Hongera Kikwete

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.
 
Labda ni mimi ndiyo nachanganya mambo lakini UDOM haikuwa conceptualized na kujengwa wakati wa Mkapa kisha ika malizika kipindi cha JK na yeye kuki zindua mwaka 2007?

Je hiyo rekodi ya dunia umeipimaje mkuu? I mean ume research ukaona ni rekodi ya dunia au ume fikiaje hiyo conclusion?

Otherwise hongereni wahitimu wa UDOM.
 
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.

Sikuelewi unachosifia.
 
Labda ni mimi ndiyo nachanganya mambo lakini UDOM haikuwa conceptualized na kujengwa wakati wa Mkapa kisha ika malizika kipindi cha JK na yeye kuki zindua mwaka 2007?

Je hiyo rekodi ya dunia umeipimaje mkuu? I mean ume research ukaona ni rekodi ya dunia au ume fikiaje hiyo conclusion?

Otherwise hongereni wahitimu wa UDOM.

Udom haikuwa concept ya Mkapa, kwa matamshi yake Mwenyewe Kikwete katika uzinduzi hapo jana, ilikuwa ni "kiherehere" chake binafsi na ahadi binafsi aliyoitowa wakati wa kampeni za 2005, anasema, aliogopa hata CCM wasije wakamuuliza hii sera ya kujenga chuo kipya ilitoka wapi? Na Bajeti yake iko wapi.

Kuhusu rekodi ya Dunia. Hilo ni wazo langu binafsi, kwani mpaka sasa sijasikia, wazo, ahadi, kujenga chuo kipya, mpaka kudahili within 2 years na kutowa wahitimu wa mwanzo within 5 years. Sijawahi kuona au kusikia zaidi ya UDOM. Jee wewe umewahi?
 
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.

Idea ya UDOM haijtokea kipindi cha Kikwete sijui hizo sifa za dhati unampatia Jk, Mkapa au serikali?. Hivi mbona watu mnajipendekeza sana kwa huy mkwere japo hana lolote
 
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.

Watu wengine bwana.

Kwani kumpa hongera Kikwete na kwenyewe kunahitaji kukupotezea muda kuweka post JF?

Si uende kwake Magogoni au utume maoni kwa Mhariri Uhuru?

Au uandike ujumbe TBC1 kwenye Jambo Tanzania?

Kikwete hapendwi.

Kama unajipendekeza. Kivyako.
 
Ni wazo la Mkapa. Hivyo ndivyo nijuavyo tangu zamani. Lakini lazima kukubali pia kwamba kimejengwa pesa za Ayatollah wa Iran. Tusubiri kuona mkataba ulikuwa ni upi?
 
Ni wazo la Mkapa. Hivyo ndivyo nijuavyo tangu zamani. Lakini lazima kukubali pia kwamba kimejengwa pesa za Ayatollah wa Iran. Tusubiri kuona mkataba ulikuwa ni upi?

Ayatollah wa Iran

Watu huwa hawataki kukubali. Wanapindisha eti kilijengwa kwa pesa ya mifuko ya mashirika ya pensheni.

Wadanganyika bwana.

Au munadhani wanaosema UDOM ni chuo cha Waislamu ni mahayawani? Hawana hoja?
 
Ulizotowa wewe na ulisimamia wewe na mpaka sasa kinatowa wahitimu wa mwanzo kwa jitihada zako binafsi. Hongera zako.
 
Udom haikuwa concept ya Mkapa, kwa matamshi yake Mwenyewe Kikwete katika uzinduzi hapo jana, ilikuwa ni "kiherehere" chake binafsi na ahadi binafsi aliyoitowa wakati wa kampeni za 2005, anasema, aliogopa hata CCM wasije wakamuuliza hii sera ya kujenga chuo kipya ilitoka wapi? Na Bajeti yake iko wapi.

Kuhusu rekodi ya Dunia. Hilo ni wazo langu binafsi, kwani mpaka sasa sijasikia, wazo, ahadi, kujenga chuo kipya, mpaka kudahili within 2 years na kutowa wahitimu wa mwanzo within 5 years. Sijawahi kuona au kusikia zaidi ya UDOM. Jee wewe umewahi?

Usihitimishe kwanza ngoja tuwapokee hao wahitimu kwenye ajiri na tupime uwezo wao kwa kuwalinganisha na wahitimu wa vyuo vingine kama Mzumbe, IFM, UDSM, MUCCOBs, nk
 
Jee, kuna tatizo hapo? Almuradi, kiko na kinawasaidia wa Tanzania. Na pia Bill Gates ana kamchango kake kakubwa pale.
 
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.

Chuo chenyewe ni chuo hicho!!!!! Hiyo ni sehemu ya watu kupotezea muda tu!!
 
Tusipoangali sasa tutaanza kusifia watu kwa mvua kunyesha sana, hali ya hewa kuwa nzuri na joto kupungua........... Hongereni viongozi wetu
 
Aaaah, hayo utangoja wewe, mimi napongeza kwa dhati kabisa na namtakia kila kheri Kikwete, kwani bila elimu hatuna badiliko ya kweli na Kikwete anajitahidi katika kuwafunguwa macho wa Tanzania, kwa elimu na mengi mengine.
 
Wahenga walinena "Mnyonge mnyongeni, haki ya ke mpeni"
 
Tusipoangali sasa tutaanza kusifia watu kwa mvua kunyesha sana, hali ya hewa kuwa nzuri na joto kupungua........... Hongereni viongozi wetu



Wahenga walinena "Mnyonge mnyongeni, haki ya ke mpeni"​
 
Usihitimishe kwanza ngoja tuwapokee hao wahitimu kwenye ajiri na tupime uwezo wao kwa kuwalinganisha na wahitimu wa vyuo vingine kama Mzumbe, IFM, UDSM, MUCCOBs, nk

Aaaah, hayo utangoja wewe, mimi napongeza kwa dhati kabisa na namtakia kila kheri Kikwete, kwani bila elimu hatuna badiliko ya kweli na Kikwete anajitahidi katika kuwafunguwa macho wa Tanzania, kwa elimu na mengi mengine.
 
Back
Top Bottom