zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Natoa pongezi na hongera zangu za dhati kabisa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.
Toka wazo hadi udahili wa mwanzo mpaka leo tunashuhudia wahitimu wa mwanzo wa UDOM, yote haya katika kipindi kifupi. Hii ni rekodi ya Dunia.
Hongera wahitimu, hongera Tanzania.