Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
Ni hoja lakini sio ya msingi, soma hapo chini
Umbali wa miji ya Arusha na moshi haina zaidi ya 35km@ toka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro. Na kwa muda wa usiku haichukui zaidi ya nusu saa kufika hapo uwanjani kwani hamna msongamano wa magari. Ninazungumza biashara ninayoijua.