Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,178
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..
Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha.

Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na polisi katika mipaka yetu. Waziri badala ya kudhibiti anakuwa mashirika wa ufisadi huu. Hivi Dotto unadhani ukiiba madini yote itakusaidia nini kwenye maisha yako? Halafu kila siku kushinda kwa waganga ili Rais asikutumbue nakwambia uchawi una mwisho.

Percent za mgodi hazikutoshi sasa tamaa imekuzidi. Rais Samia huyu bwana akiachwa ataifilisi nchi.

TAKUKURU kama mlivyoagizwa fuatilieni huo wizi wa madini ili mliepushe taifa na majangili hawa wa mwendazake

Rais Samia
KAZI IENDELEE
Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani, inawezekana unyeti wa ile wizara umeanza kuwatoa udenda mafisadi sasa wanataka kumuweka mtu wao watufaidi.
 
Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

P
Wewe ndiye Biteko?
Au kwakuwa ni home boy wako?

Sikufurahishwa na huyo aliyeleta huo uzi kwa kutuhumu bila kuweka vielelezo vya kuthibitisha hizo tuhuma.
 
Huyu Ngungenge ni February, leo kaanzisha uzi kumbeza Prof. Mkenda
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.
 
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower,
Tuwaombee moderators wetu, wanachangamoto nyingi sana kipindi hiki.

Suala la ushahidi nimekuwa nikijaribu kulihimiza humu kwa kuhoji ushahidi kuletwa hata takwimu kuwekwa kudhibitisha hoja. Wengi wamekuwa wanaingia mitini ukiuliza habari za ushahidi. Wachache wameweza kuleta ushahidi wakiongozwa na ndugu Chige ili kulinda hoja zao ama tuhumu wanazozileta.

Kwa maelezo hayo mafupi, naunga mkono hoja.
 
Wewe ndiye Biteko?
Au kwakuwa ni home boy wako?

Sikufurahishwa na huyo aliyeleta huo uzi kwa kutuhumu bila kuweka vielelezo vya kuthibitisha hizo tuhuma.
Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.

Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
 
Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.

Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
BITEKO Siyo mtu safi hata kidogo.

Nenda kafanye utafiti kwa kuongea na wafanyabiashara wakubwa wa migodi wakueleze namna Dotto anavyokusanya bongo bila aibu kutoka kwao.

Vilevile, upendeleo wa wazi na tuhuma zilizo bayana kuwa ana maslahi na kampuni ya usafirishaji mafuta ya mitambo katika mgodi wa GGM ni uchafu kwake na inamuondolea kabisa heshima yake kwa jamii.
 
Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.

Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
Binafsi naona kama hakumtendea haki ingawa inawezekana akawa na uhakika kwa alicho kiandika.
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani.

Msukuma mwenzako huyo, una njaa hivyo kumkingia kifua ili angalau akupooze hiyo njaa siyo mbaya!
Wasukuma mmeamka sasa baada ya kuamshwa na mwendazake....
 
QUOTE="Pascal Mayalla, post: 40859523, member: 17813"]
Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.

Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
BITEKO siyo mtu safi hata kidogo.

Nenda kafanye utafiti kwa kuongea na wafanyabiashara wakubwa wa migodi wakueleze namna Dotto anavyokusanya bongo bila aibu kutoka kwao.

Vilevile, upendeleo wa wazi na tuhuma zilizo bayana kuwa ana maslahi na kampuni ya usafirishaji mafuta ya mitambo katika mgodi wa GGM ni uchafu kwake na inamuondolea kabisa heshima yake kwa jamii.[/QUOTE]Maccm leo hii yameamua kumwaga sumu wao kwa wao.
 
Hii nchi kuna utofauti mdogo sana kati ya mtu fisadi na mtu safi...

Mimi nikisikia kuwa mtu fulani ni fisadi, jambo la kwanza huwa naamini hiyo taarifa hata kama haina ushahidi...
Mkuu Watu8 , kwanza nakubaliana na wewe, the dividing line between mtu safi na fisadi is very thin, kwasababu ufisadi hufanywa sirini, hivyo with naked ayes, kuna watu wanaonekana clean, kumbe ni mafisadi kichinichini au sirini, lakini kwa kutumia jicho la tatu, jicho la rohoni, unamuona fisadi ni fisadi hata kama amevaa mavazi meupe kama malaika au vazi la askofu, na mtu safi alivalia kaniki.
P
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani.
Sina kundi,Ila makundi hayataisha kwa sababu ya vita za ndani kwa ndani.Huyo wa utumishi kanikera sana.Iwe kweli au sikweli tuhuma za wizara na wizara wanamifumo yao.
Ninachompendea Dotto ni usikivu likitokea jambo mitandaoni.JK spirit
 
47 Reactions
Reply
Back
Top Bottom