Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

P kwani wewe mtu wa usalama? Mtoa taarifa alikuwa na nia gani? Kumchafuwa waziri au ku alert umma na taasisi nyeti zenye mamlaka kufanya uchunguzi? Mimi nadhani mtoa taarifa mara zote hatoi full details ili msije kumtambuwa anatoa story fulani ambapo investigater akipewa anajuwa apite wapi. Mimi ningeshauri tukae kimya ukweli utajulikana. Kitendo cha wewe kuanza andika nakuchambuwa taarifa ya mtoa taarifa nikuonekana wazi umetumwa na hili laweza kukusumbuwa mbeleni. End
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani, inawezekana unyeti wa ile wizara umeanza kuwatoa udenda mafisadi sasa wanataka kumuweka mtu wao watufaidi.
Lazma atoke, Kwani nani alisema hii nchi ni ya WASUKUMA tu, mjomba wenu keshaondoka washenzi ninyi, mlidhani atatawala milele kaweka wasukuma wenzake sehemu zote zenye upigaji ili ajigaie mfyuuu zenu
 
Mkuu The Monk , thanks for this.

Uzalendo wa mtu unapimwa kwa kumtazama mtu usoni, facial expressions zake wakati akizungumza, kwa kauli zake , maneno yake na matendo yake. Uzalendo wa kweli unakaa moyoni, sio usoni, sio mdomani na sio kwenye vitendo. Kuna viongozi kibao wanahubiri uzalendo kwa kauli thabiti, kwa maneno tuu, lakini ikija kwenye vitendo, ni mafisadi wakubwa, hivyo they don't practice what they preach, huo uzalendo wao, ni uzalendo wa just paying lip services.
Wazalendo wa aina hii, nao pia watashughulikiwa na karma.
P

Ndugu yangu kwa mwendo nnavyouona na kushuhudia machache, kupima uzalendo au uaminifu wa mtu imekua kazi ngumu kuliko kuutafuta Ufalme wa Mungu.

Ila nashukuru kwa maelezo yako kaka.
 
Hii nchi kuna utofauti mdogo sana kati ya mtu fisadi na mtu safi...

Mimi nikisikia kuwa mtu fulani ni fisadi, jambo la kwanza huwa naamini hiyo taarifa hata kama haina ushahidi...
hususani anayetuhumiwa ni kigogo ndani ya chama tawala
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.


Ila mkuu hawa wanaojifanya wazalendo kweri kweri wametugharimu sana. Msikie huyu:



Si uliwahi kusikia wakisema umdhaniaye siye ndiye?
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Naunga mkono hoja.
 
Mkuu Mmawia , uko right ndio maana nimeshauri, ukituhumu kama una uhakika, leta na ushahidi, au uthibitisho, vinginevyo leta tuu tuhuma as a Whistleblowing lakini usitaje majina ya mtuhimiwa.
P
P.
Ushahidi unatakiwa mahakamani hapa ni ngonjera tu! Acha waumane tunahitaji watendaji ili taifa Lilongwe mbele. Shida kubwa hapa ni umimi na siasa chafu.!
 
Mkuu Paskali uko sahihi sana kweye taito ya huu uzi. Ila kwenye kusema Biteko ni mzalendo eti kwa kumsikiliza hapo umeteleza mkuu.
kweli kabisa ilitakiwa bandiko lake liwe neutral, kusema kuwa anamfahamu sijui alimuona wapi kukutana nae akiwa kwe shughuli zake hio haimfanyi bwn mayalla kumjua huyu mtu kuwa ni muadilifu au la, labda km anamfahamu zaidi ya alivyoandika hapa
 
Kumtuhumu Waziri Biteko bila ushahidi si muelekeo mzuri,tunaelekea kwa Msiba.
Lakini hatusemi Waziri Biteko hawezi kufanya mambo yasio sahihi katika kutekeleza majukumu yake,lakini tusilete ushahidi wa kubumba.
Tumpime Waziri Biteko kwa matendo yake sio kwa kabila yake wala ukanda wake.
 
Ahsante kwa bandiko lako zuri,kwa analysis yangu ndogo niliyoifanya ni kwamba mama anaaminishwa maadui zake ni watu wa mwendazake na yeye keshaamini,kwa hiyo jinsi ya kufanya maadui wasiwe na nguvu ni kuwatoa kwenye vyanzo vizuri vya kipato au wachafue,angalia yule mkwe wa mama mheshimiwa Mchengerwa anachofanya utaamini nachosema
ht mwendazake alipanga safu yake pia, kuna kosa gani kwa mama kufanya hivyo? hii dhana kuwa anaamishwa hivi vile ni kumdhalilisha tu aaminishwe kwani ye hana utashi binafsi wa kuamini au kutoamini mpk aaminishwe?
 
Lazma atoke, Kwani nani alisema hii nchi ni ya WASUKUMA tu, mjomba wenu keshaondoka washenzi ninyi, mlidhani atatawala milele kaweka wasukuma wenzake sehemu zote zenye upigaji ili ajigaie mfyuuu zenu
Kwani hao wasukuma wanaolalamikiwa wapo wangapi ambao ni mawaziri sasa mpk watu wawalaumu hivo?
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani, inawezekana unyeti wa ile wizara umeanza kuwatoa udenda mafisadi sasa wanataka kumuweka mtu wao watufaidi.
Kunywa Heineken 5
 
Mimi huwa najibu vichwa vya habari tu vya haya magazeti nisiyoweza kuyasoma kwa kirefu chake. Kichwa cha habari chenyewe kinajichanganya, sasa huko ndani ya habari yenyewe ndiko kulikokorea zaidi kwa mizunguko mingi isiyoeleweka.

Mtu hadi atuhumiwe ni budi pawe na viashiria vya tuhuma hizo, kama siyo mwonekano mzima wa matukio anayojihusisha nayo. Unategemea wasomaji wa JF wakatafute ushahidi wapi? Hiyo hoja ya kutafuta ushahidi ndicho kichaka cha kufichia ufisadi. Kwani wanapofanya uharifu wanakuachia ushahidi wa huo uharifu wao ili ukautumie JF?

Upopo ni tabia mbaya sana kuwa nayo mtu.
 
Back
Top Bottom