Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Nadhani role ya JF ni kama whistlebrowers, na nchi hii ina vyombo luluki vya ulinzi na usalama kuweza kufanyia kazi tuhuma zinazoelekezwa kwa viongozi wetu. Ndugu yetu @P. Mayala usiwe mwepesi kumtetea mtu kwa kumsiliza kwenye video ukaamini kwamba ni mwadilifu. Grand emblezements juu rasilimali za taifa hufanywa na watu wenye nafsi kubwa za kimadaraka
Oooh yes, well said my friend!!

Nafikili Pascal Mayala kakupata vilivyo!
 
Wanabodi,

Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.
Ziara hiyo imeonekana ni kama jibu kwa mhariri wa gazeti la Jamhuri bwana Balile na Meena ambao jana walitoa kitabu kilichogharamiwa na mafisadi kwa ajiri ya kuchafua maendeleo ya wilaya ya Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Akina Balile kwa kutumiwa na mafisadi wamesahau kwamba watu wa Chato ni watanzania, wanalipa kodi, ni wapiga kura kwa hiyo wanasitahili maendeleo kama sehemu zingine za nchi.
Mkuu Kulwa Jilala , next time before you write anything, get your facts right, Waandishi wa kitabu hiki ni waandishi manguli wanne From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Balile sii miongoni mwao!. Hivyo acha kuchafua majina ya watu!.

Mode: Niliwahi kushauri, mtu akileta tuhuma zozote humu JF kwa kutaja majina ya watu, alete na ushahidi wa uthibitisho ili JF tuepuke kuchafua watu bure!.

P
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Mayala acha unafiki. Tamaa ya pesa uzeeni itakuponza.

Kama Biteko ni mzalendo, basi hakuna wazalendo Duniani. Kama Biteko siyo corrupt, basi Watanzania wote siyo corrupt.

Kwa sasa sijui kama kuna Waziri mla rushwa kama huyu. Nenda Bariadi kule Dutwa, Shinyanga kule Nyandolwa, Kahama kule Mwabomba, Masumbwe kule Nyakafuru, kaongee na waliopewa maeneo yaliyokuwa yanamilikiwa na makampuni makubwa, wakuambie waliyapataje hayo maeneo. Wengine walilazimika kuchangishana ili kupata kiwango kilichotakiwa.
Duh!
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.


Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Nakubaliana na wewe juu ya uadilifu na uungwana wa Mhe. Dotto Biteko.
Lakini nikupe tahadhari ya matumizi ya maneno "mzalendo wa kweli".
Hayo ni maneno yanayotumiwa na mtu mwenye nia mbaya na yenye lengo ya kutweza utu wa mtu.
Pasikali, huna Nchi nyingine zaidi ya Tanzania.
Wewe ni mzalendo wa Tanzania, kama walivyo Watanzania wengine wote.
Sote ni Wazalendo wa Nchi yetu.
Kamwe tusikubali kugawika wala kubaguana.
Hakuna Mtanzania ambaye ni mzalendo wa kweli zaidi ya Mtanzania mwingine. Hii ni lugha ya kubaguana.
Sisi sote ni sawa.
 
Nakubaliana na wewe juu ya uadilifu na uungwana wa Mhe. Dotto Biteko.
Lakini nikupe tahadhari ya matumizi ya maneno "mzalendo wa kweli".
Hayo ni maneno yanayotumiwa na mtu mwenye nia mbaya na yenye lengo ya kutweza utu wa mtu.
Pasikali, huna Nchi nyingine zaidi ya Tanzania.
Wewe ni mzalendo wa Tanzania, kama walivyo Watanzania wengine wote.
Sote ni Wazalendo wa Nchi yetu.
Kamwe tusikubali kugawika wala kubaguana.
Hakuna Mtanzania ambaye ni mzalendo wa kweli zaidi ya Mtanzania mwingine. Hii ni lugha ya kubaguana.
Sisi sote ni sawa.
"Mzalendo wa kweli" ni neno la kiCCM ambalo huwezi kulipata kama hauko ndani ya Chama Chao. Yaani CCM Wana kipimo Chao cha Uzalendo ambacho dunia nzima Hakuna ni wao tu.
 
Baadhi ya Wabongo wana wivu,chuki,fitnah, na majungu hasa wanapokwama kukufanyia ushirikina na uchawi.
 
Back
Top Bottom