Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.

Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143


Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri

Hawa pia tuliwapigania sana, rejea zile makala za DPP.

Pia hawa tuliwapigania sana,

Naamini nimeeleweka vya kutosha. Mimi ni mtetezi huru wa haki na nimetetea wengi akiwemo huyu gaidi kwa kueleza sio gaidi ni mhalifu tuu wa kawaida.
P
...Ungekuwa mbunge bora!!! You nailed it!
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.
Sasa na wewe hizo ni tuhumu tu unazitoa
 
Mkuu Babu Ochu , it's very unfortunately sijasikia Waziri Mchengerwa amesema nini, inaweza kuwa ni kweli au ni uongo, kama ile issue ya kuumwa kwa JPM, viongozi wetu wakubwa tuu, walitangaza uongo mkubwa wa wazi hadharani mchana kweupe, hadi kifo kilipo waumbua, what do you expect to the rest?. Please share alichosema ili tuki scrunize tujue ni kweli au uongo.
P
Acha tuamini haya maneno ya mtaani mara nyingi huwa yanaukweli.

Leo unataka watu waweke ushahidi humu wa tuhuma, hebu tuambie na nani aliyewahi kutuhumiwa na ushahidi wake ukawekwa humu jamvini.

Maelezo yanajitosheleza kabisa ni namna gani Biteko anafanya ufisadi. Vyombo vyenye mamlaka kama vinaona inafaa vifanye uchunguzi.

Vinginevyo tusubiri siku wakikosana wenyewe huko watashughulikiana.
 
Kigezo gani umetumia kufikia hitimisho kuwa Biteko ni mzalendo?
Huyu mleta mada, ana mahaba yake binafsi, au amepewa contract ambayo kwa vyovyote hana uwezo nayo, lakini kwa sababu ya tamaa, ameikubali.

Nimeongea na mmoja wa watu waliopewa jukumu la kufanya chochote kinachowezekana kumsafisha dhidi ya uchafu wake (Biteko). Japo wote niliotajiwa kupewa hiyo kazi wapo ofisi ya jumba jeupe, kule kwa ndugae na kiranja wa mawaziri, kuna uwezekano mkubwa pia wapo wengine. Huenda huyu mwenzetu ni miongoni.
 
Mbaguzi mbaguzi tu sasa umeshindwa kuthibitisha wizi wa Biteko umegeukia kabila lake.Mtateseka sana na wasukuma lakini wao wako buzzy wanasaka fursa.Sasa hivi wameingia Msumbiji na kule wameoa na kuzaa watoto wao mtasema siyo wasukuma.Mna shida nyie viumbe
Tatizo lako huelewi chochote. Niwe na tatizo na wasukuma, kwani mimi ni nani?

Tatizo nililo nalo ni dhidi ya watu wanafiki kama Biteko, wanaotaka waonekane ni watu wema mbele ya watu wasiowafahamu. Tunaongelea juu ya Biteko kuwa corrupt, na hilo halina ubishi. Kuna siku utakuwa bubu, uthibitisho wa mengi machafu utakapokuja kuwekwa wazi na vyombo vyenye mamlaka.

Utusi wake siyo hoja, maana sheria zetu hazisemi ili uwe Mtanzania unatakiwa uwe kabila gani. Cha muhimu ni kama alifuata taratibu za uhamiaji ili kupata haki ya kuwa mtanzania.
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.


Declare Interest Ndugu Paskali kwanza maana una kampuni ya PPR.

Hapa watu wanatoa clue kwanza kisha vyombo vya dola vinaenda kupekenyua ,hauwezi kumwaga kila kitu hapa jamvini.
 
Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.

Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143


Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri

Hawa pia tuliwapigania sana, rejea zile makala za DPP.

Pia hawa tuliwapigania sana,

Naamini nimeeleweka vya kutosha. Mimi ni mtetezi huru wa haki na nimetetea wengi akiwemo huyu gaidi kwa kueleza sio gaidi ni mhalifu tuu wa kawaida.
P
Mayala acha unafiki. Tamaa ya pesa uzeeni itakuponza.

Kama Biteko ni mzalendo, basi hakuna wazalendo Duniani. Kama Biteko siyo corrupt, basi Watanzania wote siyo corrupt.

Kwa sasa sijui kama kuna Waziri mla rushwa kama huyu. Nenda Bariadi kule Dutwa, Shinyanga kule Nyandolwa, Kahama kule Mwabomba, Masumbwe kule Nyakafuru, kaongee na waliopewa maeneo yaliyokuwa yanamilikiwa na makampuni makubwa, wakuambie waliyapataje hayo maeneo. Wengine walilazimika kuchangishana ili kupata kiwango kilichotakiwa.
 
Matusi hayatakusaidia wasukuma watabaki juu mawinguni, sehemu kubwa ya uchumi wa madini uko usukumani hakuna mbadala inabidi ukubaliane na hali.Kwa taarifa yako jamaa wameamka na hawatalala so usitegemee mteremko.By the way sidhani kama una haki ya kumtukana wasukuma unajitakia shida bure

Hongera bhana ndugu msukuma, maana najua utakuwa msukuma tu!
Wasukuma pamoja na kuwa na rasilimali nyingi za hayo madini unayosema, bado ni maskini wa kutupwa! Elimu wengi wao hawana, wamejaa ushamba mwingi tu!
Pamoja na hayo ya kusema mmeamka bado mtabaki hapo hapo mlipo labda muache kwanza kuabudi mizimu na kufanya ushirikina pamoja na ulozi!
Ujinga wenu utachukua miaka 1000 zaidi kuwatoka!
 
Dotto Biteko na sukuma gang yote ni wezi tu!
Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.
Unamtuhumu mtu mwizi na kisha unaaza kumuita lijizi!.

Pia niliwahi kusema na nitaendelea kusema tena na tena, hakuna hiki kitu kinachoitwa "The Sukuma Gang", it's just a fictitious group made by yule mzushi wa Twitter.
Hakuna Sukuma Gang group popote, ila ndani ya serikali kuna baadhi ya viongozi ni wa kabila la Wasukuma. Watu wa kabila hili ni wapole, wanyenyekevu, waaminifu na ni wachapakazi sana. Baada ya kifo cha JPM, ndio wakaundiwa zengwe kuwa walitaka kufanya jambo, vitu ambavyo ni uzushi na uongo mtupu. Kwa vile humu kwenye mitandao ya kijamii kuna watu wajinga wajinga kibao, wewe ikiwemo, ndio mkauamini uzushi huu. Mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa mwerevu. Mjinga ambaye ukimwelimisha, ujinga haumtoki, huyo sasa sio mjinga tena, ni ...(nimelihifadhi neno lenyewe kuepuka kuianza wiki na kisirani), hivyo hata baada ya kusoma post hii, kama bado unaamini kundi la Sukuma Gang lipo na lina exist, endelea kuamini hivyo, maana kuamini kitu ni mambo ya imani, kuna wengine, wakiisha aminishwa kitu, huwezi kuwabadilisha, ila kiukweli kabila la Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa wingi nchini Tanzania, hivyo panga pangua, lazima watakuwa wengi kwenye kila nafasi, uzuri wao ni hawana ule ukabila mbaya na ni wachapakazi sana.
P
 
Dotto Biteko na sukuma gang yote ni wezi tu!
Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.
Unamtuhumu mtu mwizi na kisha unaaza kumuita lijizi!.

Pia niliwahi kusema na nitaendelea kusema tena na tena, hakuna hiki kitu kinachoitwa "The Sukuma Gang", it's just a fictitious group made by yule mzushi wa Twitter.
Hakuna Sukuma Gang group popote, ila ndani ya serikali kuna baadhi ya viongozi ni wa kabila la Wasukuma. Watu wa kabila hili ni wapole, wanyenyekevu, waaminifu na ni wachapakazi sana. Baada ya kifo cha JPM, ndio wakaundiwa zengwe kuwa walitaka kufanya jambo, vitu ambavyo ni uzushi na uongo mtupu. Kwa vile humu kwenye mitandao ya kijamii kuna watu wajinga wajinga kibao, wewe ikiwemo, ndio mkauamini uzushi huu. Mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa mwerevu. Mjinga ambaye ukimwelimisha, ujinga haumtoki, huyo sasa sio mjinga tena, ni ...(nimelihifadhi neno lenyewe kuepuka kuianza wiki na kisirani), hivyo hata baada ya kusoma post hii, kama bado unaamini kundi la Sukuma Gang lipo na lina exist, endelea kuamini hivyo, maana kuamini kitu ni mambo ya imani, kuna wengine, wakiisha aminishwa kitu, huwezi kuwabadilisha, ila kiukweli kabila la Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa wingi nchini Tanzania, hivyo panga pangua, lazima watakuwa wengi kwenye kila nafasi, uzuri wao ni hawana ule ukabila mbaya na ni wachapakazi sana.
P
 
Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.
Unamtuhumu mtu mwizi na kisha unaaza kumuita lijizi!.

Pia niliwahi kusema na nitaendelea kusema tena na tena, hakuna hiki kitu kinachoitwa "The Sukuma Gang", it's just a fictitious group made by yule mzushi wa Twitter.
Hakuna Sukuma Gang group popote, ila ndani ya serikali kuna baadhi ya viongozi ni wa kabila la Wasukuma. Watu wa kabila hili ni wapole, wanyenyekevu, waaminifu na ni wachapakazi sana. Baada ya kifo cha JPM, ndio wakaundiwa zengwe kuwa walitaka kufanya jambo, vitu ambavyo ni uzushi na uongo mtupu. Kwa vile humu kwenye mitandao ya kijamii kuna watu wajinga wajinga kibao, wewe ikiwemo, ndio mkauamini uzushi huu. Mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa mwerevu. Mjinga ambaye ukimwelimisha, ujinga haumtoki, huyo sasa sio mjinga tena, ni ...(nimelihifadhi neno lenyewe kuepuka kuianza wiki na kisirani), hivyo hata baada ya kusoma post hii, kama bado unaamini kundi la Sukuma Gang lipo na lina exist, endelea kuamini hivyo, maana kuamini kitu ni mambo ya imani, kuna wengine, wakiisha aminishwa kitu, huwezi kuwabadilisha, ila kiukweli kabila la Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa wingi nchini Tanzania, hivyo panga pangua, lazima watakuwa wengi kwenye kila nafasi, uzuri wao ni hawana ule ukabila mbaya na ni wachapakazi sana.
P
Wasukuma ni wachapakazi lakini hawawafikii watu wa Nyanda za Juu Kusini kwa bidii na nidhamu ya kazi. Wasukuma ni wachapakazi lakini wanakosa nidhamu ya kazi. Hawajali muda wala unadhifu wa kazi.
 
Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.

Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
Lakini bwana Pascal mpaka serikali kuamua kutuma TAKUKURU si ina maana kuna taarifa za upoteaji wa madini huko mirerani? Nadhani taarifa zipo kuhusiana na tuhuma zilizotajwa hebu tuvute subra ukweli uwekwe wazi.mkianza kuwa wakali wakati hata uchunguzi haujakamilika tutawatilia mashaka.
 
Nadhani role ya JF ni kama whistlebrowers, na nchi hii ina vyombo luluki vya ulinzi na usalama kuweza kufanyia kazi tuhuma zinazoelekezwa kwa viongozi wetu. Ndugu yetu @P. Mayala usiwe mwepesi kumtetea mtu kwa kumsiliza kwenye video ukaamini kwamba ni mwadilifu. Grand emblezements juu rasilimali za taifa hufanywa na watu wenye nafsi kubwa za kimadaraka
 
Wasukuma ni wachapakazi lakini hawawafikii watu wa Nyanda za Juu Kusini kwa bidii na nidhamu ya kazi. Wasukuma ni wachapakazi lakini wanakosa nidhamu ya kazi. Hawajali muda wala unadhifu wa kazi.
Mkuu Hamatan , huu ni ukweli mchungu kutuhusu, ni kweli tunachapa kazi kama tingatinga, ama kama kuswaga ng'ombe, najua mliona jinsi Blaza alivyowaswaga, hadi akaonekana kama nyapara. Tunakabiliwa na ushamba na kutokuwa makini, na ni watu wenye madharau sana, hivyo ni walipuaji wazuri, na hatujui sana quality, and we don't give a dam about time, na tatizo jingine kubwa kuhusu sisi, ni ule udhaifu wetu kwenye mambo yetu yale, ila kwa upande wa roho nzuri, tuna roho nzuri sana, tunaupendo sana, tunaushirikiano sana, tunajichanganya sana, sio wezi, sio mafisadi, ni waaminifu sana, ila sio uaminifu katika yale,
P
 
Back
Top Bottom