, Mungu mbariki dada alieni attendi na Mungu mbariki Mkurugenzi wa Smile Tanzania Ndugu Fiona McGloin.
Kweli Everything is possible when done with integrity, humility, humanity and innovation.
Kwa msaada kwako usiejua 4G LTE kirefu chake ni fourth generation longterm evolution kwa lugha nyingine LTE wanaiita 'the gold standard of wireless technology' yaani Downloading speend ya LTE ni 150 mbps na uploading speed yake ni 50 mbps(hii ni theoretically) ila read speed ni 20 mbps hyo downloading na 10 mbps uploading hivi viwango vimethibitishwa ko mataifa.
Kwanini sasa tusiwasifie kwa hili.
Lengo langu kubwa: lengo langu ilikua kuwasifieni kwa huduma yenu, ki ukweli mtu yeyote akifika hapo ofisini kwenu hajuti kuwafahamu, wadada warembo kama wote na sie wanaume hatupo nyuma watanashati kwelikweli.
Dada ulienihudumia leo sikutamani kuondoka nilitamani tuendelew kuongea na haka ka kingereza kangu kabovu lakini nilikua naenjoy sana kukusikiliza tu unavyotema madini naahidi kuja tena hata kama sina shida ila tu nitatunga ki shida cha uongo na kweli.
Mungu wabariki Smile Tanzania, Mungu mbariki dada alieni attendi na Mungu mbariki Mkurugenzi wa Smile Tanzania Ndugu Fiona McGloin.
Kweli Everything is possible when done with integrity, humility, humanity and innovation.
Last edited: