Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,475
leo wacha niweke yangu yaliko moyoni kwenu baba/waume zetu pamoja na story zote humu ndani najua huwa mnajifurahisha tu huku kupunguza stress tunazowapa bado mna mchango mkubwa sana kwenye familia naomba niwashukuru naamini wadada wote humu umtakubaliana na mimi hawa jamaa wanapigana kufa huko mitaani kwa ajili ya familia zetu mwisho wa mwaka umefika pamoja na tathmini nilizofanya ni pamoja na hii
Nawaombea kwa Mwenyenzi Mungu awape nguvu na mafanikio katika yale yote mnayofanya kwa ujenzi wa familia tuanze mwaka wa mafanikio tele kila la heri
Nawaombea kwa Mwenyenzi Mungu awape nguvu na mafanikio katika yale yote mnayofanya kwa ujenzi wa familia tuanze mwaka wa mafanikio tele kila la heri