Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
- Thread starter
- #161
Nimetumia vigezo vya Uzalendo.Kigezo gani umetumia kufikia hitimisho kuwa Biteko ni mzalendo?
Karibu post hii
P
Nimetumia vigezo vya Uzalendo.Kigezo gani umetumia kufikia hitimisho kuwa Biteko ni mzalendo?
...Ungekuwa mbunge bora!!! You nailed it!Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.
Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...www.jamiiforums.comAsante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...www.jamiiforums.comView attachment 1825142Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...www.jamiiforums.com
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"
Wanabodi, Baada ya Kisa, Mkasa, na Baada ya Chanzo Kitendo!, Sakata la Mbunge Machachari wa Chadema, Zitto Zuberi Kabwe na chama chake cha Chadema limekuwa na visa na mikasa, vyanzo na vitendo na hatimaye leo, limefikia mwisho, limekwisha rasmi, it's over!, the rest is now a history...www.jamiiforums.com
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri
Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu...www.jamiiforums.comTuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...www.jamiiforums.comShambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...www.jamiiforums.comSerious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa. Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji...www.jamiiforums.com
Hawa pia tuliwapigania sana, rejea zile makala za DPP.
Pia hawa tuliwapigania sana,
Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Naamini nimeeleweka vya kutosha. Mimi ni mtetezi huru wa haki na nimetetea wengi akiwemo huyu gaidi kwa kueleza sio gaidi ni mhalifu tuu wa kawaida.
P
Mimi sio msukuma ni mkaskazini ila hio idadi ya mawaziri wasukuma mbona siioni isababishe mpk watu walalamike hivo?Watu wanacho lalamikia ni kipindi kilichopita mlitumia vibaya nafasi mlizo pewa na ndugu yenu
Sasa na wewe hizo ni tuhumu tu unazitoaWanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..
Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.
- Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
- Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
- Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
- Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
- Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
- Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.
Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.
Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.
Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.
Paskali.
Acha tuamini haya maneno ya mtaani mara nyingi huwa yanaukweli.Mkuu Babu Ochu , it's very unfortunately sijasikia Waziri Mchengerwa amesema nini, inaweza kuwa ni kweli au ni uongo, kama ile issue ya kuumwa kwa JPM, viongozi wetu wakubwa tuu, walitangaza uongo mkubwa wa wazi hadharani mchana kweupe, hadi kifo kilipo waumbua, what do you expect to the rest?. Please share alichosema ili tuki scrunize tujue ni kweli au uongo.
P
Huyu mleta mada, ana mahaba yake binafsi, au amepewa contract ambayo kwa vyovyote hana uwezo nayo, lakini kwa sababu ya tamaa, ameikubali.Kigezo gani umetumia kufikia hitimisho kuwa Biteko ni mzalendo?
Tatizo lako huelewi chochote. Niwe na tatizo na wasukuma, kwani mimi ni nani?Mbaguzi mbaguzi tu sasa umeshindwa kuthibitisha wizi wa Biteko umegeukia kabila lake.Mtateseka sana na wasukuma lakini wao wako buzzy wanasaka fursa.Sasa hivi wameingia Msumbiji na kule wameoa na kuzaa watoto wao mtasema siyo wasukuma.Mna shida nyie viumbe
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..
Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.
- Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
- Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
- Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
- Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
- Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
- Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.
Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.
Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.
Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.
Paskali.
Mayala acha unafiki. Tamaa ya pesa uzeeni itakuponza.Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.
Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...www.jamiiforums.comAsante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...www.jamiiforums.comView attachment 1825142Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...www.jamiiforums.com
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"
Wanabodi, Baada ya Kisa, Mkasa, na Baada ya Chanzo Kitendo!, Sakata la Mbunge Machachari wa Chadema, Zitto Zuberi Kabwe na chama chake cha Chadema limekuwa na visa na mikasa, vyanzo na vitendo na hatimaye leo, limefikia mwisho, limekwisha rasmi, it's over!, the rest is now a history...www.jamiiforums.com
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri
Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu...www.jamiiforums.comTuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...www.jamiiforums.comShambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...www.jamiiforums.comSerious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa. Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji...www.jamiiforums.com
Hawa pia tuliwapigania sana, rejea zile makala za DPP.
Pia hawa tuliwapigania sana,
Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Naamini nimeeleweka vya kutosha. Mimi ni mtetezi huru wa haki na nimetetea wengi akiwemo huyu gaidi kwa kueleza sio gaidi ni mhalifu tuu wa kawaida.
P
Matusi hayatakusaidia wasukuma watabaki juu mawinguni, sehemu kubwa ya uchumi wa madini uko usukumani hakuna mbadala inabidi ukubaliane na hali.Kwa taarifa yako jamaa wameamka na hawatalala so usitegemee mteremko.By the way sidhani kama una haki ya kumtukana wasukuma unajitakia shida bure
Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.Dotto Biteko na sukuma gang yote ni wezi tu!
Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.Dotto Biteko na sukuma gang yote ni wezi tu!
Wasukuma ni wachapakazi lakini hawawafikii watu wa Nyanda za Juu Kusini kwa bidii na nidhamu ya kazi. Wasukuma ni wachapakazi lakini wanakosa nidhamu ya kazi. Hawajali muda wala unadhifu wa kazi.Mkuu monde arabe , hiki ndicho nilichokisema na lengo la uzi huu ndio kuzuia kitu kama hiki.
Unamtuhumu mtu mwizi na kisha unaaza kumuita lijizi!.
Pia niliwahi kusema na nitaendelea kusema tena na tena, hakuna hiki kitu kinachoitwa "The Sukuma Gang", it's just a fictitious group made by yule mzushi wa Twitter.
Hakuna Sukuma Gang group popote, ila ndani ya serikali kuna baadhi ya viongozi ni wa kabila la Wasukuma. Watu wa kabila hili ni wapole, wanyenyekevu, waaminifu na ni wachapakazi sana. Baada ya kifo cha JPM, ndio wakaundiwa zengwe kuwa walitaka kufanya jambo, vitu ambavyo ni uzushi na uongo mtupu. Kwa vile humu kwenye mitandao ya kijamii kuna watu wajinga wajinga kibao, wewe ikiwemo, ndio mkauamini uzushi huu. Mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa mwerevu. Mjinga ambaye ukimwelimisha, ujinga haumtoki, huyo sasa sio mjinga tena, ni ...(nimelihifadhi neno lenyewe kuepuka kuianza wiki na kisirani), hivyo hata baada ya kusoma post hii, kama bado unaamini kundi la Sukuma Gang lipo na lina exist, endelea kuamini hivyo, maana kuamini kitu ni mambo ya imani, kuna wengine, wakiisha aminishwa kitu, huwezi kuwabadilisha, ila kiukweli kabila la Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa wingi nchini Tanzania, hivyo panga pangua, lazima watakuwa wengi kwenye kila nafasi, uzuri wao ni hawana ule ukabila mbaya na ni wachapakazi sana.
P
Lakini bwana Pascal mpaka serikali kuamua kutuma TAKUKURU si ina maana kuna taarifa za upoteaji wa madini huko mirerani? Nadhani taarifa zipo kuhusiana na tuhuma zilizotajwa hebu tuvute subra ukweli uwekwe wazi.mkianza kuwa wakali wakati hata uchunguzi haujakamilika tutawatilia mashaka.Wapenda haki wakiona mtu yoyote hatendewi haki, hujitokeza kumtetea, kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya tuhuma, sio tuhuma za kweli, ni chuki binafsi tuu.
Ndio maana nimeshauri, ukituhumu, leta na uthibitisho. Ukipata tuhuma za hearsay tuu zisizo na uthibitisho, then zilete as Whistleblow lakini usiweke majina ili kuepuka kuwachafua watu bure.
P
Hawa jamaa wamekua wakali kama wameng'atwa na nyuki .Pascal Mayalla
Inamaana alichosema waziri Mchengerwa ni uongo?
Mkuu Hamatan , huu ni ukweli mchungu kutuhusu, ni kweli tunachapa kazi kama tingatinga, ama kama kuswaga ng'ombe, najua mliona jinsi Blaza alivyowaswaga, hadi akaonekana kama nyapara. Tunakabiliwa na ushamba na kutokuwa makini, na ni watu wenye madharau sana, hivyo ni walipuaji wazuri, na hatujui sana quality, and we don't give a dam about time, na tatizo jingine kubwa kuhusu sisi, ni ule udhaifu wetu kwenye mambo yetu yale, ila kwa upande wa roho nzuri, tuna roho nzuri sana, tunaupendo sana, tunaushirikiano sana, tunajichanganya sana, sio wezi, sio mafisadi, ni waaminifu sana, ila sio uaminifu katika yale,Wasukuma ni wachapakazi lakini hawawafikii watu wa Nyanda za Juu Kusini kwa bidii na nidhamu ya kazi. Wasukuma ni wachapakazi lakini wanakosa nidhamu ya kazi. Hawajali muda wala unadhifu wa kazi.
Acha hizo Pascal, usipende kuwatetea wahalifu vyombo husika acha viingie kazini kupata ukweliMkuu Mmawia , uko right ndio maana nimeshauri, ukituhumu kama una uhakika, leta na ushahidi, au uthibitisho, vinginevyo leta tuu tuhuma as a Whistleblowing lakini usitaje majina ya mtuhimiwa.
P