impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Elimu ya kumkomboa masikini ni Serikali kuwekeza kwenye elimu ya ufundi kuanzia Msingi hii itafanyaTanzania yenye Nguvu ki Uchumi katika Elimu inayogusa jamii ya watu wenye kipato cha chini ambao ni wengi.
MFUMO WA ELIMU YENYE MSAADA YA DARASA LA SABA (VII)
1. Ufundi mbalimbali kwa wanafunzi wote wa kuanzia darasa la Tano hii itasaidia wale ambao hawataendelea na elimu ya Sekondari kuingia katika soko la ajira kujipatia kipato kusaidia familia zao na kukuza Uchumi wa pato la taifa Pia hata watakao maliza Elimu ya Sekondari na Elimu nyingine hawakupata ajira watajiajiri katika ufundi kwa sababu tayali wanao uzoefu na Utaalamu wa kutoka Shule ya msingi itaongeza tija kupunguza wasio na ajira na kuliongezea pato la kiuchumi taifa na kupunguza mzigo kwa Serikali kubeba kuhudumia kundi kubwa la wasiojiweza.
2. Kilimo Bustani: mboga mboga, matunda, maua, mazao kwa wanafunzi kuanzia darasa la Sita hususani kwa Shule za vijijini hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau wa kilimo watajiajiri mashambani kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
3. Kupulizia dawa za viuwatilifu (fumigation) majumbani na mashambani, bustanini kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau watajiajiri huko mashambani na majumbani kupulizia madawa kuua wadudu na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
Na kutokomeza malaria
4. Kutengeneza Viatu, Sabuni kuogea na kufulia, kusafishia na Mafuta ya kupaka kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau walioupata mwanzo katka elimu ya Msingi watajiajiri na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
5. Ufugaji wa Sungura, Bata, kuku wa mayai na nyama kuku wa kienyeji kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau watajiajiri na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
AINA ZA UFUNDI, KILIMO,KUPULIZA MADAWA, KUTENGENEZA SABUNI,RANGI
1. Uashi
2. Uselemara
3. Fundi Bomba
4. Kutengeneza viatu
5. Kutengeneza sabuni
6. Kutengeneza Mabatiki
7. Kutengeneza mafuta ya kupaka
8. Ufundi Rangi majengo
9. Kilimo cha mashambani
10. Kilimo cha Bustani mboga mboga
11. Kilimo cha matunda
12. Kilimo cha Bustani maua na miti ya kupandwa
13. Upuliziaji madawa mashambani kuua magugu na wadudu waharibifu wa mimea
14. Upuliziaji madawa majumbani na katika mifugo kuua wadudu mchwa,viroboto na mende, mbu
15. Ufugaji kuku wa kienyeji
16.Kilimo cha kisasa
17.Kuchora picha na usanifu
WALIMU WA KUFUNDISHA
Serikali imeweza kutoa semina kwa Walimu Wakuu na Walimu wa Fedha, inchi nzima tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani jinsi ya kufanya manunuzi na usimamizi wa fedha inayotolewa na Serikali pamoja na wahisani.
Vivyo hivyo inaweza ikawapa semina waalimu wote kwa hizi fani ambazo hazihitaji utaalamu wa hali ya juu, na hizi fani zenye uhitaji wa wakufunzi wabobevu wakatafutwa waalimu wa Ufundi husika kulingana na uchaguzi wa kinachotakiwa kufunzwa katika shule kulingana na jinsi itakavyopangwa na wahusika.
PENDEKEZO: Serikali ianzishe mfuko wa kusaidia jamii vijiji, mitaa inchi nzima ili hawa vijana wapate mikopo ya mbegu na vifaa kazi kwa wahitimu watakao kuwa wamehitimu kuelekea kujitegemea.
MAHITAJI YA VIFAA VYA KUFUNDISHIA NA WAALIMU UPATIKANAJI PESA ZA UNUNUZI WA VIFAA
VIFAA vya kufundishia kwa vitendo na nadharia vichangiwe na wazazi wa Wanafunzi na 50% na Serikali ichangie 50%
WAALIMU Serikali iajiri Waalimu wa Ufundi na kuwapeleka Semina walimu waliokuwepo mashuleni kwa vitu ambavyo havihitaji utaalamu wa hali ya juu.
ANGALIZO:
Wasomi wengi waliopo katika nafasi nzuri zenye mafanikio wamekuwa wabinafsi ambao hawana huruma kwa wanyonge na hawakumbuki walikotoka ndiyo wamekuwa chanzo cha Ufisadi na unyonyaji wasichofahamu ni kuwa kodi za wanyonge ndiyo zinawalipa mishahara.
Hatuwezi kufikia mafanikio kama hatuwezi kuinua Elimu na kipato cha jamii ya wanyonge walio wengi
Mungu bariki Rais wetu wa JMT J.P.Magufuli
Mungu Ibariki Tanzania
Elimu ya msingi imebeba kundi kubwa la vijana wadogo ambao wengi wao huishia darasa la saba na kupoteza matumaini na kuishi maisha yasiyoeleweka katika jamii.
MFUMO WA ELIMU YENYE MSAADA YA DARASA LA SABA (VII)
Kama tunataka kufikia Taifa lenye Maendeleo ya kati haina budi kufanya haya ili tuitengeneze nguvu kazi yenye ujuzi, na utaalamu wa kufanya kazi Viwandani, Mashambani, Majumbani na kila sehemu inakohitajika nguvu kazi ya vijana kwa Maendeleo ya Jamii na Uchumi wa Taifa kwa ujumla.
1. Ufundi mbalimbali kwa wanafunzi wote wa kuanzia darasa la Tano hii itasaidia wale ambao hawataendelea na elimu ya Sekondari kuingia katika soko la ajira kujipatia kipato kusaidia familia zao na kukuza Uchumi wa pato la taifa Pia hata watakao maliza Elimu ya Sekondari na Elimu nyingine hawakupata ajira watajiajiri katika ufundi kwa sababu tayali wanao uzoefu na Utaalamu wa kutoka Shule ya msingi itaongeza tija kupunguza wasio na ajira na kuliongezea pato la kiuchumi taifa na kupunguza mzigo kwa Serikali kubeba kuhudumia kundi kubwa la wasiojiweza.
2. Kilimo Bustani: mboga mboga, matunda, maua, mazao kwa wanafunzi kuanzia darasa la Sita hususani kwa Shule za vijijini hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau wa kilimo watajiajiri mashambani kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
3. Kupulizia dawa za viuwatilifu (fumigation) majumbani na mashambani, bustanini kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau watajiajiri huko mashambani na majumbani kupulizia madawa kuua wadudu na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
Na kutokomeza malaria
4. Kutengeneza Viatu, Sabuni kuogea na kufulia, kusafishia na Mafuta ya kupaka kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau walioupata mwanzo katka elimu ya Msingi watajiajiri na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
5. Ufugaji wa Sungura, Bata, kuku wa mayai na nyama kuku wa kienyeji kwa wanafunzi wa Darasa la Saba (Vll) hii itasaidia kwa wale ambao hawataendelea na Elimu ya Sekondari au hata watakaokosa ajira kwa ngazi za Elimu watakazofikia maana watakuwa na utaalamu huo anglau watajiajiri na kuongeza kipato kwa familia zao na kukuza pato la Uchumi wa Taifa
AINA ZA UFUNDI, KILIMO,KUPULIZA MADAWA, KUTENGENEZA SABUNI,RANGI
1. Uashi
2. Uselemara
3. Fundi Bomba
4. Kutengeneza viatu
5. Kutengeneza sabuni
6. Kutengeneza Mabatiki
7. Kutengeneza mafuta ya kupaka
8. Ufundi Rangi majengo
9. Kilimo cha mashambani
10. Kilimo cha Bustani mboga mboga
11. Kilimo cha matunda
12. Kilimo cha Bustani maua na miti ya kupandwa
13. Upuliziaji madawa mashambani kuua magugu na wadudu waharibifu wa mimea
14. Upuliziaji madawa majumbani na katika mifugo kuua wadudu mchwa,viroboto na mende, mbu
15. Ufugaji kuku wa kienyeji
16.Kilimo cha kisasa
17.Kuchora picha na usanifu
WALIMU WA KUFUNDISHA
Serikali imeweza kutoa semina kwa Walimu Wakuu na Walimu wa Fedha, inchi nzima tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani jinsi ya kufanya manunuzi na usimamizi wa fedha inayotolewa na Serikali pamoja na wahisani.
Vivyo hivyo inaweza ikawapa semina waalimu wote kwa hizi fani ambazo hazihitaji utaalamu wa hali ya juu, na hizi fani zenye uhitaji wa wakufunzi wabobevu wakatafutwa waalimu wa Ufundi husika kulingana na uchaguzi wa kinachotakiwa kufunzwa katika shule kulingana na jinsi itakavyopangwa na wahusika.
PENDEKEZO: Serikali ianzishe mfuko wa kusaidia jamii vijiji, mitaa inchi nzima ili hawa vijana wapate mikopo ya mbegu na vifaa kazi kwa wahitimu watakao kuwa wamehitimu kuelekea kujitegemea.
MAHITAJI YA VIFAA VYA KUFUNDISHIA NA WAALIMU UPATIKANAJI PESA ZA UNUNUZI WA VIFAA
VIFAA vya kufundishia kwa vitendo na nadharia vichangiwe na wazazi wa Wanafunzi na 50% na Serikali ichangie 50%
WAALIMU Serikali iajiri Waalimu wa Ufundi na kuwapeleka Semina walimu waliokuwepo mashuleni kwa vitu ambavyo havihitaji utaalamu wa hali ya juu.
ANGALIZO:
Wasomi wengi waliopo katika nafasi nzuri zenye mafanikio wamekuwa wabinafsi ambao hawana huruma kwa wanyonge na hawakumbuki walikotoka ndiyo wamekuwa chanzo cha Ufisadi na unyonyaji wasichofahamu ni kuwa kodi za wanyonge ndiyo zinawalipa mishahara.
Hatuwezi kufikia mafanikio kama hatuwezi kuinua Elimu na kipato cha jamii ya wanyonge walio wengi
Mungu bariki Rais wetu wa JMT J.P.Magufuli
Mungu Ibariki Tanzania