Hongera Kamanda Tibaigana - Viguza Village Hotel

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,695
1,696
Kwa wale waliopata nafasi ya kufika Viguza Village Hotel huko Mkuranga watakubaliana na mimi kuwa mwekezaji amejitahidi kufanya kweli na kuonyesha mfano kuwa hata Watanzania tunaweza Ku-Invest katika Hotel Sector kama tukiamua.

Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .

Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .

Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .

Habari ndo hiyo . . .
 
Kwa wale waliopata nafasi ya kufika Viguza Village Hotel huko Mkuranga watakubaliana na mimi kuwa mwekezaji amejitahidi kufanya kweli na kuonyesha mfano kuwa hata Watanzania tunaweza Ku-Invest katika Hotel Sector kama tukiamua.

Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .

Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .

Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .

Habari ndo hiyo . . .

Nami pia nampa hongera! Inaonekana mafao aliyoyapata kama kiinua mgongo ni baab kubwa na Polisi wanalipwa vizuri sana.

Lakini pia ungefafanua kidogo kutuondolea mashaka. Tungetaka kujua kama alipata mkopo benki au ni kiinua mgongo tu na mishahara aliyojiwekea kipindi cha kuajiriwa au ameingia ubia na mwekezaji mwingine vinginevyo maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Hivi jamani tunataka hawa wastaafu wetu wawe ombaomba wanapojitahidi kujiandalia miradi inakuwa tatizo basi hebu tueleze kama unafahamu uwekezaji wake siyo halali
 
Hongera Tiba, lakini kumbuka kesi ya mauaji ya vijana wawili, Mine Chomba na Hija Shaha Salehe inakusubiri. Hata muifiche vipi tutaiulizia, na ikumbukwe ulifikia hata kumiliki gari moja lililohusishwa na mauaji hayo, gari la marehemu Mine Chomba.
 
Nami pia nampa hongera! Inaonekana mafao aliyoyapata kama kiinua mgongo ni baab kubwa na Polisi wanalipwa vizuri sana.

Lakini pia ungefafanua kidogo kutuondolea mashaka. Tungetaka kujua kama alipata mkopo benki au ni kiinua mgongo tu na mishahara aliyojiwekea kipindi cha kuajiriwa au ameingia ubia na mwekezaji mwingine vinginevyo maswali ni mengi kuliko majibu.

Nakushangaa umemnukuu Dr mwakiembe kuwa watanzania sio mabwege tena na bado unahoji????? wewe kaa na mawazo yako wenzio wanapeta
 
Hivi jamani tunataka hawa wastaafu wetu wawe ombaomba wanapojitahidi kujiandalia miradi inakuwa tatizo basi hebu tueleze kama unafahamu uwekezaji wake siyo halali

Sidhani kama kuna mtu anapenda wawe ombaomba lakini pia hakuna mtu anayependa uwekezaji au mafanikio yapatikane kwa njia zisizo halali. Lakini pia hakuna mtu yoyotwe aliyesema kuwa uwekezaji huo si halali au ni wa kifisadi.
 
Kamanda kaza buti hakikisha unaendelea kujijengea uwezo wa kujitegemea hatutafurahi kukuona unakuwa ombaomba nguvu bado unazo.
 
Sio vibaya kama Tiba angewashauri wastaafu wenzake jinsi ya kuanzisha miradi ka hii. Manake wastaafu wengi wanakuwa choka mbaya baada ya muda si mrefu. Manake wanakosa rasilimali za kuwekeza.
 
Afande mstaafu Tiba kabla ya kustaafu aliwahi kuhojiwa na gazeti moja juu ya matarajio yake baada ya kustaafu; alijibu kuwa yeye na rafiki zake walikuwa na mpango wa kuanzisha hoteli huko mkuranga nadhani ndio hiyo. Mmoja wa marafiki zake wakubwa ni Adadi Rajab [ former DCI] kwahiyo sintashangaa kama Adadi ni shareholder wa mradi huo. Hongera Tiba...........Ubunge vipi unamuachia Masilingi?
 
Hongera sana Tiba mpango mzuri baada kustaafu....maana wengine wanakurupuka na miradi wasieweza kwa maana hawakufanya research mapema huwa wakishika kibunda ndio wanaanza kupaparika 2 yrs kwisha na wanakufa mapema.
 
Hongera sana Tiba mpango mzuri baada kustaafu....maana wengine wanakurupuka na miradi wasieweza kwa maana hawakufanya research mapema huwa wakishika kibunda ndio wanaanza kupaparika 2 yrs kwisha na wanakufa mapema.

Nani amekwambia huyu kafanya research?!
 
Kwa wale waliopata nafasi ya kufika Viguza Village Hotel huko Mkuranga watakubaliana na mimi kuwa mwekezaji amejitahidi kufanya kweli na kuonyesha mfano kuwa hata Watanzania tunaweza Ku-Invest katika Hotel Sector kama tukiamua.

Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .

Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .

Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .

Habari ndo hiyo . . .

Safi sana; mkuu unaweza kutuwekea picha ya hiyo hoteli?
 
Kwa wale waliopata nafasi ya kufika Viguza Village Hotel huko Mkuranga watakubaliana na mimi kuwa mwekezaji amejitahidi kufanya kweli na kuonyesha mfano kuwa hata Watanzania tunaweza Ku-Invest katika Hotel Sector kama tukiamua.

Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .

Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .

Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .

Habari ndo hiyo . . .

Baada ya hongera
Maswali ya msingi
Ana leseni?
Analipa kodi?
Ameajiiri wazawa wangapi?
Waajiriwa wanalipwa mishahara iliyokubaliwa?
Waajiriwa wanalipiwa mafao ya uzeeni?
Anafuata sheria za kutunza mazingira?
Wateja wake wanapatiwa usala,a wa kutosha
Ubora wa bidhaa je?
n.k n.k n.k

Haya si maswali ya chuki ila ni kumkumbusha kuwa afuate sheria katika utendaji wake maana anazijua na alizisimamia
 
Nami pia nampa hongera! Inaonekana mafao aliyoyapata kama kiinua mgongo ni baab kubwa na Polisi wanalipwa vizuri sana.

Lakini pia ungefafanua kidogo kutuondolea mashaka. Tungetaka kujua kama alipata mkopo benki au ni kiinua mgongo tu na mishahara aliyojiwekea kipindi cha kuajiriwa au ameingia ubia na mwekezaji mwingine vinginevyo maswali ni mengi kuliko majibu.


..........ACHENI USHAMBA .....YAANI MNATAKA NINI WATANZANIA ...MTU AMEJITAHIDI KUJIBANA ILI AKISTAAFU MSIANZE KUMCHEKA ...KUWA PESA ZAKE AMEJENGEA CHUPI...MNAANZA KUHOJI HOJI........WEWE !..MTU KATUMIKIA TAIFA MIAKA 40..MNATAKA ASHINDWE HATA KUJENGA KAHOTELI KALUZEEKEA....

NIMEGUNDUA WATANZANIA NI WATU AMBAO MNAPENDA WATU WAAADHIRIKE KAMA GEORGE LIUNDI..ILI MUWACHEKE....TUACHE TABIA HII...

WATU WOTE TUNAO WAJIBU WA KUTUNZA KIDOGO TUNACHOPATA ILI TUSIJEKUCHEKWA BAADAYE....TUJENGE NYUMBA NA MASHAMBA TUYANEEMESHE......MRADI TUSIKWAPUE....FAINALI UZEENI!!

HONGERA TIBA....HIVI NANI NAJIANDAA...NA IPO SIKU NITAKAMATA KADIGI DIGI KANGU NIJE NIKATAFUNIE HAPO KWENYE KIOTA KAKO...teh teh kiiddin!!...
 
pia tukumbuke ..hata mkaona mtu leo anadhalilika baada ya kustaafu na nafasi alikuwa nayo ya kuwa na uwezo halali...mjuwe kama asingeendekeza ulevi na ngono..basi angekuwa mbali.....ngono na ulevi vingekuwa bati na tofali angekuwa na majumba mengi tu.....!!!...siku hizi tujifunze kuchukuwa wanawake kwa mali kauli!!!...wengine ...tumezowea mali kauli na waala hatukosi....
 
pia tukumbuke ..hata mkaona mtu leo anadhalilika baada ya kustaafu na nafasi alikuwa nayo ya kuwa na uwezo halali...mjuwe kama asingeendekeza ulevi na ngono..basi angekuwa mbali.....ngono na ulevi vingekuwa bati na tofali angekuwa na majumba mengi tu.....!!!...siku hizi tujifunze kuchukuwa wanawake kwa mali kauli!!!...wengine ...tumezowea mali kauli na waala hatukosi....
Ushauri murua kabisa kwa kuanzia mwaka....!
 
Wakulu,

Jambo msilolijua ni sawa na usikuwa giza.Kama watanzania mngejua aliyejenga Hiyo hoteli kwa ajili ya Tibaigana mngeshikwa na upumbuani.

Nchi hiii bwana..Mie na mimi nataka kuwa Waziri tu sasa hivi
 
Wakulu,

Jambo msilolijua ni sawa na usikuwa giza.Kama watanzania mngejua aliyejenga Hiyo hoteli kwa ajili ya Tibaigana mngeshikwa na upumbuani.

Nchi hiii bwana..Mie na mimi nataka kuwa Waziri tu sasa hivi
Isije kuwa una kijiba cha roho tu...! Angalia usife nacho
 
Wakulu,

Jambo msilolijua ni sawa na usikuwa giza.Kama watanzania mngejua aliyejenga Hiyo hoteli kwa ajili ya Tibaigana mngeshikwa na upumbuani.

Nchi hiii bwana..Mie na mimi nataka kuwa Waziri tu sasa hivi

Gembe,
Unamuogopa nani?
 
Back
Top Bottom