Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Kwakweli jiji lilikuwa limefikia pabaya sana, kila kona mateja, vituo vya mabasi ndo usiseme, ila baada ya vita ya jemedari Makonda.
Sasa jiji limeanza kuwa safi na salama kwa upande huo, pole kwa kupewa jina la Bashite, nakusihi ulipokee kama watang'ang'ania kukuita lakini endelea kukaza kwenye vita dhidi ya madawa ya kulevya.
Hata kama dunia imeshindwa, naamini sisi tutashinda.
Hongera sana kaka.
Sasa jiji limeanza kuwa safi na salama kwa upande huo, pole kwa kupewa jina la Bashite, nakusihi ulipokee kama watang'ang'ania kukuita lakini endelea kukaza kwenye vita dhidi ya madawa ya kulevya.
Hata kama dunia imeshindwa, naamini sisi tutashinda.
Hongera sana kaka.