Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,025
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Hakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbuka
 
Hakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbuka
Amen Amen
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Kabisa, imekuwa miaka 5 ya kidikteta na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu tusiruhusu tena mambo haya.
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Mungu aliyewavusha huko na awasimamie katika kipindi hiki waibuke na ushindi wa kishindo.
 
Muda wa heshima umeisha sasa wale wajinga wanarudi mtaani ambako Ndugai hayupo wa kuwalinda na mtaani wanadharauliwa
IMG_20200615_160507.jpg
 
Back
Top Bottom